Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread


Terry on Thiago Silva
Former Chelsea captain Terry, clearly an admirer of the Brazil international, ‘liked’ the post, along with young midfielder Billy Gilmour.
 
lembu Habari nzuri Sana swali je Kai Ni mzuri Sana wakuteneza nafasi nyingi za goals? Binafsi sijawahi kumuona akicheza so naomba unijibie swali langu
Elements zote za kushambulia kuanzia ball control, dribbling, passing, heading, finishing na shooting kwa ujumla, body physics, yuko vizuri sana. Sio mzuri kwenye ukabaji. Kizuri zaidi kwa Kai ni uwezo wa kupasua defence yeyote kama Hazard na wakikutana na Pulisic na Kovacic defence za hao wapiga domo zitanyanyaswa sana. Hata Abraham atakuwa mfungaji bora akiwemo Ziyech na Havertz. Of course bei yake kubwa sana nadhani kuna kitu Lampard kaon zaidi yetu
 
Ukitaka kuwin Champions League ondoka Arsenal. That is a rule.

Timu lina gundu lile kama nn.
Ukitaka kuwin Champions League ondoka Arsenal. That is a rule.

Timu lina gundu lile kama nn.View attachment 1546734
Arse8 ni timu ndogo sana nasema tena ni timu ndogo atakombe la eufa ajawahi chukua wanalingia kombe la mbuzi😂😂😂😂😂hakika Landon is blues hawata elewa ni watoto tu hao
 
BREAKING NEWS: Chelsea FINALLY agree £90m Kai Havertz deal with Bayer Leverkusen to bring the midfielder to London this week as they prepare final paperwork for their new record signing
  • Chelsea have finally agreed a fee with Bayer Leverkusen for Kai Havertz
  • The German is on the verge of joining Chelsea in a deal worth £90m
  • Havertz is set to fly to London this week to conclude the finer details
  • He is expected to put pen to paper on a five-year contract at Stamford Bridge
View attachment 1546762
Habar mbya ya asernal na man u
 
Hii Timu ni tawi la Arsenal lililopo pale London,ht mashabiki wengi wa hii timu ni mamluki waliokimbia Gunners.[emoji16]
Coyg[emoji837]
 
Elements zote za kushambulia kuanzia ball control, dribbling, passing, heading, finishing na shooting kwa ujumla, body physics, yuko vizuri sana. Sio mzuri kwenye ukabaji. Kizuri zaidi kwa Kai ni uwezo wa kupasua defence yeyote kama Hazard na wakikutana na Pulisic na Kovacic defence za hao wapiga domo zitanyanyaswa sana. Hata Abraham atakuwa mfungaji bora akiwemo Ziyech na Havertz. Of course bei yake kubwa sana nadhani kuna kitu Lampard kaon zaidi yetu
Hilo suala la kukaba Halina umuhimu kutokana na position anayocheza.Asante Sana kwa maelezo yako mazuri ulionipa kwa namna ulivyoeleza unaona kabisa Ni bonge la mchezaji.I can't wait to see him
 
Picha la kutisha
Lampard effect
Imagine trio hii afu jamaa zetu

Wana pepe ,auba ,na will vikongwe [emoji28][emoji28][emoji28]
IMG_20200627_092536.jpeg
 
Deal la Chilwell inaweza ikafa kwa sababu anaumwa " heel injury ". Anaweza akakosa mechi za mwanzo. Leo ataonana na mshauri wake wa maswala ya fitness ili kupata ukweli kwa sababu hakutakuwa na mkataba wowote utakaosaini mhusika akiwa ni mgonjwa
 
Yale yale ya petr cech badae msije aanza kulaumu
Muda utaongea

😆😆 Aisee Cech na Emery walikuwa ma agents wa Chelsea wametumwa kutuangamiza. Kipa dakika chache tu kwetu amekuja kufungwa magoli mengi zaidi kuliko career yake nzima. Chelsea wanatangaza kabisa kuwa Cech atarudi kuwa kiongozi Chelsea baada ya Europa Final alafu Emery anamweka golini 😆😆. Huyiu Willian hata akiwa spy angalau ni outfield player hawezi kutufungisha sana tusimshtukie. 😆
 
[emoji38][emoji38] Aisee Cech na Emery walikuwa ma agents wa Chelsea wametumwa kutuangamiza. Kipa dakika chache tu kwetu amekuja kufungwa magoli mengi zaidi kuliko career yake nzima. Chelsea wanatangaza kabisa kuwa Cech atarudi kuwa kiongozi Chelsea baada ya Europa Final alafu Emery anamweka golini [emoji38][emoji38]. Huyiu Willian hata akiwa spy angalau ni outfield player hawezi kutufungisha sana tusimshtukie. [emoji38]
Once blues always blues
 
BREAKING NEWS: Chelsea FINALLY agree £90m Kai Havertz deal with Bayer Leverkusen to bring the midfielder to London this week as they prepare final paperwork for their new record signing
  • Chelsea have finally agreed a fee with Bayer Leverkusen for Kai Havertz
  • The German is on the verge of joining Chelsea in a deal worth £90m
  • Havertz is set to fly to London this week to conclude the finer details
  • He is expected to put pen to paper on a five-year contract at Stamford Bridge
View attachment 1546762
Wamesema 72 mbona..
 
[emoji38][emoji38] Aisee Cech na Emery walikuwa ma agents wa Chelsea wametumwa kutuangamiza. Kipa dakika chache tu kwetu amekuja kufungwa magoli mengi zaidi kuliko career yake nzima. Chelsea wanatangaza kabisa kuwa Cech atarudi kuwa kiongozi Chelsea baada ya Europa Final alafu Emery anamweka golini [emoji38][emoji38]. Huyiu Willian hata akiwa spy angalau ni outfield player hawezi kutufungisha sana tusimshtukie. [emoji38]
Ile gemu cech Alkuw hana mkosa kabisaa beki ndo walizingua Wanakaba kitoto why wasifungwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom