KachanganyikiwaNafikiri sasa hili jina la CHELTAKO lipitishwe rasmi kutumika maana kumbe wenyewe mnalipenda kama yule mzee wa utopolo alivyoipa jina timu yake,
AHSANTE MKUU lembu na tunaomba moderator wasaidie kufanya marekebisho.
Big AmenKila la kheri Chelsea.
Kila la kheri tumuombe Mungu tushinde hii game.Big Amen
Bibie nawe pia upo chama kubwa CFC?Big Amen
Ndiyo mkuuBibie nawe pia upo chama kubwa CFC?
Mungu ni mwema, tuna nafasi nzuri lakini tusubiri muda utaongeaKila la kheri tumuombe Mungu tushinde hii game.
Mungu ni mwema, tuna nafasi nzuri lakini tusubiri muda utaongea
Wivu kwa sababu tajiri wenu maskini, kila timu EPL ina tajiri nyuma yake na uache utoto na uvivu wa kuchamb ua mamboEti chelwowo bila Abramovich isingekuwa EPL
![]()
Don please 😆
Kaa kwa kutulia.
Willian alitoa goli la bure lililoiangusha timu sana, Lampard akichukia huwa hasira yake inaonekana kwenye line up inayofuataWale wakuja kuanza kumtukana lampard mbona willian hajaanza au kwa nini hayupo benchi
Sababu hiyo hapoView attachment 1517622View attachment 1517623
Ugenini ndo nini weweUshabiki wa kufata mkumbo hujui hata km upo ugenini leo
Hapo hakuna hasiraWillian alitoa goli la bure lililoiangusha timu sana, Lampard akichukia huwa hasira yake inaonekana kwenye line up inayofuata