Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Prediction yangu hiyo hapo
Narudia tena ligi imeisha tuendelee na usajili
Msimamo wa EPL utakavyokuwa mwisho wa msimu.png
 
Prediction yangu hiyo hapo
Narudia tena ligi imeisha tuendelee na usajili
View attachment 1498184

Naona umejipa point 1 game ya Liverpool badala ya 0.

Na ume predict kwamba Arsenal atapoteza kwa Liverpool, which means Liverpool ana 4 points kwa game ya Arsenal na Chelsea.

Game zikizobaki ni Brighton, Burnley na Newcastle ambazo kwangu ni 9 points, je huoni kama anavuka 98 mapema tu!
 
Ross Barkley Stats from 10 matches
3 goals + 5 assists
Amejihusisha kwenye magoli 8 kwa mechi 10 alizocheza maana yake hakuhusika na mechi 2 tu kati ya 10
Mashabiki wameanza kuimba wimbo wa ABAKI, ASIUZWE
Hiyo ndio raha ya mashabiki wa mpira


1594015169645.png
 
Mason Mount na pasi iliyosoma kwenda kwa Ross Barkley ambaye naye alitoa pasi nzuri kwa mfunga goli Giroud kwenye mechi dhidi ya Watford
1594015439031.png
 
Ross Barkley Stats from 10 matches
3 goals + 5 assists
Amejihusisha kwenye magoli 10 kwa mechi 10 alizocheza maana yake hakuhusika na mechi 2 tu kati ya 10
Mashabiki wameanza kuimba wimbo wa ABAKI, ASIUZWE
Hiyo ndio raha ya mashabiki wa mpira


View attachment 1498790
🤣🤣🤣🤣🤣 Hapa uwezi kuwaona LONDON IS BLUE na ENZO
 
Wataalamu wa mpira wanasema matokeo ya mpira yanaamuliwa na viungo, sijui kama ni kweli au la

Sasa combination ya Mason Mount, Ngolo Kante na Ross Barkley ni moja ya combination nzuri ambayo Chelsea inayo kwa sasa

Na mimi naona Mason Mount anacheza vizuri kwenye kiungo kuliko akicheza kama winga

Kwa hiyo sasa Bill Gilmour, Kovacic, Jorginho na RLC wana kazi kubwa ya kushindania hizo nafasi chini ya Lampard
 
Ross Barkley Stats from 10 matches
3 goals + 5 assists
Amejihusisha kwenye magoli 8 kwa mechi 10 alizocheza maana yake hakuhusika na mechi 2 tu kati ya 10
Mashabiki wameanza kuimba wimbo wa ABAKI, ASIUZWE
Hiyo ndio raha ya mashabiki wa mpira


View attachment 1498790
Kwa nafasi alizopata ilibidi awe zaidi ya hayo magoli au assist.
 
Bad News
Kante atakosa mechi ya kesho na Crystal Palace
July 04: "With N'Golo, he got a small hamstring [issue] which we'll scan tomorrow and see how bad it is. Hopefully, it's small, that's what I've been told so far."
Predicted lineup bila Kante
Formation: 4-3-3

Pulisic - Giroud - Willian
Mount - Jorginho - Barkley
Azpilicueta - Zouma - Christensen - James

- Kepa -
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Hapa uwezi kuwaona LONDON IS BLUE na ENZO

Jitoeni ufahamu tuu mchezaji yeyote ambaye yuko kwenye mapendekezo ya kuuzwa kama Barkely na wanaomaliza mkataba wao kama willan huwa wanawasha moto sana kuwashawishi waajiri wao wasiwauze au waongezewe mkataba na zaidi kuzivutia timu kubwa sokoni wanunuliwe.

Barkely huyu akibaki msimu ujao mtamtukana, willan akiongezewa mkataba mtamtukana. Ni kocha kilaza pekee asiyekuwa na mbinu kama Lampard atawabakiza.
 
Ross Barkley Stats from 10 matches
3 goals + 5 assists
Amejihusisha kwenye magoli 8 kwa mechi 10 alizocheza maana yake hakuhusika na mechi 2 tu kati ya 10
Mashabiki wameanza kuimba wimbo wa ABAKI, ASIUZWE
Hiyo ndio raha ya mashabiki wa mpira


View attachment 1498790
Nashangaa apa kuna wadau wanamkataa adi kumuita muuza mikate cjui ....uyu jamaa namkubali sana kwa mashuti yake..huwa akosi shot on target
 
Nashangaa apa kuna wadau wanamkataa adi kumuita muuza mikate cjui ....uyu jamaa namkubali sana kwa mashuti yake..huwa akosi shot on target
Ukimuondoa Willian (assists 7) na Azpi (assists 6) ambao wamecheza mechi nyingi anayefuatia kwa assists ni Barkley mwenye 5
Pia kwa wachezaji wa Chelsea wenye percentage accuracy kubwa on target ni Willian (58%), Mason Mount (60%) na Barkley (58%)
 
Kwa nafasi alizopata ilibidi awe zaidi ya hayo magoli au assist.
Mkuu kuna kitu kinaitwa convertion rate per game, mchezaji wa kiungo katika mechi 10 kujihusisha na magoli 8 sio haba, akiboresha kutoka hapo tunaye kiungo mshambuliaji wa kumtegemea anayeitwa Ross Barkley na pesa zetu za mil 15 zitakuwa hazijaenda bure
 
Mkuu kuna kitu kinaitwa convertion rate per game, mchezaji wa kiungo katika mechi 10 kujihusisha na magoli 8 sio haba, akiboresha kutoka hapo tunaye kiungo mshambuliaji wa kumtegemea anayeitwa Ross Barkley na pesa zetu za mil 15 zitakuwa hazijaenda bure

Ficha ujinga wako kiungo mshambuliaji wa kumtegemea?

Man city watasemaje kwa KDB?

Man u watasemaje kwa Bruno?

Yaani ubingwa uchukue kwa kumtegemea takataka Barkely? We jamaa mpira unaujua sawa sawa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom