Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tumeuna, mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno
Umetutoa mbali, ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu, watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele
Twasifu jina lako, milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako
Tumeuna, mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno
Umetutoa mbali, ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu, watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele
Twasifu jina lako, milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako



By Shabiki wa Manchester United
 
Tunatambua uwepo wa wajumbe ndugu Evans na mjumbe ndugu Kasper.. hakika mmefanya kazi yenu..
 
Niseme neno mojana wote tuseme ukweli Lampard ni BONGE la kocha
  1. Mwaka wake wa kwanza EPL,
  2. kakuta timu mbovu,
  3. kipa mbovu,
  4. defence inayoshake,
  5. hakuna starting 11,
  6. hakuna striker wa uhakika
Halafu timu inapata mafanikio makubwa kama haya
Je sasa tukikamilisha huu usajili unaondelea tuwe na
  1. Kipa world class kama Oblak
  2. CB world class kama akina Koulibally,
  3. LB world class,
  4. attacking dossier wazuri kama akina Havertz, Ziyech, Pulisic, Timo halafu
  5. Kante na Kovacic wakiwa fit kwenye form,
Nani atakatiza hapo mwakani?
 
Niseme neno mojana wote tuseme ukweli Lampard ni BONGE la kocha
  1. Mwaka wake wa kwanza EPL,
  2. kakuta timu mbovu,
  3. kipa mbovu,
  4. defence inayoshake,
  5. hakuna starting 11,
  6. hakuna striker wa uhakika
Halafu timu inapata mafanikio makubwa kama haya
Je sasa tukikamilisha huu usajili unaondelea tuwe na
  1. Kipa world class kama Oblak
  2. CB world class kama akina Koulibally,
  3. LB world class,
  4. attacking dossier wazuri kama akina Havertz, Ziyech, Pulisic, Timo halafu
  5. Kante na Kovacic wakiwa fit kwenye form,
Nani atakatiza hapo mwakani?
Obkak bila 120m hampati kitu
 
Timu kubwa London haiwezi maliza nafasi ya 10, hizo ni zenu nyie Cheltako

#Arsenal london
Ona aibu hauna hata aibu 😅😅, kweli mashabiki wa arsenal hampo good upstairs. Upo nafasi ya kumi hauchezi uefa, hauchezi europa. Hauna uefa, hauna europa, wachezaji wako wa nyanya.

Halafu unajiita London is red...lol.
Shame on you.damn😒😒.
 
Ona aibu hauna hata aibu , kweli mashabiki wa arsenal hampo good upstairs. Upo nafasi ya kumi hauchezi uefa, hauchezi europa. Hauna uefa, hauna europa, wachezaji wako wa nyanya.

Halafu unajiita London is red...lol.
Shame on you.damn.
London is Red
The red flag Arsenal, tutadhihirisha hilo august1.
Msimu mbovu huu kwa miaka 25 still wanyama tupo ndani ya kumi,sasa ukitrack record kwa nyie Cheltako within 25yrs inaweza kuwa aibu hapa

#Coyg
 
Ona aibu hauna hata aibu , kweli mashabiki wa arsenal hampo good upstairs. Upo nafasi ya kumi hauchezi uefa, hauchezi europa. Hauna uefa, hauna europa, wachezaji wako wa nyanya.

Halafu unajiita London is red...lol.
Shame on you.damn.
Afu we dada acha mihemko, huo ni msimamo wa nyumbani kwenu au? Chama kubwa Gunners aliwezi maliza nafasi za kidem hizo ht tuwe vibaya vipi.

The Red flag London
 
London is Red
The red flag Arsenal, tutadhihirisha hilo august1.
Msimu mbovu huu kwa miaka 25 still wanyama tupo ndani ya kumi,sasa ukitrack record kwa nyie Cheltako within 25yrs inaweza kuwa aibu hapa

#Coyg
Kwa hiyo nyie mmebakiwa na somo la historia tu?
 
Afu we dada acha mihemko, huo ni msimamo wa nyumbani kwenu au? Chama kubwa Gunners aliwezi maliza nafasi za kidem hizo ht tuwe vibaya vipi.

The Red flag London
mashabiki wa arsenal wabishi wiily Jr na mwenzie durry nyie nahici ni waha
 
London is Red
The red flag Arsenal, tutadhihirisha hilo august1.
Msimu mbovu huu kwa miaka 25 still wanyama tupo ndani ya kumi,sasa ukitrack record kwa nyie Cheltako within 25yrs inaweza kuwa aibu hapa

#Coyg
😂😂😂, hivi kweli we jamaa una akili kweli unajisifu kumaliza ndani ya kumi.😀 Maanake wewe mwenyewe unajua haukustahili kuwepo top 10. Halafu unasema London is red, mkuu Nina mashaka na wewe siyo bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom