Arsenal haijawahi fungwa 8 - 0 na ManyumbuMwantesa United 8 - 0 Arsenal, ndiyo jina rasmi la Arsenane lilibatizwa hapo hadi siku akiifunga timu nyingine goli 8 ndipo itaachwa kuitwa Arsenane
Team yetu ni ya ushindi huna unachojua takataka kabisa team ya draw huijuiVery likely, game ya mwisho mko na Leicester.
Game ya Crystal Palace ugenini pia nawapa draw.


Ww ndundule bora mlipigwa nane ..ilikuwa kwa mbili takataka nyie jiandae Spurs anataka points 3Arsenal haijawahi fungwa 8 - 0 na Manyumbu
Dhahiri.Hamjui tu jinsi mnavyokera wadau humu, halafu kwa nature ya posts ninazoziona kutoka kwako, ninatarajia usiwe wa hivi.
Anyway, mimi ni yangu hayo.
Huyu anayejiita limbukeni amekimbia jukwaaPrediction yangu hiyo hapo
Narudia tena ligi imeisha tuendelee na usajili
View attachment 1498184



Mimi pia nina was was na Soton au Crystal palace.Very likely, game ya mwisho mko na Leicester.
Game ya Crystal Palace ugenini pia nawapa draw.
Chelsea Lives Matter...!!kwaio wamekula miguu ya bajaji sio
bado
liver
wolve
bayern
chelsea lives matter


Yaani katika watu ambao nilishawahi kupishana nao kauli na sijamuweka katika ignore list ni huyo jamaa,Hamjui tu jinsi mnavyokera wadau humu, halafu kwa nature ya posts ninazoziona kutoka kwako, ninatarajia usiwe wa hivi.
Anyway, mimi ni yangu hayo.
Okay,Let's wait and seeVery likely, game ya mwisho mko na Leicester.
Game ya Crystal Palace ugenini pia nawapa draw.
Na tutawasaidia kufunga maturubai na kupanga viti.Wafiwa wamekimbia msiba, sisi majirani tupo hapa hata mkirudi mwakani mtatukuta
Yaani katika watu ambao nilishawahi kupishana nao kauli na sijamuweka katika ignore list ni huyo jamaa,
Naamini yupo vizuri sana kichwani na katika michango yake naweza okota vitu vya maana....
Akirekebisha hapo padogo tu ameula.
Mimi pia nina was was na Soton au Crystal palace.
Leceister atakuwa vulnerable sana kwake maana anahitaji kushambulia apate matokeo hivyo ataadhibiwa kirahisi sana.