Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Baada ya mauzo ya nani,

Pale kuna nani wa kuuza ili mpate mkwanja wa kumsajili world class defender (s)
Dah lakini twende mbele turudi nyuma, tusilaumu kuzidiwa mbinu, ubunifu ila wazee pale nyuma pameoza. Hatuna beki kabisa. Kama pesa ipo/itapatikana baada ya mauzo tusajili beki 4 za nguvu.

Tuingie gharama ya kujenga ukuta mwingine. Dah kwa beki hizi hapana aisee, chelsea hii imevunja historia ya beki mbovu.
 
Dah lakini twende mbele turudi nyuma, tusilaumu kuzidiwa mbinu, ubunifu ila wazee pale nyuma pameoza. Hatuna beki kabisa. Kama pesa ipo/itapatikana baada ya mauzo tusajili beki 4 za nguvu.

Tuingie gharama ya kujenga ukuta mwingine. Dah kwa beki hizi hapana aisee, chelsea hii imevunja historia ya beki mbovu.
Sio mpk lazima tuuze tunaweza kusajil beki bila hata kuuza,kama tunamtaka kai hervetz kwa 60 na kuendelea je ya beki itakosekana kweli
Naona lamps afanye usajili wa kati maana tunaweza kuwa vizuri mbele ila beki ni kama pazia tu
 
Jana mpira ulitukataa kabisa. Labda wachezaji hawakuwa na morale, labda kocha hakuwapa mbinu kwa sababu ya timu ndogo, labda westaham walituzidi kwa mbinu, labda uchovu wa mwchi za karibu karibu
KUVUNJIKA KWA KOLEO SIO MWISHO WA UHUNZI
Tutakutana na Watford tutawararua na pia Crystal Palace tutawafunga, Shefield United tutabeba point zote 3 na Norwich tutamaliza safari ya top 4 kwao ili Liverpool tumalizane nae kiume hiyo tarehe 18
West ham walicheza mpira wa kauntataki ..ule mpira tuliocheza jana tukicheza na timu kama man u tutapigwa nyingi ..maana hatuna beki za ku struggle na kuweza kuzuia mipira mirefu..

Lampard atumie mbinu za kuzuia zaidi na kuvizia ..
 
Uchumi wa kati
 

Attachments

  • 9d45232a-397d-4c6a-be8f-0d128c7ab14a.jpg
    9d45232a-397d-4c6a-be8f-0d128c7ab14a.jpg
    133.5 KB · Views: 6
Dah lakini twende mbele turudi nyuma, tusilaumu kuzidiwa mbinu, ubunifu ila wazee pale nyuma pameoza. Hatuna beki kabisa. Kama pesa ipo/itapatikana baada ya mauzo tusajili beki 4 za nguvu.

Tuingie gharama ya kujenga ukuta mwingine. Dah kwa beki hizi hapana aisee, chelsea hii imevunja historia ya beki mbovu.
Mechi ya jna beki walituchoma sana
Rudiger saiz naye sijui anacheza nini uwanjan
 
Bora jana sikupoteza muda na usingizi wangu kuangalia hiyo mechi. Poleni kwa kucheza madudu, poleni kwa kufungwa, ili dhahabu iwe safi lazima ipite kwenye tanuru la moto.

Tukimaliza top 4 tumshukuru Mungu.

Kombe la FA tutatoka mikono mitupu, man u yuko moto na hatuwezi kumfunga kipara mara mbili

Tufocus kwenye usajili kwa sasa.

Usajili gani tena munataka? Si mumeshasajili Pulisic, Zyech na Werner!!!

Enewey! Top Four sio lazima kuingia Coz Man City hatocheza CL kwahiyo Top Five atashiriki.
 
Dah lakini twende mbele turudi nyuma, tusilaumu kuzidiwa mbinu, ubunifu ila wazee pale nyuma pameoza. Hatuna beki kabisa. Kama pesa ipo/itapatikana baada ya mauzo tusajili beki 4 za nguvu.

Tuingie gharama ya kujenga ukuta mwingine. Dah kwa beki hizi hapana aisee, chelsea hii imevunja historia ya beki mbovu.
Hao wachezaji ni wazuri tatizo jana hawakujituma kabisa. Tukumbuke kuwa ni hawa hawa ndio waliotutoa mbali kwenye utabiri wa kushuka daraja ama kushika namba 10. Tuangalie wachezaji na kocha watarespond kivipi kwenye mechi zijazo. Kwa quality ya wachezaji tulionao kushinda na kufungwa is expected tena sana
 
Usajili gani tena munataka? Si mumeshasajili Pulisic, Zyech na Werner!!!

Enewey! Top Four sio lazima kuingia Coz Man City hatocheza CL kwahiyo Top Five atashiriki.
King Ngwaba unaonekana tu Chelsea ikifungwa
 
Akili imeanza kukurudia
West ham walicheza mpira wa kauntataki ..ule mpira tuliocheza jana tukicheza na timu kama man u tutapigwa nyingi ..maana hatuna beki za ku struggle na kuweza kuzuia mipira mirefu..

Lampard atumie mbinu za kuzuia zaidi na kuvizia ..
 
Yaani hadi sasa sijaelewa kitu, yaani tuwafunge Man City halafu timu inayopigania kushuka daraja tushindwe kuwafunga
Hii ndio EPL bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom