GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,078
- 16,399
Tuliambiwa ndiye Drogba ajaye aliyetabiriwaNimekuja na swali moja tu! "Yuko wapi yule Abraham tuliyesifiwa kwa kila mapambio kuwa apepatikana mwenye Jezi namba 9 iliyowashinda wengi?"
Tuliambiwa ndiye Drogba ajaye aliyetabiriwaNimekuja na swali moja tu! "Yuko wapi yule Abraham tuliyesifiwa kwa kila mapambio kuwa apepatikana mwenye Jezi namba 9 iliyowashinda wengi?"
Kila mchezaji anaweza kuuzwa ndio,ila tunaangalia possibilities za kuuzwa..huwezi kuropoka tu kuwa tumsajili VVD aje kuchukuwa namba ya Zouma that simpleAcha kujitoa akili kuna mchezaji asie uzwa??
Kwakweli Kati ya siku aliyonichukiza lampard ni Jana, how comes anamuanzisha Abraham ambaye recently amekuwa mbovu kupita kiasi!, Halafu giroud ambaye fuko form last kafunga goli na assist hivi lampard anatupeleka wapi Jamani.Sijui Lampard anampendea Nini Abraham? Si niliwaambia wadau lazima Leo atamuanzisha Abraham na kweli Abraham leo kaanza, hiv Lampard anapataje jeuri ya kumuweka benchi Giroud ambaye yupo kwenye form ya Hali ya juu?
Previous games nilikuwa nasita kusema kuwa lampard hafai kufundisha Chelsea but kwa game ya Jana naomba aondolewe tu si kocha mzuri..naomba aondoke na waingereza wake wote aisee🤨🤨🤨Kwa utopolo ule umechezwa jana tusahau kuhusu mafanikio msimu ujao. Nikianza na kocha, kwakwel hatuna kocha kabisa Lampard hafai kuifundisha Chelsea. Hana mbinu zozote zile za kuifanya timu ishinde, ni aibu mwaka mzima unafundisha wachezaji namna ya kupiga pasi. Lampard hatufai ata chembe aende huko aliko toka, na mara nyingi tunapata matokeo mazuri kwa juhudi za wachezaji si kwa mbinu za Lampard hana anacho jua zaidi ya kupiga pasi.
Ball Possession 77% kwa 23% huku pasi umepiga 809 kwa 251 alafu unafugwa 3 bila huku ni kukosa mbinu. Timu inashindwa kustahimili ubora wake leo inashinda kesho inafugwa uliona wapi bigwa anakuwa kiande namna hii. Kwanza tushukuru sana kuwa katika nafasi tulipo maana hatukufaa kuwa hapo kwa hizi mbinu za huyu Lampard. Sipendi kumuita takataka kutokana na mazuri aliyoyafanya pindi alipokuwa mchezaji.
Kutakuwa hakuna la maana kama umesajili wachezaji wazuri kina Timo Werner, Hakim Ziyech na Kai Havertz kisha uendelee kuwa na Lampard, hana mbinu zozote zile atawafundisha nn sasa? Tunapaswa kuwa na kocha mzoefu na mwenye mbinu.
Kuhusu wachezaji, tena hawa ndio nina hasira nao sana. Kuna matakataka mengi sana katika klabu yetu. Hawa matakataka watupishe watuachie klabu yetu. Wa kwanza ni huyu kubwa jinga aka takataka Abraham hafai kuwa kwenye klabu kama Chelsea aondoke haraka sana kabla hatujampiga shaba. Hilo takataka liondoke asajiliwe Ollie Watkins kutoka Brentford kuwa sub kwa Werner. Kuna huyu bishoo Odoi atoke haraka aje Said Benrahma, Giroud, Batshuayi, Jorginho, Cheek, Muoka mikate, Alonso, Rudiger, Christensen, Zouma, Emerson na Kepa. Hizo takataka zinatakiwa zitoke zituachie timu yetu. Kama kweli tunahitaji tupate timu yenye ushindani na yenye kuchukua mataji tunapaswa tutoe hizo takataka, hazina kiwango cha kucheza Chelsea.
Wachezaji tunao paswa kusajili, kipa tuchukue Nick Pope ama Dean Henderson. Beki tulete David Alaba huyu atakuwa kiongozi kwa mabeki wenzake maana beki bila kiranja ni ujinga. Alaba ni mzuri pia ni mzoefu sana, ongeza na Lucas Digne. Kiungo mkabaji aje Milinkovic Savic.
Imagine zile takataka tumetoa tukabaki na hawa wachezaji,
Dean Henderson
Nick Pope
Lucas Digne
Tomori
David Alaba
Azpilicueta
Mount
Kante
Kovacic
Savic
Ziyech
Wilian
Said Benrahma
Pulisic
Havertz
Ollie Watkins
Werner.
Hicho ndio kikosi cha ushindani sio zile takataka.
😂😂😂😂😂LAMPARD OUT.![]()
Kwani lamp kuna mchezaj yyt aliyemsajil. Hatuna tim kwa sasa huo ni ukweli ambao hatutaki kuukubali. Kwa tim tuliyonayo kuna matokeo yakija hupaswi kushangaa.Kwakweli Kati ya siku aliyonichukiza lampard ni Jana, how comes anamuanzisha Abraham ambaye recently amekuwa mbovu kupita kiasi!, Halafu giroud ambaye fuko form last kafunga goli na assist hivi lampard anatupeleka wapi Jamani.
Of course team ilicheza vibaya game ya Jana but Giroud alikuwa anahitajika Sana mwanangu, hapa Nina hasira Sana nikimuona lampard muda huu namtafuna haki ya mungu
Previous games nilikuwa nasita kusema kuwa lampard hafai kufundisha Chelsea but kwa game ya Jana naomba aondolewe tu si kocha mzuri..naomba aondoke na waingereza wake wote aisee![]()
ManU ndio mnalazimisha kuja nafasi za vigogo wakati level zenu ni namna sita. Yaani mpaka VAR iwabebe...Wanaume (Manchester United) hatuna utani na wavulana (Chelsea). Mnalazimisha kuwa level moja na; Arsenal na Liverpool.
Acha komenti za kimburura we unafikiri umewazidi akili waliomuweka pale afundisheKwakweli Kati ya siku aliyonichukiza lampard ni Jana, how comes anamuanzisha Abraham ambaye recently amekuwa mbovu kupita kiasi!, Halafu giroud ambaye fuko form last kafunga goli na assist hivi lampard anatupeleka wapi Jamani.
Of course team ilicheza vibaya game ya Jana but Giroud alikuwa anahitajika Sana mwanangu, hapa Nina hasira Sana nikimuona lampard muda huu namtafuna haki ya mungu
Previous games nilikuwa nasita kusema kuwa lampard hafai kufundisha Chelsea but kwa game ya Jana naomba aondolewe tu si kocha mzuri..naomba aondoke na waingereza wake wote aisee![]()
ManU ndio mnalazimisha kuja nafasi za vigogo wakati level zenu ni namna sita. Yaani mpaka VAR iwabebe...
Jikumbushe penati mliyozawadiwa badala ya kadi...
View attachment 1504412




3
tukamuuliza zaha vp kijana wetu ? Akasema "Mimi nimefanya kazi mlionituma"nimemtungua kepa Alizabuliwaga shida kipa wetu ndio karuhusu wao kufunga "
akasema sawa wakuu mi nitafanya kazi yangu hawatogusa nyavu na kazi iliyobaki nitamuachia "kipara"UCHEBE" atamaliza 


Wale wapo physic sana , unapoanza bila mtu kama Kante unategemea nini?Yaani unacheza na timu inayochezea(possess) mpira kuliko wewe, halafu uanze na viungo wasio wakabaji???
Mkuu kante ni injury aliumia mechi dhidi ya watfordWale wapo physic sana , unapoanza bila mtu kama Kante unategemea nini?
OK sikujua ,but why asianze Giroud ,maana game tough kama zile ndio zakeKante ni injury mkuu