Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,165
- 5,621
Hongera kwa United. Kocha wetu alifanya makosa kwa kuchelewa kurekebisha makosa ya wazi kabisa. Lakini ndio mpora huo, ukikosea mwenzako anatumia makosa na kushinda.
Bado nafasi ya Tatu na nne tuna uwezo wa kushika, kama tutafanya vizuri mechi zilizobaki.
Haya watani tunasubiria mechi yenu pia. Hope hamtakuwa 13, akiwemo Refer na AVR
Bado nafasi ya Tatu na nne tuna uwezo wa kushika, kama tutafanya vizuri mechi zilizobaki.
Haya watani tunasubiria mechi yenu pia. Hope hamtakuwa 13, akiwemo Refer na AVR

mmetusema sana, mmetunanga sana, mmetutukana sana, kwamba sisi hatufai, takataka, viazi, bomu la kutupwa, tumekata uno. 
