Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,585
- 2,666
Jadon soonUshawishi wa nini? ..wewe umemsajili nani hadi sasa?
Jadon soonUshawishi wa nini? ..wewe umemsajili nani hadi sasa?
Sancho atakuwa hana akiliJadon soon
Hivi wewe unaishi sayari ipi?Jadon soon
Wewe ndo huna akiliSancho atakuwa hana akili
KwaniniHivi wewe unaishi sayari ipi?
John stones(defender asiyejua kudefend) kuweni serious si bora mmuchukue smalling.Mbona zipo tetesi za Chelsea kutuma offer kwa baadhi ya club MF. José gimenez(atletico)
John stones, declan rice .
Kafunga goli zuri sanaMario Pasalic kashaweka moja huko UEFA Quarter final na PSG
Ww jamaa una akili sana ,hujijui tu kuwa unajuaTimu yenye safu bora ya USHAMBULIAJI hushinda MECHI.
Timu yenye safu bora ya ULINZI hushinda KOMBE
USHAMBULIAJI + ULINZI = KOMBE
Lakini Declan Rice anahusishwa kutakiwa na Chelsea japo West Ham bado wanakaza kumuachia.Timu yenye safu bora ya USHAMBULIAJI hushinda MECHI.
Timu yenye safu bora ya ULINZI hushinda KOMBE
USHAMBULIAJI + ULINZI = KOMBE
Ni kweli kabisaa....haswa golini na beki ya katiTujifunze kwa Liverpool ya 2016-18
Timu ispokamilika hakuna kitu hata kama tumefanya usajili mzuri wa akina Ziyech, Werner na Haverts
Kama hatutasajili GK, CB la LB world class na kumuweka creative midfielder hapo katikati timu hii itakuwa ya kupambania top 4 tu
Liverpool walipokuwa wanawategemea akina Karius, Moreno na Lovren walikuwa wanabamizwa ile mbaya, wao wakifunga 4 huku nyuma wanaachia 5 au 6 AU mmeshasahau?
Tukiwa na akina Werner, Ziyech Pulisic na Havertz tuna uhakika wa kufunga timu yeyote hiyo sina shaka ila "tusipoziba ufa tutajenga ukuta"
Tusipoziba matobo ya kwenye GK, CB, LB na katikati tutapokea vipigo, yaani akina werner na wenzake wakifunga 4 sisi tutafungwa 5 au 6 na mwisho wa ligi tutakuwa tunapiga vigelegele sio kwa kuchukua ubingwa bali kumaliza top 4