DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Mzee Silva na Mzee Onyango wana kikao leo baada ya mechi,Naona hata tuliowasajili chini yake ni waingereza ..timo Werner, hakim ziyech, tunahusishwa ni thiago Silva huyu naye ni mwingereza bila kumsahau wonder kid tunayemtaka kwa hali na Mali ni muingereza ......kwann mnachuki na waingereza hvyo aisee?
Wanataka kujadili namna gani wataziepuka lundo la shikamoo huko mazoezini


