Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa kufanya hivyo anamkosea heshima Pedro kwani huyo odoi yupo Chelsea Huu msimu wa ngapi? Je unaamini kuja kwa Ziyech na kubaki kwa Willian ndio kutamfanya odoi apate time playing? Pedro ameperform vizuri Sana tangu aje Chelsea na kashinda makombe na still yupo vizuri mpaka leo Kuna aja gani kumpiga benchi mpaka game za mwisho?
Kwani odoi kaanza kucheza lini
Ameanza msim uliopita wakati wa sarri tena game za ueropa mpk ikafikia watu wengi wakataka aanze game za league siku anaanza ndio anapata injury iliyomfanya kiwango chake kishuke
Injury iliyomfanya akae almost 6 months

Tangia arudi sio yule odoi wa sarri ambaye bayern walikuwa wanamtaka
Pedro akiendelea kucheza unategemea odoi atapata nafasi jibu ni hapana

Kuja kwa ziyech odoi stil atapata nafasi either kuanza game za carabao, au kuingia kama sub

Ni mda wa kuandaa tim itakayokaa pamoja mda mrefu ndio maana sahiv ukiangalia target zetu zote na wachezaj tunaowasajili hakuna mchezaji wa miaka 28 anayetakiwa wengi ni 27 kushuka chini

Lampard anataka kujenga ufalme wake kupitia player wake ye mwenyewe usishangae baada ya kuanzia msim wa 2021/22 tukawa na 9 player katika first eleven wakawa ni usajili wa dirisha hili la 2020/21 na dirisha la 2021/22
 
Odoi hawezi kufika mahali Pedro amefika.
Odoi alikuwa anakuja vizuri tu sema injury ndio iliyomfanya kiwango chake kishuke

Wakati ajapata injury bayern walikuwa wako tayar kutoa £40M kwa ajili ya odoi ambae alikuwa amebakiza 6 months kwenye mkataba wake

Sababu kubwa iliyomfanya odoi leo hii watu muanze kumkataa ni injury aliyopata kuanzia hapo hajawa na consistenc amekuwa akisumbuliwa na injury za mara kwa mara
 
Unaona ninachokiona mimi, ebana lampard anatamani angekua na wachezaji wa kingereza wote kwnye kikosi chake, hata pulisic yupo tu kwnye kikosi chake sababu anaona aibu kumweka bench mana ana kipaji kisichofichika, mana mwanzo alianzaga kumweka benchi.

Msije shangaa hata hao wachezaji wapya wakala benchi sababu ya odoi na barkley.
Hao wachezaji wanaosajiliwa ni waingereza??

Kama angekuwa anapendelea wachezaji wa kingereza alishindwa kwenda dortmund kumsajil sancho, au yule dogo wa barmingham jude bellingham hao wote ni watoto wa kingereza mbona kawaacha.

Hao wachezaji unaowaponda ndio wametufanya tumalize ndani ya top 4

Issue ya pulisic fatilia press conference za lampard kuanzia mwanzo mwa msim kuhus pulisic
Pulisic alitoka kwenye concacaf alipokuwa na nat team hakwenda holiday akaenda moja kwa moja austria ambapo tim ilikuwa imeweka kambi wa kati huo na hakupata mda wa kupumzika ligi imeanza.

Pulisic amekaa sawa kuanzia game ya burnley baada ya game 5 akapata injury akawa ni mtu anayerudi kidogo anaumia mpka corona ilivyoingia pulisic alikuwa injury ila alivyorudi ni mechi 1/2 za league ambazo pulisic alianzia nje tu

Halaf ujue katika tim yyt ile lazima kuwe na home grown player
 
Mchakato wa Usajili ni mahesabu, inategemea Chelsea inapiga hesabu gani kwa sasa. Mfano:-

1. kumsajili matured HARVETZ kwa €80M au
2. Kusajili wachezaji wawili au watatu wanaocheza nafasi ya Harvetz kwa jumla ya €80M na kocha akaimprove vipaji vyao kufikia level ya Harvetz.

Tunatakiwa tujiulize maswali haya tumetoa £58M kwa Pulisic, tumetoa £48M kwa WERNER, tumetoa £44M kwa Ziyech

Swali kwanini tutuoe £80M kwa Harvetz? Na sio kwa kiasi hicho kwa wachezaji wawili? Sababu ni zipi?

Kiwango bora sana cha Harvetz?

Shinikizo la kocha anamtaka?

Shinikizo la Marina anamtaka?

Shinikizo la Roman anamtaka?

Recommendations za scouting team?
Dogo ni kiungo anaye funga ni tofaut na viungo tulio nao
Ni kma alivyokuwa super frank alikuwa anaweza kukupa goal 10 kila msim yeye kama kiungo nahisi hicho ndio lampard anachompendea kingine ni jinsi ya anavyoweza kuanzisha mov ya goal

Dg ni mzuri tumchukue tu huu ndio wakati sahihi ambapo madrid hawako sawa kifedha kwa sababu ya corona tukisema tumuache tunaweza jutia hapo baadae
 
OFFICIAL: The Community Shield will take place on Saturday August 29th.

Liverpool will face Chelsea.

ENGLISH_PREMIER_LEAGUE_update
IMG-20200730-WA0006.jpg
 
Ndo maana nimekuuliza kuja kwa Ziyech na willian kubaki ndio kutafanya huyo odoi kupata time playing?mbona hili swali limekuwa ngumu kujibu
Tuna mashindano mengi ya kushiriki
Uzuri hao wote wanacheza almost winger zote

Man city inaviungo wengi lakini foden bado anapata namba
Wana mahrez,sterling,bernado na stil wamensajili ferran torres

Depth ta team huwa ni muhim huwez tegemea wacheza wawili huku unashiriki
League,carabao,ucl,fa cup
Bado kuna injury hapo na kuna mechi 2 or tatu wachezaj utamkuta hayuko kwenye form
 
Nimekuelewa ndugu, hatuwatengi wala hatuwachukii hawa madogo wa academy. Tunachotaka waheshimu jezi ya Chelsea, wajitambue na wafocus kwenye kujenga career na brand zao.

James, Mount, Glimour, Tomori hawa ni vema [emoji3514]

Odoi, Tammy, RLC hawa wamechagua kula mshahara bure
Odoi na RLC ni injury ndio zimewafanya hivyo walivyo

Kabla hawajaumia wakati wasarri kila shabik wa chelsea alikuwa anawataka waanze hao refer msim wa sarri

Gilmour leo hii kapata injury itakayomuweka 4 months nje usitegemee gilmour akirudi huenda akawa ndio huyu wa msim huyo vitu viwil huenda vikatokea
Huenda akarudi na kiwango chake alichoishia nacho
Au huenda akarudi kiwango chake kikawa kimeshuka

Na huwa inawachukua mda mpka kurudisha viwango vyao kama kocha hakuamini ndio basi tena hapo
 
Gianfranco Zola has compared Chelsea’s moves for Hakim Ziyech and Timo Werner with his own experiences working alongside Maradona, with the Blues legend pointing out that better players are always required in order to raise collective standards.

Maradona arrived in 1984, two years before guiding Argentina to World Cup glory and Napoli to a couple of Italian top-flight titles, with the South American snapped up to inspire those around him.

Huyu Legend kaongea point, wachezaji wazuri huwapa changamoto ya kukuza viwango vya wengine kwenye timu
 
Chelsea have submitted an offer for Barcelona goalkeeper Marc-Andre Ter Stegen, Cadena Ser reports.
 
Ha ha ha, nyie jamaa mnawadharau sana Arsenal.
Hawana cha kudharau ni fahari ya mdomo tu, maana tumewapiga gape maeneo mengi sana, yaani hawa bado machalii tu... Sawa na Azam atambe kwa Dar Young Africans[emoji23][emoji23]

Si kwa makombe, si kwa head to head, si kwa fan base, si kwa mafanikio ya kiuchumi[emoji123][emoji123][emoji123]
 
Dogo ni kiungo anaye funga ni tofaut na viungo tulio nao
Ni kma alivyokuwa super frank alikuwa anaweza kukupa goal 10 kila msim yeye kama kiungo nahisi hicho ndio lampard anachompendea kingine ni jinsi ya anavyoweza kuanzisha mov ya goal

Dg ni mzuri tumchukue tu huu ndio wakati sahihi ambapo madrid hawako sawa kifedha kwa sababu ya corona tukisema tumuache tunaweza jutia hapo baadae
mzee umeongea fact tu👏
 
Hawana cha kudharau ni fahari ya mdomo tu, maana tumewapiga gape maeneo mengi sana, yaani hawa bado machalii tu... Sawa na Azam atambe kwa Dar Young Africans[emoji23][emoji23]

Si kwa makombe, si kwa head to head, si kwa fan base, si kwa mafanikio ya kiuchumi[emoji123][emoji123][emoji123]
[emoji837][emoji2422]--[emoji471][emoji838]
 
Mkienda kichwa kichwa mtarudi kindongandonga[emoji1787][emoji1787]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom