Tulikuwa na kocha wa ovyo mamlukiAron ndo Alkuw wa kwanz kbsaaa kutbr
Sasa unadhan bila mamluki Unai Emery ,tungemaliza nafas ya 8?Nyie ci ndo mlijiweka msimu huu kuwa mtashiriki uefa mkatuambia tutashuka daraja
We jamaa walimu wako walipata shida sana darasani.Sasa Lampard kumchukua Silva si bora angemfata Terry tu aje kumalizamaana ana uzoefu na ligi,
Sasa babu silva mpaka aje kuzoea ligi atakuwa na miaka 40ndio yatakuwa yaleyale, huku kina PEPE watamgeuzageuza kama chapati
![]()
Sema mmepewa FA siyo mmechukuaTumechukua FA mkuu
Vipi uchochoro Silva kashatua?
Mind you wababe tumeleta Kitasa kipya afu tunamaliza kwa Partey kisiki cha mpingo.




sisi tunasajili wazee na bado shughuli hamuiwezi. Mkuu kwa heahima na taadhima naomba msikimbie jukwaa walau mpaka December. Nakuomba tafadhali uendelee kuwepo hapa hapa wala usije na ID nyingine.Tulikuwa na kocha wa ovyo mamluki
Sasa hivi tuna kocha mwenye DNA ya klabu
Kwann wewe usipewe ?Au kwanini msiende CAS kama man city au YangaSema mmepewa FA siyo mmechukua



Lini tulikimbia tupo hapa mvua jua ,Mkuu kwa heahima na taadhima naomba msikimbie jukwaa walau mpaka December. Nakuomba tafadhali uendelee kuwepo hapa hapa wala usije na ID nyingine.
Kwasababu tunawajua nyie na katimu kenu.
Amka usingizini wewe, Unai Emery hayupo tena,sasa hivi kocha ni Mikel Arteta mziki mnene, ujipange kuipata hata draw nxt seasonMkuu kwa heahima na taadhima naomba msikimbie jukwaa walau mpaka December. Nakuomba tafadhali uendelee kuwepo hapa hapa wala usije na ID nyingine.
Kwasababu tunawajua nyie na katimu kenu.
Kwa iyo aliyekua anawakimbiza ni Unai?Amka usingizini wewe, Unai Emery hayupo tena,sasa hivi kocha ni Mikel Arteta mziki mnene, ujipange kuipata hata draw nxt season
Ningekua na uwezo wa kuwasainisha ningefanya hivyo. Nyie ni wakimbiaji tunawajua halafu mkirudi mnakuja na visababu kedekede.
Nan anakimbia wewe ,Ningekua na uwezo wa kuwasainisha ningefanya hivyo. Nyie ni wakimbiaji tunawajua halafu mkirudi mnakuja na visababu kedekede.
Tunawaomba msikimbie




















Msimu huu mutabeba ubingwa mkuu. Msimamo utakuwa hivi"This will be the last match for Thiago Silva as a Paris Saint-Germain player. He's ready to leave and he's in talks with Chelsea for a two-year contract."
@FabrizioRomano with the latest on Thiago Silva!
https://t.co/Ka1lEGUqB4



Chelwowo mnatabu sana, wewe unapokuja kwenye Uzi wetu kudanga unaonaga poaArse8 wamehamishia kabisa makazi yao huku..
Kweli Chelsea ni timu kubwa haikakuki midomoni mwao.
#CFC London is BLUE![]()


Mbona kinyonge sanaMsimu huu mutabeba ubingwa mkuu. Msimamo utakuwa hivi
1.Arsenal
2.Liverpool/Man City
3.Man City/Liverpool
4.Man u
5.Wolves
6.
7.
8
9.
10.Chelsea
Haya nyie mutakuwa mabingwa..hongereni sana![]()





Bila shaka watarudia zama zao za invicible na winger machachari kabisa pepe, nyuma kina saliba na sakaMsimu huu mutabeba ubingwa mkuu. Msimamo utakuwa hivi
1.Arsenal
2.Liverpool/Man City
3.Man City/Liverpool
4.Man u
5.Wolves
6.
7.
8
9.
10.Chelsea
Haya nyie mutakuwa mabingwa..hongereni sana![]()