Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mtawajua kwa matendo yao, Giroud katupa Europa na sasa anakaribia kutupa top 4 tena top 3. Hapo vipi?
Sasa kama huyo WCP wako sisi huku alikuwa ni kapi, je una shaka gani juu ya huu uKING tulionao mzee?

Screenshot_20200720-202821.jpg
 
Wakati wanaume tunajadili mipango ya maendeleo, naman ya kuchukua mataji zaidi, ninyi mnajadili historia. Hii ndio big difference between Chelsea and Arsenal
Maendeleo ya kugongwa tatu tatu na midtable teams
 
We ndo hujielewi unajitekenya afu unacheka mwenyewe nmekwambia wana potential ya kuwa World class au yai ni tatizo kwako nn
Shida sana hizi hahaha sasa nyinyi si mmejinasibu kuwa na world class sasa iweje uje na huo utopolo wa potential? Hovyo kabisa, alafu yai ndio nini? Acha ulimbukeni
 
Sasa kama huyo WCP wako sisi huku alikuwa ni kapi, je una shaka gani juu ya huu uKING tulionao mzee?

View attachment 1512822
Mtawajua kwa matendo yao, Giroud katupa Europa na sasa anakaribia kutupa top 4 tena top 3. Hapo vipi?
Giroud kaondoka kwa walalahoi kwenda kwa Mabingwa watetezi wakati huo Chelsea ili apate kibali cha kucheza Kombe la Dunia 2018

Arsene Wenger has revealed that Olivier Giroud’s determination to play for France at the 2018 World Cup was behind the striker’s decision to leave Arsenal for Chelsea in the January transfer market.

Chelsea completed the signing of Giroud earlier this week, on an 18-month deal for a fee in the region of £18m.

His move to the reigning Premier League champions was confirmed soon after Arsenal completed a club record deal for Pierre-Emerick Aubameyang, who arrived from Borussia Dortmund for £56m.
 
Wakati wanaume tunajadili mipango ya maendeleo, namna ya kuchukua mataji zaidi, ninyi mnajadili historia. Hii ndio big difference between Chelsea and Arsenal
Tunakusubiri kwanza utufikie ndio tuanze kushindana,we huoni tukichukua now tutakuacha mbali sn ?

 
Hatimaye The blues yasajili mchezaji,ila Chelsea huwa mna laana ht wachezaji wazuri wanafiaga viwango hapa
 
Shida sana hizi hahaha sasa nyinyi si mmejinasibu kuwa na world class sasa iweje uje na huo utopolo wa potential? Hovyo kabisa, alafu yai ndio nini? Acha ulimbukeni
Umekurupuka kucomment wala hujasoma vizuri ..... nimekwambia WCP n kante au humjui, na pia tunawachezaji wenye high potential ya kuwa world class unaleta habari za utopolo wako....BTW yai ni kiingereza kama we we sio limbukeni ni nn
 
Hatimaye The blues yasajili mchezaji,ila Chelsea huwa mna laana ht wachezaji wazuri wanafiaga viwango hapa
Huyo kipepe si alikuwa ana takwimu za kutisha huko lille alivyokuja arsenal akawa na kiwango maradufu sio
 
Hiyo link hata wewe unaweza kuandika hivyokwahiyo kumwembe akiandika makala pale mwanaspoti ndio inakuwa sheria kwako????

Nonsense
Kama hata mimi naweza kuandika naamini na wewe unaweza pia. Sasa nakuomba kaandike uiweke Arsenal namba moja uwapelekee jukwaani kwako mkatulie msome.
 
[QUOTE="Cash Money Forever, post: 36086482, member: 543

Mount lile kombora la juzi alijitahidi mpaka de gea akalitema. Kuna mwamba mmoja alichezea Chelsea amestaafu soka juzi Adre Shurrle jamaa ana mwili mwembamba ila akiachia bullet likimpata kipa direct st Thomas Hosp
[/QUOTE] ni kwel lakin inawezkn pia akaongeza juhudi atleast ikawa ana upigaji mzuri zaid
Ndomn after game ya juz lampard alsem a dogo ajitaidi kuongeza upigaji
 
Kwahiyo Giroud kaenda fc kobe ya London kumalizia soka baada ya kutemwa na Arsenal???
Najua umemuelewa alivyo andika ila unakaza kichwa. Nakusaidia, wachezaji wanaotoka Chelsea kwenda Arsen8 wanae nda kumalizia mpira ila wanaotoka Arsen8 kwenda timu nyingine wanakua potential.
Mfano, Van Persie, Chamberlain, Galas, Clitch, Cole, Fabregas, Henry, Giroud(tayari ana kombe na anaelekea kunyanyua la pili akiwa na Chelsea)

Si kwamba timu ni mbovu ila hakuna vitu vya kuwashawishi kuendelea kubaki. Hebu angalia sa ivi Ozil mpaka huruma hana future yoyote, Auba, Lacazete daah mnawapotezea muda tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom