Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bora jana sikupoteza muda na usingizi wangu kuangalia hiyo mechi. Pole kwa kucheza madudu, poleni kwa kufungwa, ili dhahabu iwe safi lazima ipite kwenye tanuru la moto.

Tukimaliza top 4 tumshukuru Mungu.

Kombe la FA tutatoka mikono mitupu, man u yuko moto na hatuwezi kumfunga kipara mara 2.

Tufocus kwenye usajili kwa sasa.
Kumbe unakuwaga mpole hivi ukivalishwa khanga na kumwagiwa maji.
 
Najua feeling za shabiki pale timu inapofungwa, ila game ilikua ngum na tulizidiwa kimbinu, timu yetu inawachezaji potential wachche sana ambao hata wakitokea sabu wanaweza badili matokeo,

Ilitujenge Chelsea mpya hatuwezi kuwaondoa wachezaji wote hao. Wachache tutawaondoa ilikujinga timu na tutafanya vizuri mbeleni.
 
Nasoma comments za mashabik wa chelsea naishia kucheka tu, yaani leo mmembadilikia Lampard kwel

Mnaosema Lampard hafukuzwe hampo sahihi, hiki ndio kipindi cha ku'support timu yenu na kocha wenu, timu haijengwi kwa msimu mmoja jamani, Lampard apewe misimu mitatu ya kujenga timu

Pia Lampard hawezi sajiri timu yote mpya, maingizo yanainguzwa taratibu kila dirisha la usajiri, msifikir mafanikio ya Liverpool na Klop yalijengwa kwa msimu mmoja, wamevumilia wale, Klop alikuta vilaza kibao pale Anfield ila aliwaondoa taratibu

Mbona sisi tunamvulia OGS wetu, loose/draw/win tupo naye pamoja
 
Nasoma comments za mashabik wa chelsea naishia kucheka tu, yaani leo mmembadilikia Lampard kwel

Mnaosema Lampard hafukuzwe hampo sahihi, hiki ndio kipindi cha ku'support timu yenu na kocha wenu, timu haijengwi kwa msimu mmoja jamani, Lampard apewe misimu mitatu ya kujenga timu

Pia Lampard hawezi sajiri timu yote mpya, maingizo yanainguzwa taratibu kila dirisha la usajiri, msifikir mafanikio ya Liverpool na Klop yalijengwa kwa msimu mmoja, wamevumilia wale, Klop alikuta vilaza kibao pale Anfield ila aliwaondoa taratibu

Mbona sisi tunamvulia OGS wetu, loose/draw/win tupo naye pamoja

Una uhakika kwenu kule hakuna wanaomkataa OGS?
 
Nasoma comments za mashabik wa chelsea naishia kucheka tu, yaani leo mmembadilikia Lampard kwel

Mnaosema Lampard hafukuzwe hampo sahihi, hiki ndio kipindi cha ku'support timu yenu na kocha wenu, timu haijengwi kwa msimu mmoja jamani, Lampard apewe misimu mitatu ya kujenga timu

Pia Lampard hawezi sajiri timu yote mpya, maingizo yanainguzwa taratibu kila dirisha la usajiri, msifikir mafanikio ya Liverpool na Klop yalijengwa kwa msimu mmoja, wamevumilia wale, Klop alikuta vilaza kibao pale Anfield ila aliwaondoa taratibu

Mbona sisi tunamvulia OGS wetu, loose/draw/win tupo naye pamoja
Bro kinachotuuma sisi ni mbinu duni za Lampard angalia kikosi cha Everton na pia angalia mbinu za Ancelotti.

Kocha lazima uwe na mbinu tofauti tofauti kwendana na mechi inavyokwenda. Lampard mbinu zake ni flat kwenye game nzima.

Ule mpira wa Aston villa na Leicester ulikuwa wa hovyo, wingi wa sub ulitusaidia kushinda game.

Ninapoangalia mpira wa Chelsea chini ya Lampard sioni ubunifu, sioni mbinu, sioni sprit ya kushinda.

Alaaniwe mtu aliyependekeza jina la lampard kuwa kocha Chelsea. Ningekuwa naishi London ningemvizia Lampard nimpige risasi.
 
Vipi?

Bado mna matumaini ya kupunguza idadi ya magoli mtakapokutana na Man Utd.
 
Mkuu kwa mshabiki wa chelsea anayesema Lamp afukuzwe au siyo kocha kwa kufungwa mechi moja huyo siyo shabiki mzalendo bali ni shabiki anaebeti akiliwa hasira zake anaamisha kwa kocha. Gadiola ni kocha mzuri mbona anafungwa au mbona tulimfunga na timu yake?, Klop anakikosi kizuri mbona na wao tuliwafunga na wao?
Mpira ni mbinu ukizidiwa unafungwa
 
Daahh!View attachment 1495079
Screenshot_20200702-092237_cropped.jpg


Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
WEST HAM 3-2 CHELSEA, Premier League: Post-match reaction; player ratings

By Mlanzi

Kuna muda nilikosa amani kabisa especially upande wa defence yetu. Yes, ilikuwa London derby but kama tuliwafunga City iweje hawa?

Ukuta wetu ulikuwa na matobo kibao. César Azpilicueta hakuwa vizuri, Antonio Rudiger hakuwa powa, Andreas Bødtker Christensen hakuwa kwenye form.

Inawezekana kabisa wachezaji wamechoka kutokana na congestion ya matches hivyo itoshe tu kusema hii ni sehemu ya mchezo. Bao la Andriy Yarmolenko dakika ya 90 ndilo limetunyima point katika hiyo London derby.

Pamoja na Chelsea kuanza vizuri ukilinganisha na weekend ilyopita, team ilikuwa iki-create chances kabla ya West Ham kuanza kuisakama defense yetu kwa mipira ya Juu. David Moyes alikuwa akitumia lowest possession tactics na kupoteza muda kama kawaida ya team yake kiasi kwamba Chelsea ilikuwa iki struggle kucheza katika kiwango chake.

Tatizo kubwa kwa Chelsea lilikuwa ni kushindwa kuzuia set pieces, especially corners kiasi kwamba Tomas Soucek alitupia mara mbili kwa mipira ya corners katika first-half japo bao mmoja lilikataliwa kwa kuwa alikuwa offside

Na katika hizo incidents mbili, Willian alitunyanyua katika viti baada ya kufunga kwa njia ya penalty mara baada ya Christian Pulisic kuangushwa ndani ya penalty box na Diop.

West Ham walifunga bao lao la pili kwenye second half kupitia kwa Michail Antonio

Chelsea made ilifanya mabadiliko na baadae Willian alifunga bao la kusawazisha kwa njia ya free kick. Wakati tukiamini kutoka na point japo moja Yarmolenko alifunga bao la tatu na la ushindi linalotusononesha mpaka sasa.

Frank Lampard alikuwa amemuacha Mason Mount pamoja na Jorginho kwenye bench, huku Ross Barkley sambamba na N'golo Kante pamoja na Mateo Kovacic wakianza katika dimba la kati. Christian Pulisic na Willian walikuwa mbele sambamba na Tammy Abraham.

Mason Mount aliingia upande wa Mateo Kovacic na Oliver Giroud upande wa Tammy Abraham na baadae Ruben Loftus-Cheek upande wa Ross Barkley.

Kutupia kwa Willian kunamfanya kuwa mchezaji wa kwanza katika PL history kufunga katika kila mwezi uliopo katika Callender.

Kwa matokeo haya Chelsea inabakia katika nafasi ya nne nyuma ya Leicester kwa tofauti ya points mbili na mbele ya Manchester United kwa tofauti ya points mbili

Next up: tutawakaribisha Watford siku ya Juma Mosi

KTBFFH
 
Bro kinachotuuma sisi ni mbinu duni za Lampard angalia kikosi cha Everton na pia angalia mbinu za Ancelotti.

Kocha lazima uwe na mbinu tofauti tofauti kwendana na mechi inavyokwenda. Lampard mbinu zake ni flat kwenye game nzima.

Ule mpira wa Aston villa na Leicester ulikuwa wa hovyo, wingi wa sub ulitusaidia kushinda game.

Ninapoangalia mpira wa Chelsea chini ya Lampard sioni ubunifu, sioni mbinu, sioni sprit ya kushinda.

Alaaniwe mtu aliyependekeza jina la lampard kuwa kocha Chelsea. Ningekuwa naishi London ningemvizia Lampard nimpige risasi.
Muombee apate korona ili ajitende na timu
 
Jana mpira ulitukataa kabisa. Labda wachezaji hawakuwa na morale, labda kocha hakuwapa mbinu kwa sababu ya timu ndogo, labda westaham walituzidi kwa mbinu, labda uchovu wa mwchi za karibu karibu
KUVUNJIKA KWA KOLEO SIO MWISHO WA UHUNZI
Tutakutana na Watford tutawararua na pia Crystal Palace tutawafunga, Shefield United tutabeba point zote 3 na Norwich tutamaliza safari ya top 4 kwao ili Liverpool tumalizane nae kiume hiyo tarehe 18
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom