Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vyombo vya habari Uingereza zinaongoza kwa tetesi
Eti Ngolo Kante na wengine 10 kuuzwa Chelsea
Vyombo vingi vimeripoti ikiwemo SkySports
Sasa wakiuza timu nzima watanunuaje kwa mpigo
 
Pulisic na Azpilicueta tunaweza kuwakosa kwa wiki tano
 
1596557663293.png

Sitamsahau huyu JOKER
 
Antony Taylor in Action, Jamaa anaichukia kweli kweli Chelsea sijui tulimkosea nini. Mechi na Manure Maguire anamminya mapumbu Michy Batsuayi
1596557788313.png

1596558198036.png
 
Chelsea open to offers for Kepa Arrizabalaga, Jorginho, Antonio Rudiger and more
View attachment 1527074

Emerson, Victor Moses, Tiemoue Bakayoko, Danny Drinkwater, Kurt Zouma, Andreas Christensen and Michy Batshuayi also among long list of players Chelsea are willing to offload
  1. Kepa Arrizabalaga,
  2. Jorginho,
  3. Antonio Rudiger
  4. Emerson,
  5. Victor Moses,
  6. Tiemoue Bakayoko,
  7. Danny Drinkwater,
  8. Kurt Zouma,
  9. Andreas Christensen
  10. Michy Batshuayi
Source: SkySports
Sasa mna tofauti gani na yanga

Chelsea ni Utopolo unaovaa brauzi za bluu.
 
Mi nachukuaga kwa Dauda mwanangu. Juzi nimeona katangaza zimeshafika za msimu ujao.

Halafu yan mimi nishindwe kuvaa jezi za Chelsea wakati wewe unavaa nitakua na akili timamu kweli? maana misororo ya timu yenu inahitaji courage sana kutia uzi mwilini.
Dauda anawapiga bei gani?
Kama vipi nijivute nikachukue away kit ya Man city ni kali sana
 
Vyombo vya habari Uingereza zinaongoza kwa tetesi
Eti Ngolo Kante na wengine 10 kuuzwa Chelsea
Vyombo vingi vimeripoti ikiwemo SkySports
Sasa wakiuza timu nzima watanunuaje kwa mpigo
Kwani yanga wanawezaje nyie mshindwe
 
Kwa mashabiki wa Chelsea tu, Ebu chagua mchezaji wako wa msimu hapa na utoe angalau sababu moja ya kumchagua

  1. Christian Pulisic
  2. N'Golo Kante
  3. Mateo Kovacic
  4. Willian
  5. Cesar Azpilicueta
  6. Jorginho
  7. Mason Mount
  8. Tammy Abraham
  9. Olivier Giroud
  10. Kurt Zouma
Kwangu mimi ni Mateo Kovacic. Huyu jamaa kwenye midfield ametimiza sana wajibu wake. Tatizo kubwa la Chelsea linaweza onekana ni beki pekee ila kwenye viungo kuna shida sana hasa wengi wakiwa wavivu lakini huyu mwamba kiwango chake kimekua vizuri sana mpaka kuna wakati anabeba majukumu ya Jorginho hasa kwenye kukaba lakini haachi pia jukumu lake la kukata mawasiliano ya viungo ya timu pinzani ukiangalia game na Man Utd.

Kama Kanté asingesumbuliwa na majeraha imani yangu tungekua na midfield nzuri sana kwa sababu aki ungana na Kanté mmoja ana anakata umeme mwingine anang'oa nguzo kabisa.

Kovacic My Chelsea Player Of The Season.
 
Kwa mashabiki wa Chelsea tu, Ebu chagua mchezaji wako wa msimu hapa na utoe angalau sababu moja ya kumchagua

  1. Christian Pulisic
  2. N'Golo Kante
  3. Mateo Kovacic
  4. Willian
  5. Cesar Azpilicueta
  6. Jorginho
  7. Mason Mount
  8. Tammy Abraham
  9. Olivier Giroud
  10. Kurt Zouma
lembu Mateo Kovacic ndio anastahili kuwa best player of the team ameperform kwa kiwango Cha juu karibia match zote.Amevuruga team nyingi za opponent pale katikati ikiwemo game dhidi ya man u fa n.k, kiasi Kikubwa yeye ndio anafanya Chelsea icheze soka zuri la kushambulia anaweza kuchukua mpira kwenye maeneo magumu na kusupply kwenye maeneo hatari.
Southern Highland
 
Kwangu mimi ni Mateo Kovacic. Huyu jamaa kwenye midfield ametimiza sana wajibu wake. Tatizo kubwa la Chelsea linaweza onekana ni beki pekee ila kwenye viungo kuna shida sana hasa wengi wakiwa wavivu lakini huyu mwamba kiwango chake kimekua vizuri sana mpaka kuna wakati anabeba majukumu ya Jorginho hasa kwenye kukaba lakini haachi pia jukumu lake la kukata mawasiliano ya viungo ya timu pinzani ukiangalia game na Man Utd.

Kama Kanté asingesumbuliwa na majeraha imani yangu tungekua na midfield nzuri sana kwa sababu aki ungana na Kanté mmoja ana anakata umeme mwingine anang'oa nguzo kabisa.

Kovacic My Chelsea Player Of The Season.
Naona mzee tunalingana kimawazo angalia nimecomment hivo hivo ngojea nikutag uione
 
lembu Mateo Kovacic ndio anastahili kuwa best player of the team ameperform kwa kiwango Cha juu karibia match zote.Amevuruga team nyingi za opponent pale katikati ikiwemo game dhidi ya man u fa n.k, kiasi Kikubwa yeye ndio anafanya Chelsea icheze soka zuri la kushambulia anaweza kuchukua mpira kwenye maeneo magumu na kusupply kwenye maeneo hatari.
Southern Highland
Huyu jamaa ni moja kati ya wachezaji wachache eneo la kiungo aliyefanya take ons nyingi

Anaingia sana uvunguni na kufanya dribbling

Anacheza sana rafu za kimya kimya , aliwavuruga sana man u ,

Nilipomuangalia nikasema mech na fainal yetu , akikaa vibaya atalambwa red

Ni mchezaji mzuri sana , kama mnamuuza basi lampard anakosea
 
Huyu jamaa ni moja kati ya wachezaji wachache eneo la kiungo aliyefanya take ons nyingi

Anaingia sana uvunguni na kufanya dribbling

Anacheza sana rafu za kimya kimya , aliwavuruga sana man u ,

Nilipomuangalia nikasema mech na fainal yetu , akikaa vibaya atalambwa red

Ni mchezaji mzuri sana , kama mnamuuza basi lampard anakosea
Kwani Nani kakuambia anauzwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom