Jamani leo El Nino katoa manyunyu..
...yashakua hayo baada ya kututisha eti "ngojeeni mpaka mkutane na gooners"...:wink2:
Jamani leo El Nino katoa manyunyu..
haha..on Wednesday he's going to rain kabisa!
VIVA CHELSEA...inanisikitisha kwamba ushindi wetu utaipa Man u ushindi wa EPL...yan nlitaka msimu huu watoke kapa kabisa!
habari yako mkuu AB kumbe wewe ni CHEL5EA enheeeee....
where are you peasant..
Don't worry mate his team's future opponents will be in Europa League.
Ushindi upi? Tehetehe
Yes Mkuu, it is obvious.Against Man City leo usiku....!!!! i thot it was obvious...
Against Man City leo usiku....!!!! i thot it was obvious...
Yes Mkuu, it is obvious.
tusubiri jamani!! mpira unadunda