Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1. Lampard anashindwa kupanga kikosi
2. Lampard anashindwa kufanya sub
3. Lampard anakosa ubunifu
4. Lampard mbinu zake ni dhaifu
5. Lampard anapendelea baadhi ya wachezaji
6. Lampard ameshindwa kuorganize wachezaji
7. Lampard ni mgumu kukubali ukweli
8. Lampard uwezo wake ni mdogo kuifundisha Chelsea.
Hapo kwenye kupendelewa mchezaj yupi anapendelewa

Kuna baadhi ya wachezaj wanapangwa based na performanc zao mazoezini kama mtu mazoezini anafanya vizuri unategemea apigwe bench

Jana lamp alizulingua kwa giroud tu ila huko kwingine ni wachezaj wale wale waliocheza mechi ambazo tumeshinda
 
Ni kweli ila ukweli usemwe, Pedro yuko vizuri kuliko Tammy. Hata kabla ya mechi ya leo nilishawahi kuandika hili. Pedro ni zaidi ya Mason Mount pia. Chelsea ilipaswa kuanza na Willian, Giroud, Pedro na Pullisic. Na kati jana Jorginho na Barkley hawakuwa kwenye form, So angalau Kovacic na RLC wangeweza ku cover. Imagine Pedro hata kwenye sub hakuwepo ila Batshuayi yumo. That's laughable
Hivi hujui Kama Pedro anaondoka anajiunga na Roma
 
Jorginho anazingua sana akiwepo tuna ongoza possession lkn magoli hakuna me naona angeuzwa tu amfate mafegi
Kaka Kama akiwepo mnakuna na umiliki mzuri wa mpira basi jamaa anatimiza majukumu yake vyem Mana yeye ni mido sio forward au wing swala la kutokupata magoli wakulaumiw ni kina wilian ,Tammy,pulisic na wale wambele sio gorginio
 
Ni kweli ila ukweli usemwe, Pedro yuko vizuri kuliko Tammy. Hata kabla ya mechi ya leo nilishawahi kuandika hili. Pedro ni zaidi ya Mason Mount pia. Chelsea ilipaswa kuanza na Willian, Giroud, Pedro na Pullisic. Na kati jana Jorginho na Barkley hawakuwa kwenye form, So angalau Kovacic na RLC wangeweza ku cover. Imagine Pedro hata kwenye sub hakuwepo ila Batshuayi yumo. That's laughable
Screenshot_20200712-173621.jpg
 
Wachezaj sindio hao hao anaowatumia kuanzia mwanzo mwa msimu au kuna mchezaj ambaye atumiki
Mkuu unachoongea ni kweli lakini kuna kipindi mchezaji mwingine anakuwa yuko form mwingine anakuwa hayuko form, imagine performance ya Giroud games zilizopita kafanya vizuri lakini Jana kaanza Abraham ambaye hata amekuwa haeleweki kabisa. Lakini Jana kapangwa
 
Mkuu unachoongea ni kweli lakini kuna kipindi mchezaji mwingine anakuwa yuko form mwingine anakuwa hayuko form, imagine performance ya Giroud games zilizopita kafanya vizuri lakini Jana kaanza Abraham ambaye hata amekuwa haeleweki kabisa. Lakini Jana kapangwa
Mwingine wa ovyo ambaye anamuamini akimtoa willian Ni odoi badala ya Pedro
 
Kila siku nawaambia huyu Lampard ana Uingereza mno, kuna matakataka kama lile lioka mikate na lile kubwa jinga la pale mbele haya matakataka hayafai kabisa kuwa katika klabu yetu
Mchukueni Selemani Matola
 
1. Lampard anashindwa kupanga kikosi
2. Lampard anashindwa kufanya sub
3. Lampard anakosa ubunifu
4. Lampard mbinu zake ni dhaifu
5. Lampard anapendelea baadhi ya wachezaji
6. Lampard ameshindwa kuorganize wachezaji
7. Lampard ni mgumu kukubali ukweli
8. Lampard uwezo wake ni mdogo kuifundisha Chelsea.
Mkuu nakubaliana na wewe 100%
 
1. Lampard anashindwa kupanga kikosi
2. Lampard anashindwa kufanya sub
3. Lampard anakosa ubunifu
4. Lampard mbinu zake ni dhaifu
5. Lampard anapendelea baadhi ya wachezaji
6. Lampard ameshindwa kuorganize wachezaji
7. Lampard ni mgumu kukubali ukweli
8. Lampard uwezo wake ni mdogo kuifundisha Chelsea.
Ujumbe bora huu twena wa mwaka katika uzi wa Chelsea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom