Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,189
Itaplay part ya kuendelea kutuhakikishia nafasi ya 3Hiyo 3 katika jezi itaplay part gani leo?
Itaplay part ya kuendelea kutuhakikishia nafasi ya 3Hiyo 3 katika jezi itaplay part gani leo?







Ukishaamka njoo!Nyie blues viazi kabisa
Mnampa liverpool ubingwa na anakuja kuwatoa top four next week
Malipo ni hapa hapa dunian
![]()
Nyie blues viazi kabisa
Mnampa liverpool ubingwa na anakuja kuwatoa top four next week
Malipo ni hapa hapa dunian
![]()
Wewe ndio kiazi unatafuta Sympathy huku baada ya kushindwa jana.Nyie blues viazi kabisa
Mnampa liverpool ubingwa na anakuja kuwatoa top four next week
Malipo ni hapa hapa dunian
![]()
Ngonja jogoo ajee kuwanyoosha pale anfieldWewe ndio kiazi unatafuta Sympathy huku baada ya kushindwa jana.




Hii Norwich ingekuwa na neno United mbele 3 za kwenye jezi yao zingesadifu leoSalah, Firminho (ginger pressing striker) na Mane
Mnachomokaje chomokaje hapo
Salah anataka kiatu cha dhahabu, Klop anataka rekodi ya 100+points
Malizeni msala na Puki kwanza leo, Cantiwel hawezi kuwaacha salama












Kachambue kwanza katimu kako huko kwamba mtapenyaje kwa Palace, Westham na LFCSalah, Firminho (ginger pressing striker) na Mane
Mnachomokaje chomokaje hapo
Salah anataka kiatu cha dhahabu, Klop anataka rekodi ya 100+points
Malizeni msala na Puki kwanza leo, Cantiwel hawezi kuwaacha salama
Kachambue kwanza katimu kako huko kwamba mtapenyaje kwa Palace, Westham na LFC
Ebu nenda kapambane kuitafuta nafasi ya kushiriki europaHii Norwich ingekuwa na neno United mbele 3 za kwenye jezi yao zingesadifu leo
Newcastle United
Westham United
Sheffield United
Norwich United?????
Kwa hiyo Chelsea ni shetani mkubwa maana kapigwa mara 3 mfululizo msimu huu na man u.Wale Southampton wanaitwa "The Saints" maana yake Watakatifu wa Bwana"
Na wale wengine wanaitwa "Red Devils" maana yake Mashetani wekundu
Tatizo ni mashetani walicheza na watakatifu
Tangu lini Shetani akamshinda Mtakatifu wa Bwana?
Salah, Firminho (ginger pressing striker) na Mane
Mnachomokaje chomokaje hapo
Salah anataka kiatu cha dhahabu, Klop anataka rekodi ya 100+points
Malizeni msala na Puki kwanza leo, Cantiwel hawezi kuwaacha salama
Aya nyumbu ngojea huone mwisho wake utakuajeNyie blues viazi kabisa
Mnampa liverpool ubingwa na anakuja kuwatoa top four next week
Malipo ni hapa hapa dunian
![]()
Tumfunge mara ngapi? Hebu fuatilia nakupa homeworkNgonja jogoo ajee kuwanyoosha pale anfield
Hivi mnaweza kumfunga liverpool viazi nyie
![]()
Mkuu kwani hiki nacho ni kibaya?Huyu Lampard kila siku ana kikosi kipya
Sema na wachezaji wenyewe wanazingua hawana consistence performance ndio maana inapelekea Lampard kubadilisha Mara kwa Mara kikosiHuyu Lampard kila siku ana kikosi kipya
Kikosi Cha Leo kizuri kilichobaki Ni wachezaji wenyewe kuonesha performance nzuriSafi sanaaaaaa:-
Abraham SUB
Barkely SUB
Mount SUB.
Angalau Kikosi leo kimekaa kiushindi
View attachment 1506843