Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ziyech anacheza vizri CAM, hii nafasi CAM kwa sasa wanacheza Mount na Barkley na RLC ambao hawatoshi kwa maoni yangu. Kama tukitaka kujenga wide scope team basi tuwe na wachezaji wengi wenye kutumainiwa kama mwingine hayupo kwa sababu ya majeruhi au kuchoka mwingine aweze kucheza mfano Pulisic sio wa kumtegemea sana kwa sababu anaumia mara kwa mara, Odoi pia, Kante pia nk. Kumbuka ukweli ni kwamba timu haitaweza kunuanua wachezaji wote wazuri wanaotakiwa kwa msimu mmoja, Taarifa za ndani ya Chelsea zinadai kuwa Willian bado ni winga mzuri kwa suluhisho la muda mfupi. Odoi bado anapanda mlima na mpaka afikie kiwango cha kumtumainia Willian hatutakuwa nae tena
Sababu kuu ya Willian abaki anaendana na Lampard ambacho ni kitu cha msingi kwenye kujenga timu. We angalia Conte na Diego costa, pamoja na uzuri wa Costa lakini chemistry ilikataa kama ambavyo Willian chemistry ilikataa kwa Conte na Sarri. Kwa uchezaji wa Willian, Timo atafaidika sana. Mimi naamini bado Willian atatufaa sana kwa mkataba wa miaka miwili wakati tunatumia nguvu kujenga namba zingine zinazopwaya kama GK, LB, CB
Inavyoelekea Lampard atakuwa akitumia zaidi Back five ambayo inaonyesha vipawa viko vingi hasa za Alonso na Reece James wakicheza kama Wing-backs

Kwa formation ya 3-4-3

Pulisic/Kai Havertz/Mount - Timo/Giroud/Tammy - Ziyech/Odoi/Willian


Bill Gilmour/Jorginho ----------------------------- - Kovacic/Kante

Alonso/LB mpya -----------------------------------------------------------------------------------James

Zouma/CB mpya ----- Rudiger/Christensen ------- Azpilicueta


GK Mpya/ Cabalerro


Kwa formation ya 4-3-3 (4-1-2-3) CAM wawili na CM mmoja

Pulisic/Mount - Timo/Giroud/Tammy - Odoi/Willian


Kai Havertz/RLC ------------------------------------------------------------------- Ziyech/ Kovacic

Bill Gilmour/Kante/Jorginho/


Alonso/LB mpya ---------- Zouma/CB mpya --------Rudiger/Christensen ------ Azpilicueta /James


GK Mpya/ Cabalerro


Kwa formation ya 4-3-3 (4-2-1-3) CAM mmoja na CM wawili

Pulisic/Kai Havertz - Timo/Giroud/Tammy - Odoi/Willian


Ziyech/Mount


Kante/Jorginho ---------------------------------------------------------- Bill Gilmour/Kovacic


Alonso/LB mpya - Zouma/CB mpya - Rudiger/Christensen - Azpilicueta /James


GK Mpya/ Cabalerro

Akina Ziyech, Kai, Mount, RLC, Willian wanaweza kucheza namba nyingi kwa hiyo hiyo niliyotoa ni sample lineup tu
Kumbuka pia namba muhimu inatakiwa kuwa na wachezaji watatu au kama kuna wa kusiwtch kama nilivyosema, striker kwa mfano ni lazima wawe watatu, mmoja akiumia wa wepo wawili mmoja wa kucheza na mwingine wa sub
Kwa Ziyech hapana, mfuatilie vizuri... primarily ni RW, anaweza kucheza kati ila ana excel zaidi pembeni, na ndiko amecheza zaidi
 
Kuwafunga spurs (team ya england tena yenye kucheza typical England football) nje ndani ni dalili nzuri kwamba ata adapt mapema
inawezkn pia akawahi unajua mshabiki huwa tunataka mchezaji approve mpem kitu ambacho sometimes inkuw opposite na ndo mshabiki wananza kusumbua
 
Sioni kama ndo kigezo cha kushindwa ...kama ingekuwa ni msimu mmoja sawa ningedoubt lkn misimu mitatu ameonyesha umwamba....hata auba naye alitoka bundesliga
Auba ni habari nyingine aiseeeehhhhafananishwi
 
Wakati msimu unaanza katika tabiri zenu za top four hamkuiweka Chelsea kwenye nqfasi ya kumaliza hata top 6. Nyie mmefanya usajili sisi hatujafanya usajili pia aliondoka mchezaji muhimu. Mliosajili na mliotabiriwa kumaliza nafasi nzuri ndio kwanza hata EL mmeshindwa kuingia.

Mkuu huoni kama hayo ni mafanikio ambayo sisi tunastahili kupewa pongezi. Najua unajua ila unavunga kwamba ni mambo ya kawaida au labda ushaanza kuzoea kuwa mid table team ndio maana kwako kutofuzu kucheza European Competitions siyo jambo la huzuni.

Kuwa Arsenal fan yataka moyo.
Na ndio maana nikakuuliza ni wapi umeona nasherehekea????

Sijawahi kusherehekea hata tulipomaliza 2nd position ktk table kwasababu najua hadhi ya klabu ni kubwa, sasa kama mimi nitafanya sherehe kwakuwa tumemaliza top4 alafu LCFC watafanya nini???

Kwanza hiyo ni nafasi ambayo timu imekaa zaidi ya misimu 20 mfululizo,

Juzi Utopolo wa kibongo walikuwa wanasherehekea kumaliza nafasi ya pili katika ligi sasa kuna tofauti gani na nyinyi

Hongereni kwa kufikia malengo majirani.
 
Kwa Ziyech hapana, mfuatilie vizuri... primarily ni RW, anaweza kucheza kati ila ana excel zaidi pembeni, na ndiko amecheza zaidi
Nandio maana formation nyingi 2/3 niliyotoa nimemweka RW, sometimes tactically formation inawabadili position baadhi ya wachezaji
 
Na ndio maana nikakuuliza ni wapi umeona nasherehekea????

Sijawahi kusherehekea hata tulipomaliza 2nd position ktk table kwasababu najua hadhi ya klabu ni kubwa, sasa kama mimi nitafanya sherehe kwakuwa tumemaliza top4 alafu LCFC watafanya nini???

Kwanza hiyo ni nafasi ambayo timu imekaa zaidi ya misimu 20 mfululizo,

Juzi Utopolo wa kibongo walikuwa wanasherehekea kumaliza nafasi ya pili katika ligi sasa kuna tofauti gani na nyinyi

Hongereni kwa kufikia malengo majirani.
Miaka zaidi ya 15 bila kombe bado hadhi ya klabu ni kubwa, mtajidanganya hadi lini, nyie hata mkishuka darala lile la League one kama Sunderland bado mtajiita timu kubwa. Shame on you
 
Miaka zaidi ya 15 bila kombe bado hadhi ya klabu ni kubwa, mtajidanganya hadi lini, nyie hata mkishuka darala lile la League one kama Sunderland bado mtajiita timu kubwa. Shame on you
Sasa wewe mbona unashangilia nafasi ya 4
 
Sasa wewe mbona unashangilia nafasi ya 4
Tutashangilia tulikuwa na timu mbovu kuliko ninyi, mlitutabiria chini ya top 6 na wengine mkia na wengine mlithubutu kusema tutashuka daraja. Huoni hapo tuna sababu ya kushangilia ili muone wivu na mmeze wembe au mle pilipili ili kiherehere chenu kipoe?
 
Tutashangilia tulikuwa na timu mbovu kuliko ninyi, mlitutabiria chini ya top 6 na wengine mkia na wengine mlithubutu kusema tutashuka daraja. Huoni hapo tuna sababu ya kushangilia ili muone wivu na mmeze wembe au mle pilipili ili kiherehere chenu kipoe?
Ni wewe mwenyewe, sasa usije npa ubaya nisiostahili
Screenshot_20200726-161524.jpg
 
Na ndio maana nikakuuliza ni wapi umeona nasherehekea????

Sijawahi kusherehekea hata tulipomaliza 2nd position ktk table kwasababu najua hadhi ya klabu ni kubwa, sasa kama mimi nitafanya sherehe kwakuwa tumemaliza top4 alafu LCFC watafanya nini???

Kwanza hiyo ni nafasi ambayo timu imekaa zaidi ya misimu 20 mfululizo,

Juzi Utopolo wa kibongo walikuwa wanasherehekea kumaliza nafasi ya pili katika ligi sasa kuna tofauti gani na nyinyi

Hongereni kwa kufikia malengo majirani.
Tofautisha kusherehekea na kushangilia. Sisi tunashangilia wewe umetupeleka kwenye kusherehekea.

Kuwa shabiki wa Arsenal tabu sana ndio kama hivi.
 
Sasa wewe mbona unashangilia nafasi ya 4
Malengo yamefikiwa. Nyie hamuwezi shangilia kwa sababu najua halikua lengo la club wa mashabiki.

Nyie mmebaki timu yenye kahistoria kwenye ukubwa acheni kujilazimisha mmeshatoka huko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom