Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Foward ni 0 halikadhalika, bora hata tushuke daraja kuliko kudhalilisha EPL kwa upuuzi tunaocheza ChelseaNa forward pia hakuna
Foward ni 0 halikadhalika, bora hata tushuke daraja kuliko kudhalilisha EPL kwa upuuzi tunaocheza ChelseaNa forward pia hakuna
uzuri Lampard ni Mwanasiasa mzuri kama Wenger, kesho atakutana na katimu ka hovyo atakakung'uta 3-0 tayari Washabiki tutasahau uchungu wa leo kwa jinsi tulivyo wanafkiTulia wewe, na bado
Nkubzliana na wewe kwa 100% ni heri tuwe na Lingard wawili kuliko hilo linalorukaruka dakika 90 zote bila off target shoot kama licheza maredeKikosi cha Chelsea chote kinapaswa kupanguliwa kabisa. Kuna wachezaji hawapaswi kuwa hapo, mtu kama Abraham ni jinga kabisa
Nyumbu watatupiga hata 6-0, tena siku hiyo nikiwa hai sitahangaika kutizama hiyo mechi zaidi ya kujilalia zangu tu home.Lampard nae anatuletea Uingereza kwenye userious, pumbavu kabisa. Samahani kwa kuandika hivyo ila nimeuzika mno. Kama Lampard asipo badilika aise Nyumbu FC atatupiga nne tena
We pimbi maneno yangu si sheria na aijamlazimisha mtu ayafuate. Ndio maana nikakuambia nimeandika kwa ajili ya watu wenye utimamu wa akili siyo mbwetumbwetu kama wewe.Haibadilishi maana kwamba wewe ni mata ko. tena yaliolegea. Huwezi ukampangia mtu aandike nini kwenye simu yake alioinunua mwenyewe kw hela zake, akaweka bando kw hela yake uje umpangie cha kupost, huo ni uchoko.
Hata Liverpool akipanga 1st eleven yake ni wachezaji wachache sana ndio utawaona wa maana. Kinachokuja kututofautisha wachezaji wa Liver wanajituma zaidi. Huwezi kuta makosa ya kipuuzi puuzi yanaigharimu timu hivi.Mbona Chelsea kwenye karatasi ina kikosi kizuri sana? Hata mpira wanaucheza mzuri sana, shida iko kwamba leo haikua bahati yenu. Arsenal leo tumeshinda lakini ilikua ni bahati zaidi, no technic.
Either way mko poa bado mna chansi ya kufight.
Hapo kwenye kujituma ndiyo timu nyingi, ikiwemo Arsenal, zinafeli.Hata Liverpool akipanga 1st eleven yake ni wachezaji wachache sana ndio utawaona wa maana. Kinachokuja kututofautisha wachezaji wa Liver wanajituma zaidi. Huwezi kuta makosa ya kipuuzi puuzi yanaigharimu timu hivi.







Hatuna kocha hapa, kocha hana mbinu kabisa, mbinu zake za kitoto sana, upangaji wa kikosi utoto mtupu, Anakatisha tamaa sana, Man u nusu fainali anatushikisha ukuta tena.Mkuu mimi siwezi laumu uchezaji wa mtu bali mpira siku zote una matokeo matatu na kila timu inaingia uwanjani kusaka point 3. Timu yoyote inayozidiwa mbinu unyanganywa point zote tatu. Nasi west ham walituzidi mbinu wakachukua point 3 zote.
Naamini mechi ijayo itakuwa poa kwa chelsea. Pia kuna siku mpira una kataa miguuni. So relax mkuu hakuna timu inayoshinda mechi zote.