Utaongea Sana Ila mentally hauko vizuri tena sana, hauna hata aibu upo nafasi ya kumi 😆, halafu London is red, 25years hauna uefa no Europa halafu unaongea, halafu unazidiwa na Nottingham forest mwenye uefa😄. Hauna lolote.Afu we dada acha mihemko, huo ni msimamo wa nyumbani kwenu au? Chama kubwa Gunners aliwezi maliza nafasi za kidem hizo ht tuwe vibaya vipi.
The Red flag London![]()
Dishi limeyumba wewe ngoja nikupige nyingi FA. Ndo ujione we choko kabisa na ulistahili kushuka daraja.London is Red
The red flag Arsenal, tutadhihirisha hilo august1.
Msimu mbovu huu kwa miaka 25 still wanyama tupo ndani ya kumi,sasa ukitrack record kwa nyie Cheltako within 25yrs inaweza kuwa aibu hapa
#Coyg![]()
Hongera mkuu naona unaenda uefa back to backTimu kubwa London haiwezi maliza nafasi ya 10, hizo ni zenu nyie Cheltako
#Arsenal london![]()
Subiri Playoff na kina zenit huko wakunyoeWewe hiyo nafasi itakusaidia nini? Kuna mtoto wa London ameililia nafasi hata ya kucheza playoff ya Europa kashindwa amebaki kutukana na kukejeli wakubwa wake!
Wewe unasubiri playoff ipiSubiri Playoff na kina zenit huko wakunyoe
Furaha yao pekee imebakia kwenye mitandao nyuma ya keyboard, hata huko mitaani hawaonekani hao kwa aibu zaoHaya unaongea tu but unajua huna lolote, Ila wewe shabiki na arsenal yako hamnazo hahahaha.
Timu kubwa London haiwezi maliza nafasi ya 10, hizo ni zenu nyie Cheltako
#Arsenal london![]()
London is Red
The red flag Arsenal, tutadhihirisha hilo august1.
Msimu mbovu huu kwa miaka 25 still wanyama tupo ndani ya kumi,sasa ukitrack record kwa nyie Cheltako within 25yrs inaweza kuwa aibu hapa
#Coyg![]()




ww ci mfuatiliaji mpira nashangaa unazungumzia playoff msmu wa tatu huu nfasi ya nne hachezi play off anafuzu directly au ndo uzee unafuatila ueropa tuSubiri Playoff na kina zenit huko wakunyoe
Hili goli la pili ingekuwa ile takataka inayojiita Abraham isingeweza kufanya hayo maajabu ya kumzunguka kipa kisha kufunga. Wala isingekuwa na hiyo akili, ingesimama na kukata tamaa.
Historia muhimu kujua tulipotoka ,ww ukiangalia history utaishia kuwa dissapointed na relegationKwa hiyo nyie mmebakiwa na somo la historia tu?



Uyu nae kavamia uzi😀😀, dah! mashabiki wa arsenal mna wenge Sana😁Aya nyie CHELTAKO hongereni kwa kuingia top 4 japokuwa basha wenu tumewatetea hata kama mngepigwa
Dogo simply hujielewi na haunielewi ht nachosema, sio kosa lako najua mpira umeujua 2013 hiyo ndio sifa yenu kubwa hii timu, hivi kweli we jamaa una akili kweli unajisifu kumaliza ndani ya kumi.
Maanake wewe mwenyewe unajua haukustahili kuwepo top 10. Halafu unasema London is red, mkuu Nina mashaka na wewe siyo bure
Basha wenu nyie nani? Mnaanza kijitoa ufahamuUyu nae kavamia uzi, dah! mashabiki wa arsenal mna wenge Sana
![]()