Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata 5G hujui maana yake wewe empty kabisa
Tunaposema 5G tuna maana 5-0
Ngoja nikupe shule

1-0 = 1G
2-0 = 2G
3-0 = 3G
4-0 = 4G
5-0 = 5G
Sasa ile 5-3 kweli ni 5G, ndio maana ni hatari sana kuwaruhusu Ma-penguin nafasi ya kuingia kwenye mijadala ya Maths
5-0 ni 5G
5-3 ni 5g

Hope umeelewa tofauti
 
Hata 5G hujui maana yake wewe empty kabisa
Tunaposema 5G tuna maana 5-0
Ngoja nikupe shule

1-0 = 1G
2-0 = 2G
3-0 = 3G
4-0 = 4G
5-0 = 5G
Sasa ile 5-3 kweli ni 5G, ndio maana ni hatari sana kuwaruhusu Ma-penguin nafasi ya kuingia kwenye mijadala ya Maths
Mbona unaumizwa sn mzee, dont take it too serious[emoji3][emoji3][emoji3]

#Coyg[emoji837][emoji837][emoji837]
 
Kocha ssiye jua mpira kamzidi karibia kilakitu kocha wako. Jumlisha makombe akiwa mchezaji na akiwa kocha hamfiikii hata Lamps.

Muwe mnafikiri hata kidogo jamani.? Mlienda shule kusomea ujinga!!
Lampard ana mafanikio gani, huo utopolo peleka Derby huko [emoji3][emoji3][emoji3]
August 1 Arteta anachukua kombe lake la kwanza

#Coyg [emoji837][emoji837][emoji837]
 
Ifike kipindi hawa watoto tuanze kuwapuuza tu. Mambo wanayofanya tena kwa kujirudia rudia ni aidha hopeless kimaisha au bado ni mtoto yuko shule. Wao kila kitu tu ni kufata mkumbo hawaelewi hata mambo yanaendaje.

Mkuu hawa mashabiki wa arsenal wanakuja kwenye jukwaa hili kupunguza stress. Juzi tu wamefungwa na aston vila wala hata hawaoni. Pia msimu ujao hawatacheza UEFA wala Uropa so wanaumia sana.

Njia pekee ya kuwafariji ni kuwaacha wabwabwaje humu wakisubiri kipigo cha tarehe 1.
 
Man U atarudi nafasi ya 5 kwa sababu Chelsea na LFC watashinda nyumbani - HOME ADVANTAGE
Kwani nyumbani timu hazifungwi ?? Mambo ya nyumbani hayapo sasa hivi , Timu zote ni kama vile zipo ugenini. Alafu kingine Inabidi muangalie kutetea nafasi yenu kama ambavyo Man u itatetea nafasi yake ya 3, ili mbaki top 4, maana Leicester akishinda na nyie Wolves akashinda basi mnaaga top 4.
 
Lampard ana mafanikio gani, huo utopolo peleka Derby huko [emoji3][emoji3][emoji3]
August 1 Arteta anachukua kombe lake la kwanza

#Coyg [emoji837][emoji837][emoji837]
Mnawaaibisha washabiki wa Arsenal. Imani yangu siyo wote wapo kama nyie kifikra.
 
August1 hiyo, Walete utopolo, walete utopoloooo, waleteee utopoloooooooooo [emoji3][emoji3][emoji3]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom