Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kocha wa hovyo kabisa.
Yani hata Maji Maji FC haichezi mpira wa hovyo namna hii, sinaga imani kabisa na huyu Lampard kama atatufikisha kwenye nchi ya asali na maziwa hata kama atashinda hii mechi dhidi ya West harm FC
 
Mbona Chelsea kwenye karatasi ina kikosi kizuri sana? Hata mpira wanaucheza mzuri sana, shida iko kwamba leo haikua bahati yenu. Arsenal leo tumeshinda lakini ilikua ni bahati zaidi, no technic.

Either way mko poa bado mna chansi ya kufight.
 
London is red
1593637924521.gif
 
Haibadilishi maana kwamba wewe ni mata ko. tena yaliolegea. Huwezi ukampangia mtu aandike nini kwenye simu yake alioinunua mwenyewe kw hela zake, akaweka bando kw hela yake uje umpangie cha kupost, huo ni uchoko.
Hebu lete picha ya matako yaliyolegea. Kauli yako imenifikirisha sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom