Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu willian apewe mkataba wa miaka 3 kama shukrani ,tukipata champions league position mwamba kausika
 
Katikati kumepwaya, Palace wanacheza wanavhotaka
 
ndio Jo anaingia sasa nafikiri badala ya Gilmour
 
Chelsea beki yenu inafunguka sana, alafu DM hasaidii kulinda ukuta ipasavyo, ngoja mkutane na Man Utd FA Cup jinsi beki yenu inavyokatika mtawatafuta ubaya Bruno,Rashford+GreenWood
 
Billy muadhirika mkuu wa Corona, baada ya ligi kurudi sijaona tena makali ya Gilmour.
 
Chelsea beki yenu inafunguka sana, alafu DM hasaidii kulinda ukuta ipasavyo, ngoja mkutane na Man Utd FA Cup jinsi beki yenu inavyokatika mtawatafuta ubaya Bruno,Rashford+GreenWood
Mechi hazilinganishwi hivyo man utd kama atashinda ni kwa mbinu zingine sio kutegemea ubovu wa beki ya chelsea ,ingekuwa hivyo chelsea angekuwa chini ya man utd kwenye msimamo
 
Asante Zouma, umetuokolea point mbili muhimu dakika za mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom