Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii team mashabiki zake wengi viazi kichwani weupe Sana kuhusu mpira
 
Best right back in EPL
IMG_20200710_020015_288.jpg
 
Official: Bruno Fernandes' second goal against Brighton wins Premier League Goal of the Month for June #mulive
 
Marefa including wa VAR wa EPL wanachekesha sana, Jana badala ya Bruno kupewa red card kwa kumchezea vibaya , dangerous foul beki wa Aston Villa eti walipewa penalti. Kuna uhalifu mkubwa sana ndani ya mpira. Man U wameanza kubebwa kama enzi za Fergusson
 
Mashabiki wenzangu nqwaomba msiweweseke n hili wimbi la nyumbu kwenye uzi wetu tena wengi wao wanakuja kututukana. Wengi wao ni wale wasiojua mpira wanaenda na mihemko tu. Jiulizeni kipindi cha nyuma mbona hawakuonekana leo hii wao ndio wanatuita sisi weupe.

Hao ni aina ya plastic fans wanaibuka kimihemuko hasa timu ikiwa inafanya vizuri ikifanya vibaya ndio waleunaanza kuwasikia kocha Ole afukuzwe. Kwa kifupi ndio tunaita mashabiki maandazi. Iliwaumie vizuri na mechi ya FA tunawqtoboa halafu tunawafa kulekule kuwakejeli bila kuwatukana.
 
Most league points won by goals:
Sadio Mane 18
Raul Jimenez 18
Pierre-Emerick Aubameyang 16
Tammy Abraham 14

Keep in mind this is Abraham's first season playing for Chelsea as well. There's a lot more to come.

PUT SOME RESPECT ON HIS NAME
 
Mashabiki wenzangu nqwaomba msiweweseke n hili wimbi la nyumbu kwenye uzi wetu tena wengi wao wanakuja kututukana. Wengi wao ni wale wasiojua mpira wanaenda na mihemko tu. Jiulizeni kipindi cha nyuma mbona hawakuonekana leo hii wao ndio wanatuita sisi weupe.

Hao ni aina ya plastic fans wanaibuka kimihemuko hasa timu ikiwa inafanya vizuri ikifanya vibaya ndio waleunaanza kuwasikia kocha Ole afukuzwe. Kwa kifupi ndio tunaita mashabiki maandazi. Iliwaumie vizuri na mechi ya FA tunawqtoboa halafu tunawafa kulekule kuwakejeli bila kuwatukana.
Hawajawahi kubadilika, walikuaga hivi hivi hata mababu zao, na ndio maana mashabiki wa timu zingine wanashukuru wakifungwa hao kwa sababu mitaani tunapumua. Wengi wa mashabiki wa Man U ni kundi la wahuni hawajui hata nini maana ya ushabiki. Kama wako wastaarabu ni wachache sana
 
Ushabiki wa mpira ni kama siasa, mtu anatapika utumbo wake halafu baadaye anakula matapishi yake mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom