Geranimo E K I A
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,252
- 5,381
Hahaa tulia mzee Chelsea ni gari la mkaa.Naamini umefura kama maandazi yaliyowekwa amira🤪🤪🥃
Toka mmeqnza kusema ivyo yapata miezi 6 sasa. Nyie hiyo nagasi hamuitaki? Tulikabidhiana vipi hayo makbo ya kushikianaUmetushikia nafasi mzee baba
GGMU
Na ninyi ni gari la takataja yale mabovuHahaa tulia mzee Chelsea ni gari la mkaa.
GGMU
Hahaa tulia mzee Chelsea ni gari la mkaa.
GGMU


Hiyo ndio maana ya kiungo kuwarahisishia kazi washambuliaji.Tuseme ukweli lile goli la Tammy katafuniwa na RLC
Willian kamosa goli la wazi mazingira yale yale Tammy kakosa tungekuwa 5-2




Ondoa Zouma na BarkleyZouma
Barkely
Joginho
Emarson
Batshuayi
Caballero
Nahisi hawa jamaa watauzwa dirisha hili.
jamaa unajifanyaga unajuaaaaa kumbe emptyKwa upumbavu huu waliocheza leo Chelsea tunapaswa tusajili beki zote pale nyuma kasoro upande wa Azp, kiungo mkabaji huyu ni lazima. Chelsea tukipoteza mpira tuna hangaika sana kuupata hapa Savic asajiliwe
Usiwe na haraka mzee amini kwamba tutamaliza juu yenu kwenye msimamo.Toka mmeqnza kusema ivyo yapata miezi 6 sasa. Nyie hiyo nagasi hamuitaki? Tulikabidhiana vipi hayo makbo ya kushikiana
Sawa ngoja niaminiUsiwe na haraka mzee amini kwamba tutamaliza juu yenu kwenye msimamo.
GGMU
Hahaa sawa mzee.Na ninyi ni gari la takataja yale mabovu
Hahaa saa nne na dakika 25Ubao unasomaje hapo🤪![]()
Hao hawaangalii mpira. Achana nao.Una anzaje kumtoa Zouma aise??
Na bado kila mechi anaassist au kufungaNdio maana nawambia muoka mikate ni takataka hafai kuwa katika klabu ya Chelsea. Na mpaka sasa yy ndio amecheza kwa kiwango cha chini mno
Hahahaaaa masikini akipata.Sasa tuitafute nafasi ya pili maana man City nao wamekuwa baiskeli ya biskuti
Ebu nenda kaangalia comment zangu nioneshe wapi niliwahi kusema jorginho auzwe?Tuache unafiki, nyie si ndio kila siku mnasema Jor kama hawezi kucheza pembeni auzwe!!! Kuhusu benchi nadhani hii kila siku nasema humu Lampard ana Uingereza mno na ndicho kitakacho muharibia. Kumbuka ile penalti alimzingua Drogba akaenda kupiga yy wakati Drogba alikuwa kwenye bio za kuwania kiatu cha dhahabu. Alifanya hivyo sababu ya Uingereza ili rooney achukue kile kiatu lakin bahati nzuri haikuwa hivyo.
Hahaa mkuu kwa hiyo mnataka nafasi ya pili siyo, mshasahau kuwa timu yenu ni gari la mkaa.Wewe endelea kutafuta nafas ya futuhi