Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyie blues viazi kabisa
Mnampa liverpool ubingwa na anakuja kuwatoa top four next week


Malipo ni hapa hapa dunian
 
108958675_10157793496298517_8014069746997588690_o.jpg
.
 
Salah, Firminho (ginger pressing striker) na Mane

Mnachomokaje chomokaje hapo

Salah anataka kiatu cha dhahabu, Klop anataka rekodi ya 100+points

Malizeni msala na Puki kwanza leo, Cantiwel hawezi kuwaacha salama
 
Salah, Firminho (ginger pressing striker) na Mane

Mnachomokaje chomokaje hapo

Salah anataka kiatu cha dhahabu, Klop anataka rekodi ya 100+points

Malizeni msala na Puki kwanza leo, Cantiwel hawezi kuwaacha salama
Hii Norwich ingekuwa na neno United mbele 3 za kwenye jezi yao zingesadifu leo
Newcastle United
Westham United
Sheffield United

Norwich United?????
 
Salah, Firminho (ginger pressing striker) na Mane

Mnachomokaje chomokaje hapo

Salah anataka kiatu cha dhahabu, Klop anataka rekodi ya 100+points

Malizeni msala na Puki kwanza leo, Cantiwel hawezi kuwaacha salama
Kachambue kwanza katimu kako huko kwamba mtapenyaje kwa Palace, Westham na LFC
 
Hii Norwich ingekuwa na neno United mbele 3 za kwenye jezi yao zingesadifu leo
Newcastle United
Westham United
Sheffield United

Norwich United?????
Ebu nenda kapambane kuitafuta nafasi ya kushiriki europa
 
Wale Southampton wanaitwa "The Saints" maana yake Watakatifu wa Bwana"
Na wale wengine wanaitwa "Red Devils" maana yake Mashetani wekundu
Tatizo ni mashetani walicheza na watakatifu
Tangu lini Shetani akamshinda Mtakatifu wa Bwana?
Kwa hiyo Chelsea ni shetani mkubwa maana kapigwa mara 3 mfululizo msimu huu na man u.
 
Bado tu unandoto ya kushika nafasi 3&4
Salah, Firminho (ginger pressing striker) na Mane

Mnachomokaje chomokaje hapo

Salah anataka kiatu cha dhahabu, Klop anataka rekodi ya 100+points

Malizeni msala na Puki kwanza leo, Cantiwel hawezi kuwaacha salama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom