Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Drogba kazidi kuanguka anguka,2minutes left kwa halftime
 
Karibia watabiri wote wameanza na Chelsea 0- .. Barca, utabili wao umeanza ku fail. HT Chelsea 1- 0 Barca
 
siku ukimuona drogba anadondoka dondoka ujue lazime azame nyavun...
 
mimi nishaanza kusema kocha si amtoe,


nimekuwa nikimfatilia sana huyu jamaa....mechi kali zote huwa anakuwa kama anaumia umia hivi kuna ile fainali moja ya FA nayo ilikuwa hivi hivi....matokeo yake akawaliza man u....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom