Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sasa unafikiri epl ni kama vpl wapange matokeo.!!?? Mda mwingine ni vizuri kukaa kimya
Hata wewe unayedandia hoja za wengine ukikaa kimya utaonekana una hekima, kwa sababu wao ni wazungu hawapangi matokeo??? kama ni hivyo kwa nini wameweka mechi zote saa moja na kuondoa maximization ya TV broadcast? Wanaume wanapochangia mada unatakiwa ukae kimya na kujifunza kwanza
 
Hata wewe unayedandia hoja za wengine ukikaa kimya utaonekana una hekima, kwa sababu wao ni wazungu hawapangi matokeo??? kama ni hivyo kwa nini wameweka mechi zote saa moja na kuondoa maximization ya TV broadcast? Wanaume wanapochangia mada unatakiwa ukae kimya na kujifunza kwanza
Nimekuelewa sana mkuu,

Wanaume wakiwa ...... msipodhibiti hivyo vitoto humu,hili jukwaa litapoteza thamani mkuu,
Big up.
Mimi leo nishachinja jogoo nikiamka nakunywa supu na chapati

Uwe na usiku mwema.
 
Nimekuelewa sana mkuu,

Wanaume wakiwa ...... msipodhibiti hivyo vitoto humu,hili jukwaa litapoteza thamani mkuu,
Big up.
Mimi leo nishachinja jogoo nikiamka nakunywa supu na chapati

Uwe na usiku mwema.
HONGERA MKUU KWA KUVURUGA REKODI YA KARNE YA MABINGWA EPL
 
Mmecheza na walevi wanalala bar tokea wamechukua ubingwa unakuja kujitapa umemfunga liva.

Midtable teams bhana mnakera.
Ila Sheffield waliokumalizia pakti sio walevi?maana nae nilimgonga kama huyu wa jana tu
Hivi shule hujaenda leo dogo?
 
Dogo acha kuyumba, umeshindwa kujiongeza kuangalia profile yangu ujue mi na wewe na dogo?! Siku nyingine ukifeli vitu vidogo kama hivi nitakunasa makofi.

Asa wewe na sheffield wote si midtable haina ishu, ishu ni midtable kumfunga chelsea au liva.
Mdogo wangu mimi nipo humu toka JF inaanza ,na hii acc nimeifungua mwaka 2011 baada ya ile ya awali kupigwa ban hivyo ikapelekea kuwa na multiple ID's baada ya ile ya awali kurudi mods wakaziconnect, so siku nyingine uje ukiwa na adabu ntakuzaba vibao,
 
'It's not fair': Solskjaer not pleased about Chelsea getting extra rest ahead of FA Cup semi-final
1594913175362.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom