Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yupo anadai 139k per week, ili aanze kuitendea haki jezi yake namba 9 mkuu
Abraham aje man u tumpe 150k kwa wiki alafu sisi tuwape jesse lingard ambaye na yeye anakula 150k kwa wiki bila hata goli, na Tena abraham ambavyo bado mdogo akishakutana na fundi Bruno yaani magoli yatakuja Automatically
 
Keshokutwa Norwich atakula 6-0, 3-0 malipo Shefield united na 3-0 mgao wao
 
Pambaneni na hali yenu kwanza ili angalau mshiriki tena Futuhi mwakani maana hata futui cup mnaikosa.
Mourinh
1594553296201.jpg
 
Nawahi kupeleka mapendekezo kule Norwich waongeze neno UNITED
Na siku tukitoa ile FC tukaongeza UNITED tutapiga back to back million,
1594553483688.jpg
 
Hata angeanza Giroud msingeweza kupiga bao nne mkatoka na ushindi 4-3 . Bado mabeki wenu hawako makini na kwa ambavyo mlicheza mpira sana mkashindwa kupita ukuta wa Shellfied, Hiyo ni opportunity kubwa kwa timu kama Shellfield kuanzisha mashambulizi ya kushtukiza
Hata comment yangu ya nilisema hivi time ilicheza vibaya but kama Giroud angekuwa ameanza tungeona impact Fulani.

Kama alivoingia tuliona some changes.
 
Mashabiki wote duniani timu yao ikifungwa maneno ndio hayo
Ni kweli ila ukweli usemwe, Pedro yuko vizuri kuliko Tammy. Hata kabla ya mechi ya leo nilishawahi kuandika hili. Pedro ni zaidi ya Mason Mount pia. Chelsea ilipaswa kuanza na Willian, Giroud, Pedro na Pullisic. Na kati jana Jorginho na Barkley hawakuwa kwenye form, So angalau Kovacic na RLC wangeweza ku cover. Imagine Pedro hata kwenye sub hakuwepo ila Batshuayi yumo. That's laughable
 
Huyu mwanzo wa Msimu si ndiye tuliyeambiwa Mrithi wa Drogba?
Alianza vizuri, angeendelea vile angalikuwa mrithi. Ila kuumia kumemtoa nje ya mchezo. Kuendelea na ndoto hizo wakati perfomance yake kwa sasa sio nzuri ni ujinga
 
Kweli tuliuza hii mashine tukanunua Joginho? Tumeuza trector tumenunua power tila

Matic.....Kante......Fabrigas

Kante lazima acheze chini ya kiwango, kwa sasa akiangalia kushoto na kulia anaona matakataka yamemzunguka.

Pale katikati pamekuwa lango la wanyang'anyi

View attachment 1504472

Ahsante sana kwa kutuuzia sasa hivi ndio stabilizer wa Man U
 
Ni kweli ila ukweli usemwe, Pedro yuko vizuri kuliko Tammy. Hata kabla ya mechi ya leo nilishawahi kuandika hili. Pedro ni zaidi ya Mason Mount pia. Chelsea ilipaswa kuanza na Willian, Giroud, Pedro na Pullisic. Na kati jana Jorginho na Barkley hawakuwa kwenye form, So angalau Kovacic na RLC wangeweza ku cover. Imagine Pedro hata kwenye sub hakuwepo ila Batshuayi yumo. That's laughable
Timu nzima haikucheza vizuri, hata wangeanza hao tungekuwa saa hivi tunasema lugha tofauti
 
Ni kweli ila ukweli usemwe, Pedro yuko vizuri kuliko Tammy. Hata kabla ya mechi ya leo nilishawahi kuandika hili. Pedro ni zaidi ya Mason Mount pia. Chelsea ilipaswa kuanza na Willian, Giroud, Pedro na Pullisic. Na kati jana Jorginho na Barkley hawakuwa kwenye form, So angalau Kovacic na RLC wangeweza ku cover. Imagine Pedro hata kwenye sub hakuwepo ila Batshuayi yumo. That's laughable
Stefano Mtangoo Naunga hoja yako kwa asilimia 💯 chakushangaza zaidi kwenye substitution Kuna odoi alafu Pedro hayupo kabisa hiv odoi Ni Bora zaidi ya Pedro? Lampard hawezi kukwepa lawama yeye pia Ni kikwazo Cha kupata ushindi kwenye game.
 
Tukubali tusikubali kuna mengine lampard anajitakia mwenyewe, hivi game ya Jana utampanga veep Abraham then unamuacha Giroud nje!?, Of course game ya Jana wachezaji walichezaji lakini naamini kabisa Giroud for the first half angefanya kitu.

Halafu point ya kwamba lampard hakufanya usajili wa mchazaji yoyote haisaidii mkuu, point ni kwamba hao wachezaji alionao wanatakiwa wampe kitu fulani, asa si Kila siku wanaenda Cobham training.

Anatakiwa atumie wachezaji alionao. Na siyo kusema kwamba hakuna mchezaji yoyote alomsajili mkuu.
Wachezaj sindio hao hao anaowatumia kuanzia mwanzo mwa msimu au kuna mchezaj ambaye atumiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom