Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hapa ni kuombea Man u ashinde tumalize TOP 4.

Tukiombea Leicester city ashinde tunaweza maliza nafasi ya 5, naifahamu timu yangu haitabiriki tunaweza tusitoboe kwa Wolves.

Madhaifu tuliyonayo ni mengi kuliko ya wolves:-

1. Tuna kipa shati
2. Beki mbovu
3. Viungo disorganized
4. Washambuliaji butu
5. Upangaji wa kikosi kutotabirika kocha
anaweza kumpanga Abraham ikawa kituko.

Pia tukiambulia Draw tutamaliza TOP 4 bila kujali man u au Leicester city ameshinda
Mkuu wewe umeona mbali sana, kiuhakika kabisa bila kujali matokeo yako yeyote omba Man united ashinde, otherwise wale Mbwa mwitu hawafai.
 
Kati ya timu ambayo sipendi ashinde ni manure ila hatuna la kufanya ni kumuombea kafiri mema leo jioni
Hahahaha, huwa inauma sana, kama sisi tusivyoipenda Liverpool ila ilibidi tuwaombee heri mkapigwa mkono.

Afu za chini chini Kepa yupo mlangoni leo.
 
Ivi ni matokeo gani ya mechi za leo ambayo yanaweza kumtoa Manure ndani ya Top 4 ili nijue Timu na game ya kushabikia?
 
Lazima amuanzishe Giroud. Halafu speaking of Odoi naona sasa ivi akili imeanza kumkaa sawa anajituma sana. Juzi kati Lampard alitoa mapumziko ya siku moja kwa wachezaji lakini dogo aligoma kupumzika akaenda mazoezini.
Kitu nampendea Odoi akiacha ubishoo na makosa ya kijingajinga kwanza ana speed pili ana nguvu. Mfano mzuri assist aliyompa Pulisic kwenye goli la 3 ilikuwa ya haraka sana ambayo kwa wachezaji wengine angemlokiwa kabla ya kutoa pasi, metality yake ikiwa positivve, professional atakuja kuwa mchezaji wa kutumainiwa sana na hana haja ya kuhama, hapo hapo Chelsea atapata namba
 
Lampard ni bonge la kocha ila Uingereza ndio unamuhalibia, tunamvumilia tu kwakuwa kwakipindi hichi hatuna wachezaji wa maana. Ngoja Ziyech, Werner, Havertz na wengineo watue alafu atuletee ujinga ujinga tutampiga mawe kabisa.
Utampiga mawe ukiwa wapi, Goba au Cheka ung'atwe
 
Katika timu naichukia hapa dunia basi ni Nyumbu FC hawa takataka siwapendi kivyovyote vile.

Ata kama tutakosa kucheza uefa mi naomba Leicester ashinde.
Yaani hata matokeo yeyote ya leo ya LCFC na Manure yatanifurahisha
Akifungwa, hata tuende Euroap sawa, Akishinda katubeba
Ila siamini kama Chelsea atashindwa kumfunga Wolves mabao mengi hata wao wakitufunga, uwezo wa kumfunga mabao mengi tunao tukishindwa kabisa droooo hiyo inatupeleka UEFA mwakani
 
PREDICTED LINEUP CHELSEA VS WOLVES
1595760999450.png
 
Cheltako leo mnaolewa goli mbili wakati basha wenu man u wakienda zao UCL mapema
 
Former Liverpool FC striker Michael Owen is backing Chelsea FC to secure a 2-1 victory over Wolves at Stamford Bridge on Sunday afternoon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom