Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yani Jamaa una Ndoto za kujenga angani.

Mumechukua Zyech na Werner,
Sasa bado una ndoto za kuwasajili Havertz-Oblak-Chilwell-Dunk ?? Unajuwa wanacost shilingi ngapi hao ukijumlisha na za Werner na Zyech?

Amini tajiri wako atazitoa hizo hela.
Anachukulia poa sana, hajiulizi kwanini hadi sasa Wanavutana kwenye dili la Havertz , Ambapo wanahitajika kuuza fringes kwanza ndio wa afford
 
Anachukulia poa sana, hajiulizi kwanini hadi sasa Wanavutana kwenye dili la Havertz , Ambapo wanahitajika kuuza fringes kwanza ndio wa afford
Deal la havertz alidepend na kuuza wachezaj
The only thing kinachofanya deal lichelewe ni jins litakavyolipwa according to various sources

Deal linalodepend na kuuza ni upande wa lb na cb coz wako player wengi in that area
Even tho kuna tetes zinasema deal la chilwel huenda likakamilika ndani ya wiki japokuwa sio from reliable sources
 
1597680227716.png
 
Tukienda kwa takwimu, Marcos Alonso ni mzuri zaidi ya Ben Chilwell, Lampard sijui anampendea nini huyu
1597680551142.png
 
Messi 'tells Barca he wants to leave' (Esporte Interativo)
SkySports
 
Nauliza hakuna timu iliyomtaka Kepa adi sasa?
Ata kwa mkopo tu

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hiyo takataka atachukua nani? [emoji23][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837]
 
Alonso sio mzuri kwa 433 maybe kuna kitu amekiona sisi atujakiona n smtime stats zinadepend na match walizocheza
Aliyecheza mechi chache na akafanya vizuri ni tofauti na yule aliyecheza mechi nying
Pitia vizuri hizi work rate factors halafu uniambie ni wapi hasa Chilwell anakuwa Asset zaidi ya Alonso. Kule LCFC mashabiki hawamkubali, wanasubiri tu aondoke. Comment za watu wengi wanasema hivyo hivyo. Sajili zote tutakazofanya msimu huu, Chilwell itakula kwetu ukichukulia pesa inayolipwa na pengine mshahara watakaomuahidi kwenye mkataba. Bora twende na option ya akina Alex Telle
1597683994568.png
 
Tukienda kwa takwimu, Marcos Alonso ni mzuri zaidi ya Ben Chilwell, Lampard sijui anampendea nini huyu
View attachment 1540352
Wewe una akili sana , sema huyu ni muingereza naona

Ila sioni akimzid Alonso, hapo kwa chilwell mnaenda kupigwa ,

Kwanza umekosea sana kumfananisha na Alonso, mfananishe na Shaw au Emerson

Media za UK wanapenda sana kukuza ujinga

Mbona Jana Rashford na juz rahim walipokosa magoli ya wazi wala hawasemwi sana , Angekosa mwingine kama Lukaku hadi sasa ingekuwa Ndio habari ya mjini
 
Pitia vizuri hizi work rate factors halafu uniambie ni wapi hasa Chilwell anakuwa Asset zaidi ya Alonso. Kule LCFC mashabiki hawamkubali, wanasubiri tu aondoke. Comment za watu wengi wanasema hivyo hivyo. Sajili zote tutakazofanya msimu huu, Chilwell itakula kwetu ukichukulia pesa inayolipwa na pengine mshahara watakaomuahidi kwenye mkataba. Bora twende na option ya akina Alex Telle
View attachment 1540427
Kwa chilwell mnaenda kupigwa Kama man u walipopigwa kwa magwaya

Chilwell anamzid nn Emerson ? Maana ni dhambi kumfananisha na Alonso
 
Europa League Final on Friday
Inter-Milan VS Sevilla
1597697430337.png
 
Kwa chilwell mnaenda kupigwa Kama man u walipopigwa kwa magwaya

Chilwell anamzid nn Emerson ? Maana ni dhambi kumfananisha na Alonso
Kupigwa ni issue ya baadae hata ambao wakati kepa anasajiliwa no one aliexpect kepa atakuwa na performance kama ya msim huu

Mda ndio unaoamua na sii kwa kuwa flani alipigwa na wewe ulipigwa sajili zote huwa zina hit n miss
Mchezaj yyt uliyemsajil akihit fresh
Angalia
James rodriguez,coutinho,jovic hawa wote walikuwa wazuri kwenye tim ila baada ya kuhamia kwenye tim zingine sahiv washakuwa wanatolewa kwa mkopo hakuna aliyetegemea james rodriguez atakuwa flop madrid ila ndio mpira ulivyo

Cahil alikuja chelsea akiwa na kiwango cha kawaida ila baadae akadevelop akaja kuwa cb mzuri tu na kiongozi ndani ya uwanja

Same to chilwel leo hii unaweza ukawa unahis unapigwa ila usishangae yeye ndio akawa best signing halaf wale mliowategemea ndio wakabuma
 
Kupigwa ni issue ya baadae hata ambao wakati kepa anasajiliwa no one aliexpect kepa atakuwa na performance kama ya msim huu

Mda ndio unaoamua na sii kwa kuwa flani alipigwa na wewe ulipigwa sajili zote huwa zina hit n miss
Mchezaj yyt uliyemsajil akihit fresh
Angalia
James rodriguez,coutinho,jovic hawa wote walikuwa wazuri kwenye tim ila baada ya kuhamia kwenye tim zingine sahiv washakuwa wanatolewa kwa mkopo hakuna aliyetegemea james rodriguez atakuwa flop madrid ila ndio mpira ulivyo

Cahil alikuja chelsea akiwa na kiwango cha kawaida ila baadae akadevelop akaja kuwa cb mzuri tu na kiongozi ndani ya uwanja

Same to chilwel leo hii unaweza ukawa unahis unapigwa ila usishangae yeye ndio akawa best signing halaf wale mliowategemea ndio wakabuma
Sasa Chilwell si bora ubaki na Alonso

Wachezaji wa kiingereza huwajui vzr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom