Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huwa simjibu zaidi ya mara moja kama haelewi maana hata umri wake sijui, kwa majibu yake tu atakuwa kwenye ule umri wa wale wasioelewa au jirani yake. Habari za media za ushenzini ndio anatuletea hapa kama defending point
Tulia wewe
Screenshot_20200726-161524.jpg
 
Atleast huyu ana experience kidogo na PL umri wake miaka 28 anaweza kuwa msaada kule nyuma.

Lewis Dunk wa Brighton wale waliofukua mtaro wa Arsenal baada ya break ya Corona.View attachment 1539507
Kule nyuma ya.... [emoji23][emoji23][emoji23]Kweli anaweza kuwa msaada, maana sheffield na westham wanaweza tibua tope muda wowote
Screenshot_20200726-161524.jpg
 
Hakuna mchezaji hapa huyu nae ni takataka tu, hafai kuichezea Chelsea overrated sana. Beki mbona wako wengi na wazuri Sergio Reguilon ama Alex Telles hawa ndio wakusajili sio hilo li takataka.
Mzee wa takataka naona tulikupa likizo ya lazma[emoji23][emoji23][emoji23]
Welcome again

Coyg
Stl
London is red
 
Hakuna mchezaji hapa huyu nae ni takataka tu, hafai kuichezea Chelsea overrated sana. Beki mbona wako wengi na wazuri Sergio Reguilon ama Alex Telles hawa ndio wakusajili sio hilo li takataka.
Nadhan hata wakati Garry Cahil anasajiliwa kutoka bolton ingekuwa wakati huu mashabiki wengi wangeupinga usajili coz ya uingereza sisi mashabaki ndio tunavyoamini hivyo tukae

Miaka 15 iliyopita first eleven yetu ilikuwa na 4 british player katika line up yetu ingekuwa sasa hiv watu wengi wangepinga ingekuwa lampard anapendelea

Chilwel stil ana room ya kuimprove kuiangalia ndio kwanza ana miaka 23 kitu ambacho sikubaliani nacho ni bei yake tu
 
Baada ya kuwafanyia unyambisi Manure jana, mashabiki wa Chelsea wana maoni haya juu ya Chilwell dhidi ya Sergio Reguilon baada ya Reguilon kuwazuia akina greenwood na wenzake na pia kutoa assists nzuri ya goli la kwanza la Suso dk ya 26
1597624331738.png
 
Hiyo ni kawaida mara moja moja mchezaji kupoteza consistency baadhi ya mechi. Ila huku mwisho dogo aliwasha moto sana.
Point yangu kutokana na hvyo vikosi sioni lampard akimuacha mount nje...coz kwa msimu huu ndo favourite wa lamps n kacheza game nyingi zaidi ya mchezaji yeyote...ila tusubiri tuone
 
Mimi siongelei Uingereza wake nasema ana kiwango cha chini sana
Mason Mount ni mzuri sana ila hataweza fikia quality ya Havertz has kwenye maeneo haya
  1. Dribbling
  2. Bal control
  3. Passing (short and long)
  4. Finishing
  5. Composure
  6. Stamina
  7. Speed
Maeneo mengi yaliyobaki ni kama wako sawa

FIFA 20 Kai Havertz Assessment as on 12 Aug 2020
1597659096107.png

FIFA 20 Mason Mount Assessment as on 12 Aug 2020
1597659161743.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom