Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

The report also states that Havertz is open to the idea of sealing a move to Stamford Bridge, but only as long as they have secured Champions League football for next season.
 
Kuna juhudi kubwa aliifanya Tammy Abraham kwenye goli la pili lakini hakuna fan hata mmoja kaona hilo hapa. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake tumpe
Pasi kutoka kwa Willian ilimkuta Tammy akashuti ili afunge kipa kaipangua ikamkuta Pulisic nae kailazimisha ikarudishwa na Tammy akaambaa mbaa nao hadi Fernandinho akaamua kuudaka na kuutupa
 
Huyu jamaa sijawahi kumuangalia uchezaji wake. Arsenal wanataka kumsajili.

Ila Ukiona tetesi za mchezaji ambazo Arsenal wapo hapo hakuna mchezaji, achana naye

Naona city wamejitosa kimasomaso kumsajili Kolabaly thamani yake imeshuka mpaka £70M. Bei sio mbaya tujitose na sisi

Pulisic...Werner...Ziyech

Kovacic..Kante...Glimour/Mount

Chilwel...Rudger....Kolabaly...Azipu
Arsenal wanamtaka pia Willian, hapo napo hakuna mchezaji?
 
Cha muhimu kuliko vyote huyu dogo mkataba wake uboreshwe. Kiongezwe kipengele "kuvunja mkataba wake iwe €1billion endapo kuna timu itakayomuhitaji".

Jana zile pass ndefu za dogo nilizisisimua mwili, tumemshapata Fabrigas wetu mpya.

Pulisic....Werner....Ziyech

Kovacic...Kante...Glimour

Nachokiona msimu ujao Lampard atabadilisha kidogo aina ya uchezaji, nadhani litakuwa soka la counter attack.

1. Pulisic ana kasi
2. Ziyech ana kasi
3. Werner ana kasi na ndio magoli anayopenda kufunga, kuingia kwa kasi lango la adui.

Sioni tena lile soka la kupiga pass fupi fupi mpaka kwenye 18 ya adui.

View attachment 1489358
Mkuu soka la kushambulia siyo counter attack. Unapiga counter ikiwa unashqmbuliwa zaidi ya unavyoshambulia maana yake mpira unachezwa zaidi upande wako kwa iyo yanafanyika mashambulizi ya kushtukiza.

Falsafa ya Lampard ni kucheza mpira wa kushambulia kwa maana hiyo kwa mpira huu huwezi acha kuona pass fupi na ndefu ndipo umiliki wa mpira unaanza. So mi sitegemei kuona mabadiliko kiuchezaji zaidi nategemea kuona maboresho zaidi kama kumalizia vizuri nafasi zinasotengenezwa.
 
Ukiwa na chuki na mchezaji hata afanye kitu gani kikubwa huwezi kumkubali au otherwise utamkubali moyoni lakini mbele za watu utajifanya kumkataa. Tuseme ukweli jana Tammy kakosea kitu gani? Huyu Tammy mnamchukulia poa ila ipo siku wote mtakubaliana na mimi Tammy Abraham ni potential kubwa either akiwa Chelsea or akiwa nje ya Chelsea. Lakini kibinadamu tumeumbwa ivyo naheshimu mawazo na hisia za kila mmoja.

Remember the name. Tammy
 
Thorgan Hazard na Tariq Lamptey ni wachezaji wanaong'ara baada ya chelsea kuwauza kwa bei chee
Lamptey kamweka chini ya Ulinzi James Vardy Leicester walipocheza na Brighton. Kijana huyu kinda hakutakiwa auzwe. Mnakumbuka alivyombana Auba Chelsea ilipomfunga Arsenal December mwaka jana? Nisiseme sana Thorgan Hazarad anayoyafanya kule Dotmund mpaka bei yake ya sokoni imepaa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom