lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,692
- 25,907
Labda wasimpange agent wetu LuizHahaha, Jumamosi siyo mbali.
Arsenal wameanza kuipata formula ya Big Matches, jiandaeni.
Labda wasimpange agent wetu LuizHahaha, Jumamosi siyo mbali.
Arsenal wameanza kuipata formula ya Big Matches, jiandaeni.
Mda utaongea hakuna haja ya kubishana kila mtu ataongea kutokana na mapenzi yakeHarvertz hana alichomzidi Nicolas Pepe
Haahaaa kauli za kishujaa sioBREAKING: Bournemouth have accepted a £41m bid from Man City for Nathan Ake.
Tulikua tunaremba mwandiko kwenye daftari la mazishi. Man City wamepata kitasa tayari. Siyo mbaya tumempata agent wetu kwenye timu nyingine(kauli za kishujaa)
Sidhani kama chelsea walikuwa wakl serious naeBREAKING: Bournemouth have accepted a £41m bid from Man City for Nathan Ake.
Tulikua tunaremba mwandiko kwenye daftari la mazishi. Man City wamepata kitasa tayari. Siyo mbaya tumempata agent wetu kwenye timu nyingine(kauli za kishujaa)
Huyu anaenda kuwa back up ya laporte coz wote ni LCBBREAKING: Bournemouth have accepted a £41m bid from Man City for Nathan Ake.
Tulikua tunaremba mwandiko kwenye daftari la mazishi. Man City wamepata kitasa tayari. Siyo mbaya tumempata agent wetu kwenye timu nyingine(kauli za kishujaa)
Niliona mahali Bournemouth walikuwa wanawasubiri Chelsea na buy back clause wkt city wameweka offer...ila Chelsea hawajaresponse so wakamuuzaSidhani kama chelsea walikuwa wakl serious nae
Maana tungekuwa tunamtaka ilikuwa jambo la kuactivate buy back clause yake ambapo tungempata kwa 25-30M
Kwa akili yako kabisa unaamini Arsenal anaweza kumfunga Chelsea?
Kwanini asifungwe wakati kikosi ni kilekile kilichoruhusu mabao zaidi ya 45 EPLKwa akili yako kabisa unaamini Arsenal anaweza kumfunga Chelsea?
Saiv ffp ishajifia city kila kukicha wanasajil kwa lakin kuuza ndio mpka itokee mchezaj agome kusign mkataba mpyaTuassume pesa ya kumsajili HARVETZ €80M ipo tayari bila kuuza wachezaji.
Mahitaji mengine ya Usajili:-
Kipa - avarage price €40M
LB - avarage price €40M
CB - avarage price £55M
JUMLA = €135M
Mauzo ya wachezaji kulingana na thamani zao sokoni kwa sasa according to www.transfermarket.com:-
Keppa - €32M
Barkely - €21.50M
Ermason - €24M
Batshuayi - €17.50M
Bakayoko - €25.50M
Drinkwater - €4.5M
Moses - €6.8M
Zappacosta - €23M
Bonus ya mauzo ya Hazard - €30M
JUMLA = €184.8M
Sio mbaya pesa ya kusajili itapatikana, ila tuombee Mungu wachezaji wetu wanunulike sokoni [emoji23][emoji23][emoji23]
Unafikiri kuna timu ya kutoa kiasi kilichowekwa hapo ,,, Mhhh! labda mgawe tu au muwapeleke kwenye mikopoTuassume pesa ya kumsajili HARVETZ €80M ipo tayari bila kuuza wachezaji.
Mahitaji mengine ya Usajili:-
Kipa - avarage price €40M
LB - avarage price €40M
CB - avarage price £55M
JUMLA = €135M
Mauzo ya wachezaji kulingana na thamani zao sokoni kwa sasa according to www.transfermarket.com:-
Keppa - €32M
Barkely - €21.50M
Ermason - €24M
Batshuayi - €17.50M
Bakayoko - €25.50M
Drinkwater - €4.5M
Moses - €6.8M
Zappacosta - €23M
Bonus ya mauzo ya Hazard - €30M
JUMLA = €184.8M
Sio mbaya pesa ya kusajili itapatikana, ila tuombee Mungu wachezaji wetu wanunulike sokoni [emoji23][emoji23][emoji23]
Beki gani mzuri kwa sasa utampata kwa bei hiyo?Sidhani kama chelsea walikuwa wakl serious nae
Maana tungekuwa tunamtaka ilikuwa jambo la kuactivate buy back clause yake ambapo tungempata kwa 25-30M
Pau torres wa vilarealBeki gani mzuri kwa sasa utampata kwa bei hiyo?
Achana na barkley ambae kucheza kwake ni kwa kipindiHapana tupo hapo sababu timu kama arsenal na Tot hawakua vizuri, na pia uzembe wa leceister cty ila sio juhudi y baadhi y michezaji ya kingereza kama barkley no no! Wachezaji pekee wa kingereza naemwona talented ni Mount atafika mbali, james na hata odoi. Ila sio barkley.
Usitetee mkuu Pulisic na giroud na hata Alonso,alianza kuwaweka banch bila sabab y msingi mwisho wa siku akaumbuka.
Alonso sio mzuri ila nani mzuri zaid yake, Emarson aliekua anamng'ang'ania 1st eleven ndio alikua mmbovu kuliko!
Wanasaikolojia wa kitaa wanasema "Ukiona umeanza kutosikia maumivu ya mapenzi, ujue ushakuwa malaya"[emoji23][emoji23]Bora hata fainali tungeingia na liver au city angalau mechi ingekuwa na joto joto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]BREAKING: Bournemouth have accepted a £41m bid from Man City for Nathan Ake.
Tulikua tunaremba mwandiko kwenye daftari la mazishi. Man City wamepata kitasa tayari. Siyo mbaya tumempata agent wetu kwenye timu nyingine(kauli za kishujaa)
Sijaelewa hoja yako Ni ipi?Kwanini asifungwe wakati kikosi ni kilekile kilichoruhusu mabao zaidi ya 45 EPL