Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakulu,

Mimi napita tu maana furaha tuliyo nayo haina mfano.

Arsenal kwa sasa inacheza game tena game hasa maana Newcastle walipania hasa kuvuruga. Wakashindwa speed ya Arsenal ni kali sana.

Sasa mzee Wenger ambae usajili wake wa mwaka jana ulileta maswali sasa yanajibiwa. Arteta sasa anachanganya vizuri na pale katikati hapana tatizo.

Newcastle walikuja na plan kwamba waibane midfiled ya Arsenal waliwadhibiti Rosicky na Song na walipewa kazi hiyo Check Tiote, Gabriel Obertan na Yohan Kabaye. Kwa hali hio walifanikiwa kwa kiasi kikubwa na wakapata goli kupitia Ben Arfa.

Lakini kama kawaida ya timu zikienda Emirates zinaanza kucheza 10 men behind the ball na wakawapa Arsenall all ball possession.

Tunakwenda Merseyside kucheza na Everton na Ander Santos huenda akacheza kipindi cha pili maana Gibbs is so good at the moment.

Ile kazi niliyopewa ya ku-deal na Artillery division inaleta matokeo mazuri tunataka nafasi ya tau kama si ya pili.

Tatizo la kazi hii unashinda mno kwenye kuchora designs mbalimbali za artillery na research inachukua muda mwingi kuhakikisha weapon system yetu ni ya kuotea mbali.

Kila la kheri wakulu.

...so long as Gaffer ataendelea kumtumia Rosicky badala ya Ramsey kwenye midfield, we are safe....
Gervinho maskini, ...kihirizi cha AFCON kama kilivyowahi waathiri kina Kolo Toure, na Song kipindi kile,
naye performance yake ime dip...
 
Hivi yuko wapi Peasant?......Yule jamaa wa Chelsea ambaye kipindi Arsenal tunfanya vibaya kutwa kutwa alikuwa akishinda hapa na maneno yake ya kejeli....

Mkinionea naomba mnifikishie salmu zangu........Mwambieni imetoka hiyo......................
 
Hivi yuko wapi Peasant?......Yule jamaa wa Chelsea ambaye kipindi Arsenal tunfanya vibaya kutwa kutwa alikuwa akishinda hapa na maneno yake ya kejeli....

Mkinionea naomba mnifikishie salmu zangu........Mwambieni imetoka hiyo......................

Ikirudi pancha...
 
Hivi yuko wapi Peasant?......Yule jamaa wa Chelsea ambaye kipindi Arsenal tunfanya vibaya kutwa kutwa alikuwa akishinda hapa na maneno yake ya kejeli....

Mkinionea naomba mnifikishie salmu zangu........Mwambieni imetoka hiyo......................

Don't worry mate his team's future opponents will be in Europa League.
 
Park escapes South Korean military service


ARSENAL striker Chu-Young Park has been given permission to delay doing his military service for 10 years.


South Korea's Military Manpower Administration say his 10-year residency visa from Monaco means he can postpone his service until 2022.The 26-year-old forward moved to North London from the French side in a £3million deal last summer and was expected to begin his duties either this year or next year.


All able-bodied South Korean men are required to serve two to three years in the military.


Arsenal's Chu-Young Park escapes military service until 2022 | The Sun |Sport|Football
 
hongereni sana kwa kupangiwa spurs kwenye champion league....hahaha.
 
hongereni sana kwa kupangiwa spurs kwenye champion league....hahaha.
Good to see you jirani.......

Ulipotea sana aisee.......

Spurs wetu wale.....Hongereni sana kwa kuingi QF ya CL.....

Habari za Bongoland?....
 
[h=1]
gun__1332012694_Fabrice-Muamba.jpg


Club statement: Fabrice Muamba[/h]Bolton Wanderers have confirmed that Fabrice Muamba is in a critically ill condition in intensive care after collapsing during his side's FA Cup match against Tottenham Hotspur at White Hart Lane.

The thoughts and prayers of his many friends at Arsenal Football Club are with Fabrice and his family at this time.

Club statement: Fabrice Muamba | News Archive | News | Arsenal.com
 
Fabrice-Muamba-007.jpg



gun__1332053038_muamba3.jpg

Fabrice Muamba during his Arsenal days



Send your message to Fabrice Muamba


Fabrice Muamba is in a critically ill condition in intensive care after collapsing during Bolton's FA Cup match against Tottenham Hotspur at White Hart Lane on Saturday.

The thoughts and prayers of everyone at Arsenal Football Club are with Fabrice and his family at this time.

The 23-year-old joined Arsenal as a schoolboy and came through the youth ranks at the Club before signing professional terms in 2005.

If you would like to send a message of support to Fabrice, please click the link below. We will publish a selection of them on Arsenal.com.


Send your message to Fabrice Muamba | News Archive | News | Arsenal.com


 
Robin van Persie makes a lot of sense every time he speaks or pens his thoughts. Here are
some of his recent nuggets of wisdom as told to Arsenal Player,

"After the two defeats to Milan and Sunderland, everyone was like ‘this is going to be a tough couple of weeks’ because we
had games against Spurs, Liverpool, Milan and an international week and then Newcastle. Yet we won every game, so we showed lots of
character. We can be proud of that. Now we need to show that over a period of a whole year. That is
very hard and only the best of the best teams have that in them. Look at Barcelona for
example. They have a special team there, they are playing most games – 9 out of 10 – really well and working hard. We need to have a run like that for months and even win the ugly
games."
 
There don’t seem to be any new injury problems, which is always good news.

Abou Diaby got his name on the
scoresheet as he completed 60 minutes for the reserves and Thomas Vermaelen has
apparently recovered from a minor knock picked up against
Newcastle. Our injury list continues to get shorter by the week, but Jack Wilshere is still a
while away from making a return. And in case you missed it, Andre Santos is fully fit as he was against Newcastle ready for game time. Francis Coquelin is few weeks away to full training while Per Mertasacker will miss the rest of the season.
 
super Wednesday sijjui njigawe vipi... game zote tamu!! nitabaki ku watch gooners!! i hope my boys hawata tuangusha leo...

proud to be a gooner
 
Everton: Howard, Hibbert, Heitinga, Distin, Baines, Pienaar, Fellaini, Osman, Drenthe, Cahill, Jelavic. Subs: Mucha, Jagielka, Stracqualursi, McFadden, Neville, Gueye, Anichebe.
Arsenal: Szczesny, Sagna, Vermaelen, Koscielny, Gibbs, Walcott, Arteta, Song, Ramsey, Rosicky, van Persie. Subs: Fabianski, Andre Santos, Oxlade-Chamberlain, Djourou, Gervinho, Chamakh, Benayoun.
 
AW sijui hana winning team??? What the hell is RAMSEY doing in there???? OX na Gervinho wote nje..... Kujaza viungo ndo nini na kuua winger??? Au ndo game paln????
 
Back
Top Bottom