DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,878
[emoji112]Wewe ulinifunga hayo magoli? Unashangilia ushindi wa mwanaume kisa wewe umeshindwa kunifunga.
Mrudi shule tu huu ni upuuzi.
[emoji112]Wewe ulinifunga hayo magoli? Unashangilia ushindi wa mwanaume kisa wewe umeshindwa kunifunga.
Mrudi shule tu huu ni upuuzi.
Sawa mkubwa[emoji1616]Ifike kipindi hawa watoto tuanze kuwapuuza tu. Mambo wanayofanya tena kwa kujirudia rudia ni aidha hopeless kimaisha au bado ni mtoto yuko shule. Wao kila kitu tu ni kufata mkumbo hawaelewi hata mambo yanaendaje.
Wanachukulia serious sana[emoji3]Mbona unaumizwa sn mzee, dont take it too serious[emoji3][emoji3][emoji3]
#Coyg[emoji837][emoji837][emoji837]
[emoji23][emoji23][emoji23]Najua hilo maana niliona mlivyoamua kwa wagonga nyundo
Una mdomo Sana alafu mtu mwenyewe unashika nafasi ya 10.
Hahahaa.. haya yanakuja baada ya kumfunga Liver tu. Nyie jamaa ni vituko sanaGunners chama la wanaume Kamili hawana aibu za kike km wewe chelwowo
#Coyg[emoji837]
TumeuonaHahahaa.. haya yanakuja baada ya kumfunga Liver tu. Nyie jamaa ni vituko sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkiwa na akili mtakuja fanya mambo ya maana siyo huu upuuzi
Wako tofauti hata kama ni jamii moja, Wolves ni Mbwa Mwitu wana maumbile makubwa na mbweha ni Foxes na wana miili midogo na ni waoga tofgauti na WolvesMbwa mwitu na Mbweha jamii moja ile mkuu [emoji23][emoji23]
Yaani hiyo arsenal ni gundu kabisa unakosa kushiri uefa na europa na bado tu unapiga kelele zakoTumeuona
Mkono wako Bwana [emoji1616]
Matendo yako Bwana ni makuu mno Umetutoa mbali,
Ukatushika mkono [emoji1616]
Mahali uliona pekee hatuwezi
(Chini, chini, chini) [emoji3596][emoji3596]
Chini hata juu
Watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele [emoji239] (Natutakusifu)
Twasifu jina lako,LFCView attachment 1516945
Kati ya timu ambayo sipendi ashinde ni manure ila hatuna la kufanya ni kumuombea kafiri mema leo jioniHapa ni kuombea Man u ashinde tumalize TOP 4.
Tukiombea Leicester city ashinde tunaweza maliza nafasi ya 5, naifahamu timu yangu haitabiriki tunaweza tusitoboe kwa Wolves.
Madhaifu tuliyonayo ni mengi kuliko ya wolves:-
1. Tuna kipa shati
2. Beki mbovu
3. Viungo disorganized
4. Washambuliaji butu
5. Upangaji wa kikosi kutotabirika kocha
anaweza kumpanga Abraham ikawa kituko.
Pia tukiambulia Draw tutamaliza TOP 4 bila kujali man u au Leicester city ameshinda
Jamaa wanastress sana kila wanachofanya kinakwama,inabidi wakaoge ili waondoe gundu.Yaani hiyo arsenal ni gundu kabisa unakosa kushiri uefa na europa na bado tu unapiga kelele zako
[emoji1616]Jamaa wanastress sana kila wanachofanya kinakwama,inabidi wakaoge ili waondoe gundu.
Lazima amuanzishe Giroud. Halafu speaking of Odoi naona sasa ivi akili imeanza kumkaa sawa anajituma sana. Juzi kati Lampard alitoa mapumziko ya siku moja kwa wachezaji lakini dogo aligoma kupumzika akaenda mazoezini.Game ya leo Lampard anatakiwa aje na mfumo wa 3-4-3 front attacks iwe Pulisic Giroud odoi kwanini odoi aanze instead of Willian, Wolves watadefend Sana so unahitaji mtu ambaye ataiunlock defense ambaye kwangu odoi Ni better kwenye hii aspect.Lampard kwa akili zake ndogo unaweza kushangaa akamuanzisha Abraham badala ya Giroud kwa sababu tu Abraham alifunga game iliyopita bila kuangalia Aina ya opponent anayokutana nae.Kwa Aina ya opponent anatakiwa amuanzishe Giroud physically yupo fit ataendana na defense ya wolves.
Southern Highland
Cash Money Forever
Papaa Gx
lembu
Ppmosile
Ollachuga Oc
Lampard namfahamu vizuri utakuja kushangaa kampanga Abraham si tupo hapa utajionea mwenyewe.Lazima amuanzishe Giroud. Halafu speaking of Odoi naona sasa ivi akili imeanza kumkaa sawa anajituma sana. Juzi kati Lampard alitoa mapumziko ya siku moja kwa wachezaji lakini dogo aligoma kupumzika akaenda mazoezini.
Jamaa uingereza wake ndo unamfelishaLampard namfahamu vizuri utakuja kushangaa kampanga Abraham si tupo hapa utajionea mwenyewe.
Game ya leo sio ya masiala lakini yeye atafanya masialaJamaa uingereza wake ndo unamfelisha
Asante mkuu kwa kunielewesha, ila pamoja na yote jiandae kwa lolote usije ukajipiga BAN ya wiki kama sir Ollarchuga OC maana unakibarua kizito kama changu tu kwa LCFC.Wako tofauti hata kama ni jamii moja, Wolves ni Mbwa Mwitu wana maumbile makubwa na mbweha ni Foxes na wana miili midogo na ni waoga tofgauti na Wolves