eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,401
Wanasema mpira dakika tisini lakini bila shaka Chelsea wataendeleza rekodi yao ya kumaliza msimu na kikombe
Haahaaa ushubwada tu
Mkuu lipo jukwaa la wazee wa kuweka mizigo. Nadhani contents kama hizi zinawafaa kule. Huku naweza sema umepotea njia.
Wapiga lamli wameanza ...[emoji23]
Weka akiba ya maneno mzeeInshu hapa siyo ramli... ni matarajio (forecast/prediction) vitu ambavyo ni sayansi kabisa. Kwa namna yeyote leo lazima Arsenal ashinde, kama nadharia inayosababisha kusema hivyo ina usahihi. Nadharia hiyo ilipotumika mechi ya Man U vs Leicester ilionyesha matokeo chanya. Tunaipima tena mechi hii.
Kama matokeo yatakuwa tofauti na nadharia, ina maana nadharia ni mbovu, inayofaa kuboreshwa au kutupwa. Na nadharia yoyote hupimwa kwa uwezo wake wa kutangaza matarajio kabla ya matukio.Weka akiba ya maneno mzee
Amina.Mungu ibariki Chelsea, Mungu ibariki the blues.. Na wote tuseme Amina.!!
Mkuu unaleta porojo tu kama sayansi tuelezee inakuaje mpk Chelsea atashindwa Leo otherwise ni ramli tuUnazungumza Kiswahili kigumu!
tena giroud atawaliza mnoMkuu unaleta porojo tu kama sayansi tuelezee inakuaje mpk Chelsea atashindwa Leo otherwise ni ramli tu
Inaweza ikabarikiwa lakini ikafungwaMungu ibariki Chelsea, Mungu ibariki the blues.. Na wote tuseme Amina.!!
Mkuu unaleta porojo tu kama sayansi tuelezee inakuaje mpk Chelsea atashindwa Leo otherwise ni ramli tu
Unaishi kwa kukarili hata mechi ya CFC vs Man u mlisema kuwa Chelsea atafungwa magoli mengi.pia kwenye mechi ya man cty na chelsea mlisema hivyohivyo lakini kilichokuja kutokea hata wewe hukuamini.kwa hiyo hata leo tarajia chelsea kufungwaInshu hapa siyo ramli... ni matarajio (forecast/prediction) vitu ambavyo ni sayansi kabisa. Kwa namna yeyote leo lazima Arsenal ashinde, kama nadharia inayosababisha kusema hivyo ina usahihi. Nadharia hiyo ilipotumika mechi ya Man U vs Leicester ilionyesha matokeo chanya. Tunaipima tena mechi hii.
AminaMungu ibariki Chelsea, Mungu ibariki the blues.. Na wote tuseme Amina.!!
Unaishi kwa kukarili hata mechi ya CFC vs Man u mlisema kuwa Chelsea atafungwa magoli mengi.pia kwenye mechi ya man cty na chelsea mlisema hivyohivyo lakini kilichokuja kutokea hata wewe hukuamini.kwa hiyo hata leo tarajia chelsea kufungwa
Utafuta kauli yako baada ya hii game.the gunner hawapo tayari kupoteza hii gameUwepo kwa KANTE leo roho yangu imetulia.
Tulimfuta machozi babu SARI tukamwandikia historia ya kubeba kombe la kwanza.
LAMPARD leo tunakupa kombe la kwanza mbele ya makocha vijana EPL.
Uwepo kwa KANTE leo roho yangu imetulia.
Tulimfuta machozi babu SARI tukamwandikia historia ya kubeba kombe la kwanza.
LAMPARD leo tunakupa kombe la kwanza mbele ya makocha vijana EPL.