Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,686
hivi kina peasant wamekufa?mbona hawaonekani hapa?
Aise mbona mnajificha sanaGoal!!!!!
dah!chelsea hamfai!pamoja na sisi man utd kuwa nyuma yenu na kuwasukuma kama mbuzi kagoma kwenda kwa kuwapa support ya kuwashangilia lakini wapiii!hopeless
Against Man City leo usiku....!!!! i thot it was obvious...
Msalimu ndg yangu peasant popote alipo. Na mchungaji just incase unakutana naye kwa bahati mbaya kanisan.tupo mzee..labda hamtuoni tu....😛eep: