Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ila ni furaha ya muda mfupi tuu!
Hawa "FIFARONA"next half watakuja kivingine sana!

Ila afadhali vijana wametangulia angalau wanaweza kupata matokeo mazuri leo niko upande wao dhidi ya hawa UEFALONA.
 
hii second half utamuona drogba kama hajaumia kabisa..anakuwa full mwenye nguvu
 
chesii wapaki basi dakik ya 75 sasa hivi ni mapema mno....
 
chelsea wanatakiwa kunwa na mtu kama tgatusso kazi yake ni kuzunguka tu uwanja mzima..ulipo mpira na yeye yupo
 
halafu jamaa huwa ana hernia na wamempiga pale pale dodoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom