Albinoomweusi Hakuna kipa yoyote mwenye uwezo wa kudaka ile kitu umsifie tu mpigaji mbona kepa alifanya save ya hatari ya kichwa kilichopigwa na fernandinho mbona mpo kimya tokea kepa akalishwe bench na Lampard amerudi kwenye ubora wake tukapata cleensheet dhidi ya Liverpool na alifanya save za hatari then tukapata cleensheet dhidi ya Everton bila kusahau alifanya saves nzuri dhidi ya Aston villa tukaja kufungwa goal kwa kosa la beki.Agonge na nguzo kabisa maana ule mchongo ni wa kupambana kwanza na nguzo ndipo uguse mpira
Shabiki yoyote wa Chelsea anaetaka tununue kipa me namshauri akatafute team nyingine za kushabikia Chelsea sio level yake na afai kuwa mshabiki wa Chelsea anatujazia tu server.Shida yetu kuu Chelsea Ni beki ya Kati na kushoto Sana Hawa ndio wanatugharimu Sana sisi lembu Cash Money Forever
