lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,481
Barcelona, Manchester United and David Beckham's Inter Miami have asked to be kept informed of Willian's availabilityHapo mwisho umesema bora tumsajili hala tumuuze kama hatuna kazi naye. Unafikiri ni timu gani inaweza kumnunua ka sasa? Timu pekee iliyokuwa na uhitaji kwa sasa haamuhitaji.
Willian tayari jua linaelekea kuzama na anataka afanye bet ya mwisho ya maisha yakeya soka. Anataka kuiingiza timu mkenge
Source: SkySports

