Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea nao wameingia msafara wa kutaka sahihi ya Sergej Milinkovic-Savic kutoka Lazio
Huyu jamaa mbona toka mwaka jana zilitoka tetesi zake na nilishawahi kumuongelea hapa. Savic ndio anawafanya kina Immobile wawe moto ndio roho ya Lazio jamaa.
 
Hawa wachezaji wetu nao ni binadamu msije ona kama wao ni miungu vile hivyo basi kama unaona mchezaji hakuvutii au hafanyi kama ambavyo wewe kwa elimu yako ya mpira unaona inapaswa kufanya ni vyema ukatumia lugha ya staha kueleza hisia zako. Mambo ya kuwaita wachezaji wetu kubwa jinga na maneno mengine sidhani kama inapendeza kwa mustakabali wa ushabiki wetu.

Tuwe na akiba ya maneno.
 
Hawa wachezaji wetu nao ni binadamu msije ona kama wao ni miungu vile hivyo basi kama unaona mchezaji hakuvutii au hafanyi kama ambavyo wewe kwa elimu yako ya mpira unaona inapaswa kufanya ni vyema ukatumia lugha ya staha kueleza hisia zako. Mambo ya kuwaita wachezaji wetu kubwa jinga na maneno mengine sidhani kama inapendeza kwa mustakabali wa ushabiki wetu.

Tuwe na akiba ya maneno.
Wachezaji wa chelshit wanakujua! Wakiitwa makubwa jinga, unapungukiwa nn?
 
Wembley uje ucheze Utopolo kama hivi?.. nitakugonga nyingi mpaka akili ikukae sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom