Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IMG_20200711_155446_642.jpg
 
Lampard kahojiwa na kusema dirisha kubwa anasajili first eleven nzima ukimuache kante pekee . Kasema wachezaji wanasinzia uwanjani kama "Walking Dead" Na pia kawataja majina Abraham, Rudiger na Zouma. Kwa mujibu wa report ya Skysports baada ya kuhojiwa alimalizia na kusema kuwa Leo amezozana na Tammy Abraham , baada ya kubainika kuja na Godoro ili kusinzia nyuma ya backbencher ndani ya uwanja bila aibu. Hivyo kawasiii wachezaji wakatazame mechi ya Jtatu ili waige first eleven ya Man U na kujifunza
 
Yaani katika watu ambao nilishawahi kupishana nao kauli na sijamuweka katika ignore list ni huyo jamaa,
Naamini yupo vizuri sana kichwani na katika michango yake naweza okota vitu vya maana....
Akirekebisha hapo padogo tu ameula.
Akirekebisha nini Leo mnaumia kwa alichomwambia huyo mwenzenu mbona upoyoyo Wa huyo mwenzenu huwa hamuukemei?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea had 76% possession in this match but lost 3-0 – since 2003-04, when full possession data is available, this is the biggest margin of defeat for a team to hold as much as 76% possession in a Premier League game. Countered.


our control merchants
 
Hahahahaha mmetusema sana, mmetunanga sana, mmetutukana sana, kwamba sisi hatufai, takataka, viazi, bomu la kutupwa, tumekata uno.

Kashfa zote tumezipokea, tunafahamu timu yetu ni mbovu, uwezo wa kumaliza top 4 tumemwachia Mungu.

Haya tunaomba mrudi kwenye majukwaa yenu, mtupishe tujadili uozo wa mechi ya jana.
4a5a8b7d1bfe4a28b151ff325e016f51.jpg.jpg
 
Chelsea fans wenzangu, Kuna wakati ufike tukubali kuwa team yetu inamapungufu mengi mno.

1. Tunadefence mbovu kabisa ambayo defenders hawana consistent kwenye game wanazocheza, kila beki kule nyuma anamapungufu mengi. Rjames , Cristinsen, Zouma, Rudiger na Marcos pia.

2. Tusitupe lawama zetu nyingi kwa Kepa, sababu kama beki zina mpa pressure mda wote kwa kufanya makosa kwenye making na ukabaji lazima nae atakua dhaifu na kuruhusu magoli mengi .

3. Hatuna mshambuliaj wa uhakika, sio Tammy wala Giroud , wana afadhali lkn hawana uhakika.

4. Pia kiungo chetu bado kina mapungufu , unaweza mtegemea joginho lkn nae anamapungufu yake, Dogo Billy nae bado hana exposure yakutosha, kovasic nae wakati mwingine anazingua sana,

5. Mwisho team yetu inatakiwa ifumuliwe yete yaana kuna wachezaji wengi sana hawapaswi kuwepo Chelsea for next season , kama Tammy, Marcos , Rjames, RlC, Odoi, coz hawashawishi kutokana na kiwango chao,

6. Usajili wa defenders ni wa muhim mno , ili tufanikiwe msimu ujao.





Nawasikisha maoni yng, #CFC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom