Mkuu Huyu Kai amecost bei gani?Tunafanya biashara nzuri sanaView attachment 1519770


,kisha mnakuja kulalamika mmepigwa. Mbona hiyo VAR ni kama imei favour chelshit! Ina maana timu zingine hazionewi, chelshit ndiyo inaonewa? Mashabiki wa hili li timu mnaugua, man utd kuchukua nafasi ya 3, wakati tulishawatahadharisha mapema kuwa tunawatoa hapo. Je! Tungechukua ubingwa ingekuwaje?KAMA VAR ISINGEONEA EPL EPL TABLE INGEKUWA HIVI
View attachment 1520072
Hujanielewa, maana yangu ilikuwa hivi, Ni mapema sana kusema kwamba biashara iliyofanyika ni nzuri/yenye faida au mbaya/yenye hasara,Mkuu mimi ni mfanyabiashara, kila maamuzi au deal nalofanya kwenye biashara zangu lina faida na hasara.
Sasa hapo inategemea faida ina ukubwa gani kuliko hasara au faida na hasara ni 50/50 lakini huwezi kufanya deal la 50/50 ni wastage of time angalau faida iwe 51/49.
Kwenye biashara risk zipo tuu, lakini huwezi kuogopa kufanya biashara kwa sababu ya risk, ila tunazipunguza kwa kuongeza umakini.
Hivyo hivyo kwenye kununua wachezaji, mpaka club inafikia maamuzi ya kununua mchezaji imeona kwamba faida ni kubwa kuliko hasara.
Other factors like ugumu wa ligi, maisha ya sehemu husika, hali ya hewa, etc remained constant. Huwezi kuniambia Kwamba club inafanya maamuzi ya kumnunua mchezaji ili ipate hasara NEVER.
Hakuna club duniani haipati hasara kwenye kununua wachezaji mfano Madrid inanunua wachezaji wengi sana kila msimu wengi wao wanaflop.
Huwezi kuziambia hizi club ziache kununua wachezaji kwa sababu ya kupata hasara kwa mchezaji mmoja au wawili , wanapata faida kubwa sana kuliko hasara.
Na hata mchezaji akiflop huwezi kumuuza bei sifuri, atatolewa mkopo na baadae anaweza kununuliwa permanent au akauzwa kwa nusu bei. Nyie wenyewe ni wanufaika wa ceballos kutoka Madrid.




Nawewe siku hizi umeanza tabia za ajabuajabu utadhani shabiki wa Asernal,mbona zamani hukuwa hivi.Mbona hiyo VAR ni kama imei favour chelshit! Ina maana timu zingine hazionewi, chelshit ndiyo inaonewa? Mashabiki wa hili li timu mnaugua, man utd kuchukua nafasi ya 3, wakati tulishawatahadharisha mapema kuwa tunawatoa hapo. Je! Tungechukua ubingwa ingekuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Man city +7Mbona hiyo VAR ni kama imei favour chelshit! Ina maana timu zingine hazionewi, chelshit ndiyo inaonewa? Mashabiki wa hili li timu mnaugua, man utd kuchukua nafasi ya 3, wakati tulishawatahadharisha mapema kuwa tunawatoa hapo. Je! Tungechukua ubingwa ingekuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa juma LOkoLeKAMA VAR ISINGEONEA EPL EPL TABLE INGEKUWA HIVI
View attachment 1520072

Angalia tareh na mwka ya hiyo habari
Huwezi kutoka salama hapa mkuu,Jumamosi FA twende na ulinzi shirikishi 3-4-3
.........PULISIC...GIROUD...WILLAN...........
ALONSO....KOVACIC.....KANTE.....JAMES
.......RUDGER.... ZOUMA.....AZIPUCUETA...
.......................CABALLERO....................



Willian mjeruhJumamosi FA twende na ulinzi shirikishi 3-4-3
.........PULISIC...GIROUD...WILLAN...........
ALONSO....KOVACIC.....KANTE.....JAMES
.......RUDGER.... ZOUMA.....AZIPUCUETA...
.......................CABALLERO....................
Ongeza na Palasic=18MKumbuka mchezaji anapokuwa ananunuliwa anakuwa moto kwenye club anayotoka. Hao uliowataja bakayoko, jovic, contonho walikuwa moto sana, ilikuwa ni fursa kubwa kumsajili.
Halafu kwenye biashara kaka usiogope hasara, wewe unachotakiwa ukiangalie ni faida iwe kubwa kuliko hasara.
Wanasema kwamba bakressa group inapata hasara ya Tsh bilioni 3 kwa mwaka katika uendeshaji wake. Je wafunge biashara kwa hasara hiyo ilihali wanapata faida mara 100 zaidi ya hasara?
Bakayoko
Drinking water
Zappacosta
Hizi ni hasara ndogo sana kwenye manunuzi compaired na faida tuliyopata kimakombe na kuuza wachezaji.
Hazard + Morata = 150M
Courtous = 35M
Matic - 25M
Luiz = 8.7M
Tatizo lenu Arsenal wabahili sana nyie endeleeni na utaratibu wenu wa kukuza na kuuza. Mambo ya kufungua pochi nene tuachie matajiri wa London.
DullyJr Huo mfumo wako hawezi kumpiga Chelsea wakati Chelsea ndio master wa huo mfumo.Huwezi kutoka salama hapa mkuu,
Auba Laca Pepe
Tierney Xhaka Ceballos Niles
Holding Luiz Mustafi
Martinez
Katafute maturubai kabisa sina cha kupoteza.
Me ningependa acheze PedroAisee basi acheze MOUNT
.........PULISIC...GIROUD.....MOUNT........
ALONSO....KOVACIC.....KANTE.....JAMES
.......RUDGER.... ZOUMA.....AZIPUCUETA...
.......................CABALLERO....................
Unaangaliaga mazoezi ya Chelsea? Jamaa anaperform vizuri sijui kwanini Lampard ampangagi? nashangaa kwanini anamuamini odoi kuliko Pedro.Pedro Ni best finisher mzuri lakini pia ana Kasi na energy ya mchezo.Pia pedro sio mbaya anayo energy ya kutosha amepumzika muda mrefu, yupo sharp, ana njaa ya magoli, halitakuwa chaguo baya