Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

HONGERENI SANA WANA BLUES KWA KUMALIZA TOP 4.

Binafsi naweza kusema ilikuwa safari ngumu kwa Lampard katika kazi yake ya ukocha.

Ilikuwa safari ya Lampard kujifunza, kurekebisha makosa/mbinu na kupata uzoefu wa kufundisha timu kubwa kama Chelsea kwenye ligi ngumu (EPL).

Mkataba wa Lampard kama kocha kwa msimu wa kwanza unatamka kwamba Lampard ahakikishe timu isishuke daraja na akimaliza ndani ya top 4 atavuna bonus.

HONGERA SANA LAMPARD.

Natamani sana sana Lampard abebe hili kombe la FA, ili limpe kiu ya kutamani kubeba makombe makubwa zaidi.
Yan hilo kombe la FA tushachukua kabisa. Arsenal mchumba hawezi huu mziki
 
Saiz tusubiri tu usajil kule nyuma kepa kpewa chances za kujirekebisha lakin bado
 
Maoni yangu kwa msimu Huu

1.Giroud amefanya kazi kubwa

Katika game 14 alizoanza msimu Huu ana goals 10 what is performance!.Na amefunga kwenye game muhimu.Naona msimu ujao kutakuwa na competition nzuri Sana kwenye eneo la ushambuliaji

2.Lampard as coacher

Amefanya kazi nzuri Sana kaikuta team imeondokewa na mchezaji wao Bora kabisa Eden Hazard ukiachana na Hilo system nzima ilikuwa inacheza kumzunguka Yeye.Baada ya ujio wa Lampard akaitranform kuwa sio ya kumtegemea mchezaji mmoja ndio maana unaona Kante,Willian injury na still tunapata matokeo mazuri Kuna kipindi unakuta Kovacic injury, jorginho nje,Kante injury kwa pamoja anampa nafasi Gilmour na anadeliver na tunapata matokeo.

Changamoto nyingine aliyokutana nayo Lampard Ni ban signing lakini changamoto zote kaweka kwapani na team imeachieve Arsenal iliyosajili ipo nafasi ya 10.
 
Willian anataka kubembelezwa na watu washamshtukia mjanja mjanja tu. Hana cha ziada ku offer
Willian Ni mchezaji mzuri Sana na Ni moja ya mchezaji aliyeperform vizuri msimu Huu Chelsea huwezi ikamuacha tu kirahisi aondoke hiv una uhakika gani Hakim Ziyech atadeliver?
 
Angalau sisi tunakuja wakati kuna msiba, nyie hata hakuna msiba mnalowea kwa amjirani hadi mnachokwa hata wakati kuna sherehe mnaleta karaha, kero, makelele hadi tunashindwa kusheherekea ushindi wetu

MNABOA SANA
Unasherehekea nini sasa?
Namba 4?
Tukisema nyinyi ni timu ndogo muelewage, sheffield, wolvers n. K ndio wakusherehekea namba 4,

Top team inasherehekea ubingwa
 
Maoni yangu kwa msimu Huu

1.Giroud amefanya kazi kubwa

Katika game 14 alizoanza msimu Huu ana goals 10 what is performance!.Na amefunga kwenye game muhimu.Naona msimu ujao kutakuwa na competition nzuri Sana kwenye eneo la ushambuliaji

2.Lampard as coacher

Amefanya kazi nzuri Sana kaikuta team imeondokewa na mchezaji wao Bora kabisa Eden Hazard ukiachana na Hilo system nzima ilikuwa inacheza kumzunguka Yeye.Baada ya ujio wa Lampard akaitranform kuwa sio ya kumtegemea mchezaji mmoja ndio maana unaona Kante,Willian injury na still tunapata matokeo mazuri Kuna kipindi unakuta Kovacic injury, jorginho nje,Kante injury kwa pamoja anampa nafasi Gilmour na anadeliver na tunapata matokeo.

Changamoto nyingine aliyokutana nayo Lampard Ni ban signing lakini changamoto zote kaweka kwapani na team imeachieve Arsenal iliyosajili ipo nafasi ya 10.
Simply Giroud anafaa kwenye falsafa ya Lampard ya mwendo kasi. Kwa sarri alishindwa kabisa kufunga na ndio maana Lampard alipokuja alimtenga mwanzoni. Kwa kweli kwa umri ule hata mimi nisingeamini Giroud atafunga kiasi hicho cha magoli 9
Lampard kawatransform wachezaji wengi tofauti na Sarri, timu inacheza game la kuvutia hata tukifungwa lakini kandanda safi
Willian Ni mchezaji mzuri Sana na Ni moja ya mchezaji aliyeperform vizuri msimu Huu Chelsea huwezi ikamuacha tu kirahisi aondoke hiv una uhakika gani Hakim Ziyech atadeliver?
Na ameendana na Lampard. Ukimpata mchezaji anayeendana na kocha huyo sio wa kumuachia kirahisi
Willian alishindwa kuendan na Conte na Sarri, MOU walishibana ila hakuperform vizuri kama wakati huu wa Lampard
Ni msimu pekee ambapo Willian amekuwa kwenye form karibu msimu wote
Willian anaweza kucheza winga wa kulia na wide are winga no. 10
Tukimbakiza Willian tutakuwa na very strong team A and B possibly kama ilivyokuwa Man city
Ningekuwa na sauti Willian ningempa mkataba wa miaka mitatu kama anavyodai
Kwa jinsi alivyocheza mwaka huu akiachiwa tu atachukuliwa na EPL closest opponent na atatuumiza sana
We fikiria kama Willian akichukuliwa na Arsenal au Spurs!
Bora tumsajil halafu tumuuze kama hatuna kazi naye
 
Willian Ni mchezaji mzuri Sana na Ni moja ya mchezaji aliyeperform vizuri msimu Huu Chelsea huwezi ikamuacha tu kirahisi aondoke hiv una uhakika gani Hakim Ziyech atadeliver?
Sheria ya Chelsea inasama mchezaji zaidi miaka 30 atapewa mkataba wa mwaka mmoja. Lakini kwa upekee board ikasahau utumbo wake huko nyuma kwa upendeleo na mapenzi makubwa kwa mchezaji ikampa miaka miwili bado amegoma ku sign! Hapo birthday board nahisi itakua imefika mwisho wa mahaba yake kwa Willian. Muache akastaafie Arsenal

Ziyech asipo deliver yupo Odoi anacheza vizuri tu.
 
Simply Giroud anafaa kwenye falsafa ya Lampard ya mwendo kasi. Kwa sarri alishindwa kabisa kufunga na ndio maana Lampard alipokuja alimtenga mwanzoni. Kwa kweli kwa umri ule hata mimi nisingeamini Giroud atafunga kiasi hicho cha magoli 9
Lampard kawatransform wachezaji wengi tofauti na Sarri, timu inacheza game la kuvutia hata tukifungwa lakini kandanda safi

Na ameendana na Lampard. Ukimpata mchezaji anayeendana na kocha huyo sio wa kumuachia kirahisi
Willian alishindwa kuendan na Conte na Sarri, MOU walishibana ila hakuperform vizuri kama wakati huu wa Lampard
Ni msimu pekee ambapo Willian amekuwa kwenye form karibu msimu wote
Willian anaweza kucheza winga wa kulia na wide are winga no. 10
Tukimbakiza Willian tutakuwa na very strong team A and B possibly kama ilivyokuwa Man city
Ningekuwa na sauti Willian ningempa mkataba wa miaka mitatu kama anavyodai
Kwa jinsi alivyocheza mwaka huu akiachiwa tu atachukuliwa na EPL closest opponent na atatuumiza sana
We fikiria kama Willian akichukuliwa na Arsenal au Spurs!
Bora tumsajil halafu tumuuze kama hatuna kazi naye
Hapo mwisho umesema bora tumsajili hala tumuuze kama hatuna kazi naye. Unafikiri ni timu gani inaweza kumnunua ka sasa? Timu pekee iliyokuwa na uhitaji kwa sasa haamuhitaji.

Willian tayari jua linaelekea kuzama na anataka afanye bet ya mwisho ya maisha yakeya soka. Anataka kuiingiza timu mkenge
 
Sheria ya Chelsea inasama mchezaji zaidi miaka 30 atapewa mkataba wa mwaka mmoja. Lakini kwa upekee board ikasahau utumbo wake huko nyuma kwa upendeleo na mapenzi makubwa kwa mchezaji ikampa miaka miwili bado amegoma ku sign! Hapo birthday board nahisi itakua imefika mwisho wa mahaba yake kwa Willian. Muache akastaafie Arsenal

Ziyech asipo deliver yupo Odoi anacheza vizuri tu.
Haupo serious umtegemee odoi?Wakati city Wana Sterling man u Watakuwa wana Sancho na Liverpool Wana Salah.Willian amecheza Chelsea kwa kujituma kweli kweli Kuna kipindi karibia team nzima walimsusia Mourinho kwa kucheza chini ya kiwango lakini willing akacheza kwa juhudi na Ni msimu aliyokuwa best player of the team ebu mpe respect yake kwani Kuna wachezaji wangapi tumewahi kuwasajili na tukawapa mikataba mirefu lakini wakashindwa kudeliver iweje yeye kuitaji miaka 3 iwe nongwa? Tena ameperform kwa kiwango Cha juu?
 
Haupo serious umtegemee odoi?Wakati city Wana Sterling man u Watakuwa wana Sancho na Liverpool Wana Salah.Willian amecheza Chelsea kwa kujituma kweli kweli Kuna kipindi karibia team nzima walimsusia Mourinho kwa kucheza chini ya kiwango lakini willing akacheza kwa juhudi na Ni msimu aliyokuwa best player of the team ebu mpe respect yake kwani Kuna wachezaji wangapi tumewahi kuwasajili na tukawapa mikataba mirefu lakini wakashindwa kudeliver iweje yeye kuitaji miaka 3 iwe nongwa? Tena ameperform kwa kiwango Cha juu?
Nani tangu alipewa!? apo drogba mwenyw alipew miwil then akaja kupewa mmoja same to Peter hkuna tngu io Sheria ianzishwe nitajie hata mmoja!? Miwil inmtosha akiktaa bas u can't break the rules just for a single player mbele cio kma bongo kisa mchezaji kashine ndo anyenyekewe
 
Haupo serious umtegemee odoi?Wakati city Wana Sterling man u Watakuwa wana Sancho na Liverpool Wana Salah.Willian amecheza Chelsea kwa kujituma kweli kweli Kuna kipindi karibia team nzima walimsusia Mourinho kwa kucheza chini ya kiwango lakini willing akacheza kwa juhudi na Ni msimu aliyokuwa best player of the team ebu mpe respect yake kwani Kuna wachezaji wangapi tumewahi kuwasajili na tukawapa mikataba mirefu lakini wakashindwa kudeliver iweje yeye kuitaji miaka 3 iwe nongwa? Tena ameperform kwa kiwango Cha juu?
Umetaja kipindi cha Mourinho pekee. Umesahau madudu yake na Conte mpaka ana post picha halafu kwa Conte anaweka kikatuni? Vip kwa Sarri kum disrespect?

Pengine hujanielewa vizuri. Willian ana msaada mkubwa sana kwenye timu lakini ni mchezaji wa kawaida kwa umri wake hastahili kupata mkataba mrefu hivyo. Yan Willian anang'aa kwenye Chelsea ya kawaida. Umetaja hizo timu nyingine zina Salah, Mahrez/Silva na the expected Sancho! Unadhani Willian akiwekwa nao hao anaweza muweka nani benchi kati ya uliowataja? Lazima tukubali hawa wachezaji muda wao umefika kupisha damu changa sasa tunaingia kwenye mabadiliko na ndio maana wanasajiliwa vijana. Tusipomuamini Odoi sasa ivi tutamuamini lini?
 
Hapo mwisho umesema bora tumsajili hala tumuuze kama hatuna kazi naye. Unafikiri ni timu gani inaweza kumnunua ka sasa? Timu pekee iliyokuwa na uhitaji kwa sasa haamuhitaji.

Willian tayari jua linaelekea kuzama na anataka afanye bet ya mwisho ya maisha yakeya soka. Anataka kuiingiza timu mkenge
Hata hivyo nasikia Willian anaweza kusaini mkataba wiki ijayo kama alivyopewa na management
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom