Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa sababu ya majeruhi, Chelsea itawapa nafasi academy kwenye mchezo wake na Bayern
  1. Lewis Bate,
  2. Dynel Simeu
  3. Ian Maatsen
  4. Armando Broja
  5. Henry Lawrence
Wataungana na akina
  1. Callum Hudson Odoi
  2. Tammy Abraham
  3. Mason Mount
  4. Christian Pulisic
Kuikwamua Chelsea katika mechi ya marudiano hatua ya 16 bora na Bayern Munich
Kila la heri Chelsea
 
Arterta ni kocha mzuri
TATIZO LA ARSENAL
Different Coaches, Same Results
Arsenal ni ile ile labda mbadilishe owner anunue mtu kama Roman
Acha upigaji ramli lembu ,unajua had sasa Owner kanunua deni la Arsenal la £210m ,ili Arsenal ifanye investment kwenye usajiri ,ambao Arteta anauhitaji
 
Nyie cheltyako haya kesho mnaolewa tena fanyeni kuwasafishia naniliu iyo wakina lewandoski
 
London is Blue
Pride of London.
JamiiForums739720064.jpg
 
Acha upigaji ramli lembu ,unajua had sasa Owner kanunua deni la Arsenal la £210m ,ili Arsenal ifanye investment kwenye usajiri ,ambao Arteta anauhitaji
Kwanza hujajibu swali,pili najua kabisa owner ni Stan Kroenke, amenunua deni hajanunua is out of context.
Labda mimi niko nyuma ya wakati, ebu nitajie US tycoon waliofanikisha vilabu vya mpira hasa ligi kubwa za Ulaya kuanzia 2010 kwenda juu
Waoga hawawezi kuwakuta Waarabu au Warusi labda waanze kwa Arsenal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom