Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Higuain's warning to Messi: PL defenders kick you and freekicks aren't called



Undava tu
1597765373172.jpg
 
Bayern leverkusen wametoa taarifa kwamba Ifikapo tarehe 28 mwezi huu, Chelsea haijalipa transfer fee wanayoitaka ya Harvetz basi hawatamuuza tena Harvetz mpaka dirisha lijalo.

Chelsea ofa yetu ni pungufu kwa £20M ya kiasi wanachotaka leverkusen
Sasa nyinyi si mna pesa, mbona mnalialia kwa vipesa mbuzi
Fungua pochi
 
Bayern leverkusen wametoa taarifa kwamba Ifikapo tarehe 28 mwezi huu, Chelsea haijalipa transfer fee wanayoitaka ya Harvetz basi hawatamuuza tena Harvetz mpaka dirisha lijalo.

Chelsea ofa yetu ni pungufu kwa £20M ya kiasi wanachotaka leverkusen
Kuna MTU nilimwambia juzi hapa Chelsea anajivuta kwanza hadi auze ndio akamilishe hilo dili ,akanibishia ,

Leverkusen wanawaiga BVB , hawataki bargain wanataka Cash ,no installment wala add ons

Hapo kuna uwezekano msinunue kipa , wala beki ,
 
Kuna MTU nilimwambia juzi hapa Chelsea anajivuta kwanza hadi auze ndio akamilishe hilo dili ,akanibishia ,

Leverkusen wanawaiga BVB , hawataki bargain wanataka Cash ,no installment wala add ons

Hapo kuna uwezekano msinunue kipa , wala beki ,
Uzuri ni kuwa Havertz ni optional ikitokea deal limeshindikana haita affect kitu kwa sababu yupo Mount. Kwa iyo nguvu ya usajili itapelekwa kwa backline. GK, CB na LB
 
Kwahuu usajili naamini utajinasua toka mid-table team......VP partey na coutinho wameshatua?
Suala la muda tu Partey ndani ya nyumba,
Kuhusu suala la ukubwa wa klabu lilishajibiwa muda mrefu tu na Legendary....
arsenalrealist-20200818-0001.jpg
 
Changamoto iliyopo wachezaji wetu hawauziki kwa haraka na hii changamoto ya Corona timu nyingi ziko zohofu hali zinataka tuwape wachezaji kwa mkopo.

Barkely
Zappacosta
Joginho
Drinkwater
Mosses
Batshuayi
Keppa
Tomori
Ermason
Rudger
Christensen
Bakayoko

Hapa unapata pesa gani ya haraka? Jogniho alikuwa hot sokoni baba yake amefukuzwa kazi Juve.

Labda tuwauze Zouma, Kante, Odoi, Mount, Alonso tunaweza pata pesa ya haraka.
Watauzika polepole kama Batshuayi nimesikia Leeds wanamtaka anaweza kuondoka dirisha hili. Wengine mdogo mdogo tu.
 
Sure hii ndo golden chance maana timu nyingi zipo hovyo kiuchumi kutokana na effect za pandemic....ukienda kumuulizia next summer unawakuta real Madrid na Bayern wameshajipanga
Tungekomaa naye msimu huu tumpate then tunarudi nyuma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom