Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa utopolo ule umechezwa jana tusahau kuhusu mafanikio msimu ujao. Nikianza na kocha, kwakwel hatuna kocha kabisa Lampard hafai kuifundisha Chelsea. Hana mbinu zozote zile za kuifanya timu ishinde, ni aibu mwaka mzima unafundisha wachezaji namna ya kupiga pasi. Lampard hatufai ata chembe aende huko aliko toka, na mara nyingi tunapata matokeo mazuri kwa juhudi za wachezaji si kwa mbinu za Lampard hana anacho jua zaidi ya kupiga pasi.

Ball Possession 77% kwa 23% huku pasi umepiga 809 kwa 251 alafu unafugwa 3 bila huku ni kukosa mbinu. Timu inashindwa kustahimili ubora wake leo inashinda kesho inafugwa uliona wapi bigwa anakuwa kiande namna hii. Kwanza tushukuru sana kuwa katika nafasi tulipo maana hatukufaa kuwa hapo kwa hizi mbinu za huyu Lampard. Sipendi kumuita takataka kutokana na mazuri aliyoyafanya pindi alipokuwa mchezaji.

Kutakuwa hakuna la maana kama umesajili wachezaji wazuri kina Timo Werner, Hakim Ziyech na Kai Havertz kisha uendelee kuwa na Lampard, hana mbinu zozote zile atawafundisha nn sasa? Tunapaswa kuwa na kocha mzoefu na mwenye mbinu.

Kuhusu wachezaji, tena hawa ndio nina hasira nao sana. Kuna matakataka mengi sana katika klabu yetu. Hawa matakataka watupishe watuachie klabu yetu. Wa kwanza ni huyu kubwa jinga aka takataka Abraham hafai kuwa kwenye klabu kama Chelsea aondoke haraka sana kabla hatujampiga shaba. Hilo takataka liondoke asajiliwe Ollie Watkins kutoka Brentford kuwa sub kwa Werner. Kuna huyu bishoo Odoi atoke haraka aje Said Benrahma, Giroud, Batshuayi, Jorginho, Cheek, Muoka mikate, Alonso, Rudiger, Christensen, Zouma, Emerson na Kepa. Hizo takataka zinatakiwa zitoke zituachie timu yetu. Kama kweli tunahitaji tupate timu yenye ushindani na yenye kuchukua mataji tunapaswa tutoe hizo takataka, hazina kiwango cha kucheza Chelsea.

Wachezaji tunao paswa kusajili, kipa tuchukue Nick Pope ama Dean Henderson. Beki tulete David Alaba huyu atakuwa kiongozi kwa mabeki wenzake maana beki bila kiranja ni ujinga. Alaba ni mzuri pia ni mzoefu sana, ongeza na Lucas Digne. Kiungo mkabaji aje Milinkovic Savic.

Imagine zile takataka tumetoa tukabaki na hawa wachezaji,
Dean Henderson
Nick Pope
Lucas Digne
Tomori
David Alaba
Azpilicueta
Mount
Kante
Kovacic
Savic
Ziyech
Wilian
Said Benrahma
Pulisic
Havertz
Ollie Watkins
Werner.

Hicho ndio kikosi cha ushindani sio zile takataka.
Lampard kocha mzuri usitake kuwaaminisha watu ushubwada wako we unazani Mpira ni kitu cha kukurupuka inatakiwa kocha avumiliwe atengeneze timu yenye ushindani humuoni klopp alivoanza kazi aliteseka sana na kikosi alichokikuta tatizo lenu nyie mnataka matokeo ya mapema kitu ambacho hakiwezekani kwenye mpira
 
Nyekundu, unatuabisha, mko nafasi ya ngapi vile? Shefield kutufunga ni hasara kwako ndugu, au hujui nini hata Europa utaikosa
Potelea karibu, mimi timu yangu sio nzuri kwasasa hata nisiposhiriki huko ndio vizuri nipate muda wa kujenga timu,
 
Sawa mkuu haya matatizo tuliyajua hata kabla ligi haijaanza labda kama wengine wamesahau. Pundit wengi waliitabiria Chelsea nje ya top 6 na hata wengine walidiriki kusema Chelsea itakuwa kwenye mid table kwa sababu ya ban na Hazard kuondoka.
Kwa matokeo haya bado tumefanya wonders na Kocha kafanya wonders

Mwaka wake wa kwanza bila usajili na Hazard kuondoka

Kepa ana madhaifu yake lakini hayo madhaifu isingezuia kufungwa labda angekuwa kama GK wa Burnley Pope tungefungwa kamoja hivi
Tatizo la jana ni la timu nzima, Jourginho alicheza vizuri kwenye kuwachezesha wengine ila hakuweza kuwalinda mabeki kama Kante anavyofanya, Pia hakuwa mbun ifu wa kuwachezesha wafungaji, mawinga na striker. Side-passes na back-passes ndizo nilizoziona jana tu

Nategemea Chelsea wata-bounce-back kwenye mechi na Norwich, Liverpool na Wolves, Kila la Heri Chelsea
Vp kuhusu mchezaji wako Abraham?
 
Pamopja na 74% ya ball possession, jana Shefield United walikuwa na touches nyingi kwenye final third kuliko Chelsea
Wote walikuwa na shot on target 4 ila Shefield walizitum ia vizuri 3 kati ya hizo 4
Wao walikuwa rigid nyuma na well organized sisi tulikuwa tunafunguka mno. Mfano goli la kwanza, James, Christansen na Zouma walibaki kushangaa badala ya kuwahi kumsaidia kipa. Goli la pili walicha nafasi kubwa upande wa kulia au upande wa winga wa kushoto wa Shefield na hivyo kumpa mpiga krosi nafasi na uhuru wa kuchagua ampigie nani. Christensen's alitakiwa azibe hiyo nafasi wakati Willian na James wanamkaba jamaa. Goli la 3 hilo ni la Rudiger, kacheza fyongo kabisa. Hata kama alikuwa na presure huo mpira kuutoa kona haikuhitaji uwe na nguvu kubwa, badala yake CB mzoefu kama Rudiger unamrudishia mfungaji ambaye hakuwahi kufunga tangu ligi ianze goli la zawadi kama lile
 
Utajenga team yako mpaka lini?Maana nyinyi kila season mnajenga team
Tunaijenga kidogokidogo,hatuna haraka kabisa...tumeshayafanya mengi yenye faida kwa timu ikiwemo kujenga uwanja n.k sasa tunajenga timu ya ushindi taratibu.
 
Kwa utopolo ule umechezwa jana tusahau kuhusu mafanikio msimu ujao. Nikianza na kocha, kwakwel hatuna kocha kabisa Lampard hafai kuifundisha Chelsea. Hana mbinu zozote zile za kuifanya timu ishinde, ni aibu mwaka mzima unafundisha wachezaji namna ya kupiga pasi. Lampard hatufai ata chembe aende huko aliko toka, na mara nyingi tunapata matokeo mazuri kwa juhudi za wachezaji si kwa mbinu za Lampard hana anacho jua zaidi ya kupiga pasi.

Ball Possession 77% kwa 23% huku pasi umepiga 809 kwa 251 alafu unafugwa 3 bila huku ni kukosa mbinu. Timu inashindwa kustahimili ubora wake leo inashinda kesho inafugwa uliona wapi bigwa anakuwa kiande namna hii. Kwanza tushukuru sana kuwa katika nafasi tulipo maana hatukufaa kuwa hapo kwa hizi mbinu za huyu Lampard. Sipendi kumuita takataka kutokana na mazuri aliyoyafanya pindi alipokuwa mchezaji.

Kutakuwa hakuna la maana kama umesajili wachezaji wazuri kina Timo Werner, Hakim Ziyech na Kai Havertz kisha uendelee kuwa na Lampard, hana mbinu zozote zile atawafundisha nn sasa? Tunapaswa kuwa na kocha mzoefu na mwenye mbinu.

Kuhusu wachezaji, tena hawa ndio nina hasira nao sana. Kuna matakataka mengi sana katika klabu yetu. Hawa matakataka watupishe watuachie klabu yetu. Wa kwanza ni huyu kubwa jinga aka takataka Abraham hafai kuwa kwenye klabu kama Chelsea aondoke haraka sana kabla hatujampiga shaba. Hilo takataka liondoke asajiliwe Ollie Watkins kutoka Brentford kuwa sub kwa Werner. Kuna huyu bishoo Odoi atoke haraka aje Said Benrahma, Giroud, Batshuayi, Jorginho, Cheek, Muoka mikate, Alonso, Rudiger, Christensen, Zouma, Emerson na Kepa. Hizo takataka zinatakiwa zitoke zituachie timu yetu. Kama kweli tunahitaji tupate timu yenye ushindani na yenye kuchukua mataji tunapaswa tutoe hizo takataka, hazina kiwango cha kucheza Chelsea.

Wachezaji tunao paswa kusajili, kipa tuchukue Nick Pope ama Dean Henderson. Beki tulete David Alaba huyu atakuwa kiongozi kwa mabeki wenzake maana beki bila kiranja ni ujinga. Alaba ni mzuri pia ni mzoefu sana, ongeza na Lucas Digne. Kiungo mkabaji aje Milinkovic Savic.

Imagine zile takataka tumetoa tukabaki na hawa wachezaji,
Dean Henderson
Nick Pope
Lucas Digne
Tomori
David Alaba
Azpilicueta
Mount
Kante
Kovacic
Savic
Ziyech
Wilian
Said Benrahma
Pulisic
Havertz
Ollie Watkins
Werner.

Hicho ndio kikosi cha ushindani sio zile takataka.
Huwezi ukasajili tim nzima mkuu

Kingine kutawala possession sio ajabu mbona pep huwa anafungwa ila ukiangalia bado kapiga passes nyingi tu

Wachezaj tulionao sasa hawawezi kucheza katika viwango vyao katika mech zaid ya 3

Kuna magoal tunafungwa je unataka lampard ndio aingie akadefend hapan
Kwa mfano christensen na zouma walicheza vizuri mech ya watford wakafanya vizuri mech inayofata ya crystal palace zouma alicheza vizuri jana combination hiyonhiyo ya zouma na christensen ilikuwa iko hovyo 2nd goal mcburnie anapiga free header hakuna hata mmoja aliyekuwa anamkaba

Mechi na city christensen na rudiger walicheza vizuri mechi na west ham kilichotokea kila mtu anakijua

Endapo tim yetu ingekuwa inawachezaji wazuri blame zote angekuwa anatupiwa lampard na sidhan kama mpk sasa hiv angekuwepo ila kwa kuwa wachezaj tulio nao sasa ilitubidi tuwatumie tu kulikuwa hakuna namna
Tuangalie sajili anazofanya lampard na wachezaj anaowataka ndio utagundua kuwa lampard player waliowepo sasa ilimbidi tu afanye nao kazi kulikuwa hakuna namna zaidi ya kuwachakua na wale waliokuwepo.
Na hata msim ulipoanza hakuna aliyetegemea kama tungekuwa hapa tulipo sasa

Tumjudge lampard msim ujao. Msim huu ni kama tunamwonea vile kwa upande mwingine na ndio maan board imempa bck up kwenye usajili ni tofauti na makocha waliopita

Lampard ana mapungufu yake ila mpk hakuna aliyedhani kama anaweza fika hapo alipofika kutokana na wachezaj tulionao kwa sasa.
 
Lampard kocha mzuri usitake kuwaaminisha watu ushubwada wako we unazani Mpira ni kitu cha kukurupuka inatakiwa kocha avumiliwe atengeneze timu yenye ushindani humuoni klopp alivoanza kazi aliteseka sana na kikosi alichokikuta tatizo lenu nyie mnataka matokeo ya mapema kitu ambacho hakiwezekani kwenye mpira
Usiende kw klopp kwanza Ole tu ni mfano sahihi
 
Nimekuja na swali moja tu! "Yuko wapi yule Abraham tuliyesifiwa kwa kila mapambio kuwa apepatikana mwenye Jezi namba 9 iliyowashinda wengi?"
 
Nakuunga mkono kocha gani hana first eleven ya kudumu karibu mwisho wamsimu hana wining team anatapatapa tu, tunahitaji kocho muzoefu kama conte sari nk lampard anafaa kua msaidizi
Vuteni subira wakuu, Hata OGS hakuwa na first eleven kwa muda mrefu now kaipata na anaendelea kuiboresha.
Mnapitia katika kipindi cha transition, hivyo endeleeni kunywa mtori taratibu nyama mtazikuta chini ya chungu.
 
Uko sahihi, naunga mkono ulichokiona. Tukishambuliwa tunakuwa vulnerable sana, tukienda mbele tunakuwa butu hatuna creativity yeyote
Overall possession jana ilikuwa 74%, Harvertz ni wa muhimu sana asaidiane na Ziyech na Willian na Pulisic
Msimu uliopita Ziyech alikua linked na Arsenal, nikasema sasa hapa tunapata winger madude gani sijui yakatokea akaja Pepe. Kwa Ziyech pale mmepata mtu
 
Nakuunga mkono kocha gani hana first eleven ya kudumu karibu mwisho wamsimu hana wining team anatapatapa tu, tunahitaji kocho muzoefu kama conte sari nk lampard anafaa kua msaidizi
Hapo kwenye 1st eleven ya kudumu, mtukuwa mnamuonea Frankie,

Mfano, kati ya Zouma, Christensen na Rudiger. Utamchukua nani, maana wote makosa yao ni yaleyale.
 
Nilipoona viungo wenu katikati mmeanza na Mount Gorginho Bakley

Nikaweka stake ya 30,000 Chelsea anakufa

Wale shefflied na Wolves ,hata Leicester usianze na Viungo nyanya wasiojua kukaba had mwisho. Watakuadhibu mapema

Kama hao Shefflied United ,mwanzo mwisho Wanafanya making na wanatumia mfumo wa 3-4-3

Viungo wengi halafu powerful, Alitakiwa aanze Kante awe anawa nutrilize kwa kuwapiga viatu

Sasa Mount Gorginho na Bakley , hawa by nature sio Wakabaji , labda kama mnacheza na timu zinazo possess sana na kufunguka
Yaani unacheza na timu inayochezea(possess) mpira kuliko wewe, halafu uanze na viungo wasio wakabaji???
 
Tafuta comment yangu ya mechi ya juzi tuliyoshinda 3-2, nilicomment kwamba HONGERNI CHELSEA KWA USHINDI WA POINT 3 MUHIMU, ila tunahitaji engineer kutoka lamasia aje asuke kikosi upya.
Utabadilisha kocha mpk lini

Kwa kikosi kilichopo hata aje pep,zidane or klop bado atastruggle

Kama tu pep wakati anakuja city ilikuwa na akina nasri,nevas,negredo,yaya toure na bado akastruggle unategemea kwa chelsea hii iliyopo ata kocha gani akija atafanikiwa

Kocha aliyepo asajil wachezaj wa maana wakati huo huo kidogo kidogo tunapunguza hizo middle table player waliokuwepo baada ya hapo ndio utajua kocha huyu ni mbovu na hna mbinu
 
Sio lazima wao waripoti. Ila ukweli ni kuwa hiyo taarifa ata mm nimeiona mahara. Ila huyo Ugurcan Carik si mzuri kivile maana kwenye michezo 31 ana clean sheet 4 tu. Kwann tusichukue Nick Pope ama Dean Henderson
Dean Henderson ni kipa wa United na sio wa kuuzwa yule..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom