Wanagusa chini anavimba juuNdio huyo huyo Olla a.k.a Amberruti, yupo bize wanakisugua![]()
Ha ha hakwaio wamekula miguu ya bajaji sio
bado
liver
wolve
bayern
chelsea lives matter
Akirekebisha nini Leo mnaumia kwa alichomwambia huyo mwenzenu mbona upoyoyo Wa huyo mwenzenu huwa hamuukemei?Yaani katika watu ambao nilishawahi kupishana nao kauli na sijamuweka katika ignore list ni huyo jamaa,
Naamini yupo vizuri sana kichwani na katika michango yake naweza okota vitu vya maana....
Akirekebisha hapo padogo tu ameula.


Tuta bounce back na nafasi yetu iko palepale hakuna wa kuweza kuichukua, pambaneni na hali zenu kwanzaHizi people zinajua kutabiri.
HahahahahaVya mkwezi![]()
Hahahahahammetusema sana, mmetunanga sana, mmetutukana sana, kwamba sisi hatufai, takataka, viazi, bomu la kutupwa, tumekata uno.
Kashfa zote tumezipokea, tunafahamu timu yetu ni mbovu, uwezo wa kumaliza top 4 tumemwachia Mungu.
Haya tunaomba mrudi kwenye majukwaa yenu, mtupishe tujadili uozo wa mechi ya jana.