Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huu uzi bado unavitoto kweli yaani , unaeza hisi walifunga magoli ya halali yakakataliwa. nyinyi kubalini mmepigwa na uwezo wenu ni mdogo sanaa ova
Ina maana we muda wote nnavyoliita jukwaa la vitoto hukujua kama humu kweli kuna vitoto

Kuna mmoja alisema alikuwepo toka enzi za FRANSISCO ZOLA
wengi wao wanasimuliwa tu kuhusu hii timu, wakati sisi hao kina Giafranco, Didier Deschamps,Viari, Dersailly, Tole andre Flo na kina Petrescu wanacheza sisi tuliiona na tuliwaona vihande tu kama Preston Northend au Njombe mji ya sasa
View attachment 1525937
 
Mipira ya chini, mipira ya hewani mwili unaamua
Tukae humo mzee baba
JamiiForums739720064.jpg
 
Willian still rejects Chelsea's two-year contract offer, while they don't want to offer three years. Looking like Willian will leave but no decision imminent as he focuses on Chelsea's Champions League run-in.

[Nizaar Kinsella]
 
Mark Clattenburg :- FA bent their rules to give Anthony Taylor second Cup final on Saturday.... and Chelsea were wronged by Mateo Kovacic's second yellow card at Wembley.

Tukiongea sisi tunasemwa vitoto kisa tunaongea uhalisia. Huyo ni referee wa EPL kaongea. Yawezekana kwenye keyboard tunaonekana kama watoto lakini uhalisia wanaujua nabyawezekana wengi wao sisi ni baba zao wadogo.
 
Mashabiki wenzangu wa Chelsea tukubali kuwa tumefungwa ki-halali na Arsenal. Tujipange kushabikia timu yetu next season naamini makosa ya mabeki kocha anayafanyia kazi. Na next season naamini tutakuwa well organized tim na yenye confidence to challenge title. Comeonchelsea2020/2021. Blue is colour
Chelsea inatakiwa kufanya usajiri wa striker no.1 then Abraham awe anatoka sub
 
Ngoja niwaambie kitu wanachelisii kuhusu usajili wenu japokuwa mimi sio shabiki wenu.

Chelsea tatizo lenu kubwa lipo kwenye beki na mshambuliaji.

Sasa nawashangaa mnavyohangaika kusajili viungo washambuliaji wakati miviungo mnayo ya kutosha!

Huyu Havert sio namba 9 kama hamjui, ni natural 10!

Ona mmesajili Timo Werner (LWF), Ziyech (AMF/RWF) bado mnataka kumsajili Kai Havert (SS) wakati mlitakiwa msajili mtambo wa kupachika mabao, nazungumzia Natural Striker (9, CF) ili tatizo lenu lipate utatuzi.

Na sitoshangaa msimu ujao tukaendelea kuwaona akina Zouma, Rüdiger na Azpilicueta kule nyuma maana huwa mnajenga katikati halafu nyuma mnaziba nyufa tu, mwisho wa siku ukuta unaachia tena.
Kweli mkuu tatizo kubwa la Chelsea ni no. 9
 
We unaangalia mpira kweli?
Huyo anajua mpira.. Hebu sema wewe unategemea nani awe mpachikaji wako wa mabao msimu ujao?

Labda muamue kucheza kama Liverpool, mawinga ndio wanaoshinda.

Lakini kama mtakuwa mnategemea no. 9 ya Giroud na Tammy mnatoka patupu na msimu ujao
 
Mark Clattenburg :- FA bent their rules to give Anthony Taylor second Cup final on Saturday.... and Chelsea were wronged by Mateo Kovacic's second yellow card at Wembley.

Tukiongea sisi tunasemwa vitoto kisa tunaongea uhalisia. Huyo ni referee wa EPL kaongea. Yawezekana kwenye keyboard tunaonekana kama watoto lakini uhalisia wanaujua nabyawezekana wengi wao sisi ni baba zao wadogo.
Ulishasahau kuwa yule refa aliyechezesha game mliyoshinda kwa dhulma nae aligongwa BAN kwa kuwabeba na hamkulizingatia hilo


JamiiForums739720064.jpg
 
Huyo anajua mpira.. Hebu sema wewe unategemea nani awe mpachikaji wako wa mabao msimu ujao?

Labda muamue kucheza kama Liverpool, mawinga ndio wanaoshinda.

Lakini kama mtakuwa mnategemea no. 9 ya Giroud na Tammy mnatoka patupu na msimu ujao
Ujui kwamba Chelsea imemsajili Timo Werner
 
Alokwambia Timo Werner no. 9 ni nani?

Ndo mana nikasema labda mtumie mchezo wa Liverpool wa kutumia mawinga kama washambuliaji
Timo Werner anazimudu nafac 2 za LWF na CF ....+ ujio Wa havertz utampa lamps option kibao za mifumo IPI ya kutumia...so mi sioni shida ya no.9 ilhali kuna ripoti lampard alihojiwa atakuwa anamchezesha timo nafasi ipi na akasema striker
 
Tuambie mtaalamu Timo ni namba gani?
Position za Werner ni hizi:

(SS), (LWF) & (AMF)

Timu ya taifa ya Ujerumani walimtumia kama no. 9 ya uongo kwa sababu katika misimu hii hawakupata straika wa maana wa kufunga magoli kama miaka iliyopita ya kina Gomez na Klose.

Kwahiyo mkitaka kumtumia kama wanavyomtumia wajerumani ndo lazima mrudi kwenye mfumo wa Liva wanavyomtumia Firmino
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom