mart66
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 610
- 691
Mwenyw chilwell simkubali nmuon no mchezaji wa kawa
Sasa Chilwell si bora ubaki na Alonso
Wachezaji wa kiingereza huwajui vzr
Sasa Chilwell si bora ubaki na Alonso
Wachezaji wa kiingereza huwajui vzr
Kwahiyo mumekuwa chuo cha makochaLampard atumie muda huu kunoa MBINU zake za ukocha.



Naona great player kwenye kichapo cha 2 na sevilla alikuwa injury
Sasa nyinyi si mna pesa, mbona mnalialia kwa vipesa mbuziBayern leverkusen wametoa taarifa kwamba Ifikapo tarehe 28 mwezi huu, Chelsea haijalipa transfer fee wanayoitaka ya Harvetz basi hawatamuuza tena Harvetz mpaka dirisha lijalo.
Chelsea ofa yetu ni pungufu kwa £20M ya kiasi wanachotaka leverkusen


Kuna MTU nilimwambia juzi hapa Chelsea anajivuta kwanza hadi auze ndio akamilishe hilo dili ,akanibishia ,Bayern leverkusen wametoa taarifa kwamba Ifikapo tarehe 28 mwezi huu, Chelsea haijalipa transfer fee wanayoitaka ya Harvetz basi hawatamuuza tena Harvetz mpaka dirisha lijalo.
Chelsea ofa yetu ni pungufu kwa £20M ya kiasi wanachotaka leverkusen
Uzuri ni kuwa Havertz ni optional ikitokea deal limeshindikana haita affect kitu kwa sababu yupo Mount. Kwa iyo nguvu ya usajili itapelekwa kwa backline. GK, CB na LBKuna MTU nilimwambia juzi hapa Chelsea anajivuta kwanza hadi auze ndio akamilishe hilo dili ,akanibishia ,
Leverkusen wanawaiga BVB , hawataki bargain wanataka Cash ,no installment wala add ons
Hapo kuna uwezekano msinunue kipa , wala beki ,
Sure hii ndo golden chance maana timu nyingi zipo hovyo kiuchumi kutokana na effect za pandemic....ukienda kumuulizia next summer unawakuta real Madrid na Bayern wameshajipangaShida itakuja tusipo mpata saivi(Havertz) ndege ataruka na kumpata tena itakua shughuli.
Kwahuu usajili naamini utajinasua toka mid-table team......VP partey na coutinho wameshatua?Yajayo yanafurahisha sana
Suala la muda tuKwahuu usajili naamini utajinasua toka mid-table team......VP partey na coutinho wameshatua?

Partey ndani ya nyumba,Kuna jitu linaenda kupigwa €100m soon,From twitter accounts za Christian Falk and Kevin palmer " havertz will become the most expensive German player of all time" is the deal edging close.......?
















Ding


Dong





Watauzika polepole kama Batshuayi nimesikia Leeds wanamtaka anaweza kuondoka dirisha hili. Wengine mdogo mdogo tu.Changamoto iliyopo wachezaji wetu hawauziki kwa haraka na hii changamoto ya Corona timu nyingi ziko zohofu hali zinataka tuwape wachezaji kwa mkopo.
Barkely
Zappacosta
Joginho
Drinkwater
Mosses
Batshuayi
Keppa
Tomori
Ermason
Rudger
Christensen
Bakayoko
Hapa unapata pesa gani ya haraka? Jogniho alikuwa hot sokoni baba yake amefukuzwa kazi Juve.
Labda tuwauze Zouma, Kante, Odoi, Mount, Alonso tunaweza pata pesa ya haraka.
Tungekomaa naye msimu huu tumpate then tunarudi nyuma.Sure hii ndo golden chance maana timu nyingi zipo hovyo kiuchumi kutokana na effect za pandemic....ukienda kumuulizia next summer unawakuta real Madrid na Bayern wameshajipanga
Arsenal haijawahi kuwa na afadhali. Amka ndotoni nduguYajayo yanafurahisha sana