OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Siyo kinyonge bana ci tunaona mnavyoshusha vyuma.Mbona kinyonge sana
Siyo kinyonge bana ci tunaona mnavyoshusha vyuma.Mbona kinyonge sana
Yani lazima wawe mabingwa ..mbele ya Auba, Willian na Comredi Kipepe hamna timu itakatiza.Bila shaka watarudia zama zao za invicible na winger machachari kabisa pepe, nyuma kina saliba na saka
Sent using Jamii Forums mobile app
Endeleeni kutupenda ivyo ivyo mkuuChelwowo mnatabu sana, wewe unapokuja kwenye Uzi wetu kudanga unaonaga poa
Tumekuja kuwastua kidogo ,
Unapiga kelele?![]()



Narudia tulimuhitaji kwa mkataba wa miaka miwili sio mitatu, huyo mzee anastahili kupewa mbili au moja, mbona Giroud tunaendelea naye lakini kwa moja moja tu, Silva akija ni mmoja tu na sio zaidi. Nyie mmeingia mkenge mda mfupi ujao mtatuelewa tu!!!Sasa mara mlikuwa mnamuhitaji, mara amewakatalia kusign mkataba,mara sisi tumeingia kingi
Kabla ya kuziruhusu hizi comment zako zireview kwanza mkuu, unajiaibisha...
Yaani kama mtu uliyekabwa unabaki kurusharusha miguu..
Chelsea lives matter...
London still red![]()
Hawahitambui hawa, kama wagonjwa wanahitaji kuishi kwa matumaini, ndio maana wamejazana kwenye majukwaa ya timu kubwa kama Chelsea. Chelsea ingekuwa katimu ka kawaida wasingeonekana hao. Tuendelee kuwapa matumaini tuHaahaaaa nakumbuka Watu wengi waliwatabiria top 4 baada ya sajili zao za luiz na kipepe....
Kufuru, hii timu ya waadhirika ndio iwe ya kwanza, "over my dead body"Msimu huu mutabeba ubingwa mkuu. Msimamo utakuwa hivi
1.Arsenal
2.Liverpool/Man City
3.Man City/Liverpool
4.Man u
5.Wolves
6.
7.
8
9.
10.Chelsea
Haya nyie mutakuwa mabingwa..hongereni sana![]()
Tumewapa ivyo ili wafurahi mkuu. Lakini ukweli wanaujua wenyewe.Kufuru, hii timu ya waadhirika ndio iwe ya kwanza, "over my dead body"
Mkuu hivyo vi imoji vya kucheka vimezidi. Viwili vinatosha kueleza hisia zako unafanya tunaanza kufikiria vingine.Sasa mara mlikuwa mnamuhitaji, mara amewakatalia kusign mkataba,mara sisi tumeingia kingi
Kabla ya kuziruhusu hizi comment zako zireview kwanza mkuu, unajiaibisha...
Yaani kama mtu uliyekabwa unabaki kurusharusha miguu..
Chelsea lives matter...
London still red![]()
Na wewe unasajili babu silva kuja kula mafao ya uzeeni.Naona unasajili beki wa kujaribu kumzuia Ziyech na Werner hapo bado Havertz
Huna jipya huna hojasisi tunasajili wazee na bado shughuli hamuiwezi.
Hivi unawafahamu wababe wewe? Acha vituko njoo hapa nikupe experience huna unalojua wewe!



Hakuna anayekimbia, usijidanganye.....Ningekua na uwezo wa kuwasainisha ningefanya hivyo. Nyie ni wakimbiaji tunawajua halafu mkirudi mnakuja na visababu kedekede.
Tunawaomba msikimbie














"This will be the last match for Thiago Silva as a Paris Saint-Germain player. He's ready to leave and he's in talks with Chelsea for a two-year contract."
@FabrizioRomano with the latest on Thiago Silva!
https://t.co/Ka1lEGUqB4
Cheltako haija/haito wahi kuwa timu kubwa,Arse8 wamehamishia kabisa makazi yao huku..
Kweli Chelsea ni timu kubwa haikakuki midomoni mwao.
#CFC London is BLUE![]()

















Narudia tulimuhitaji kwa mkataba wa miaka miwili sio mitatu, huyo mzee anastahili kupewa mbili au moja, mbona Giroud tunaendelea naye lakini kwa moja moja tu, Silva akija ni mmoja tu na sio zaidi. Nyie mmeingia mkenge mda mfupi ujao mtatuelewa tu!!!











Relax!Mkuu hivyo vi imoji vya kucheka vimezidi. Viwili vinatosha kueleza hisia zako unafanya tunaanza kufikiria vingine.















Cheltako bwana dah........Baada ya performance nzuri ya jana aliyoonyesha babu Thiago Silva, mashabiki wa Chelsea wawehuka na kudai asajiliwe haraka sana
View attachment 1546420